Wimbo Mpya | Kumbe Ni Ndugu - Real Jofu ft. Ney Lee
Singer Name:- Real Jofu ft Ney Lee
Song Name:- Kumbe Ni Ndugu
Country;- Tanzania
Genre;- Bongo Flavour
Studio:-Mazuu Records
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/VULPswQ_taM/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/VULPswQ_taM/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo22 Oct
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
Ney Lee: Najivunia Ney wa Mitego
MWANADADA anayefanya vizuri katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya nchini Neema Agrey ‘Ney Lee’ anatarajia kuachia kazi yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Usinikatae’. Akizungumza Dar es Salaam jana...
11 years ago
CloudsFM22 Jul
'SUPA NYOTA' NEY LEE AREKODI VIDEO YA NGOMA YAKE MPYA YA ’NIPE MUDA’ NCHINI ZAMBIA
Msanii zao la Supa Nyota 2012 Ney Lee anaelekea kukamilisha video ya wimbo wake mpya ‘Nipe Muda’ inayofanyika nchini Zambia na kampuni ya Video ya F2K Production.
10 years ago
Dewji Blog08 Apr
Dayna Nyange aachia wimbo mpya leo wa ‘Nitulize’ aliomshirikisha Ney wa Mitego
Msanii wa kike anayetamba na vibao mbalimbali vya muziki hapa Bongo ‘East African Queen’, Dayna Nyange leo Aprili 8, anaachia wimbo mpya wa ‘Nitulize’ ambao ameimba na staa wa Hip Hop nchini, Ney wa Mitego.
Awali wasanii hao Dayna Nyange na Ney walianza kama utani kwa kutupia picha mbali mbali wakiwa katika hali ya mahaba, lakini mwisho wa siku ilikuwa ni ‘promo’ ya wimbo wao huo ambao unaanza kuruka leo katika vituo mbalimbali vya radio.
Msanii Dayna Nyange ‘East African Queen’ katika...
10 years ago
Michuzi24 May
11 years ago
Tanzania Daima10 Jul
Ney Lee kuachia ‘Usinikatae’
MWANADADA anayefanya vizuri katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya nchini, Neema Agrey ‘Ney Lee’, anatarajia kuachia kazi yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Usinikatae’. Msanii huyo anayetamba na kibao...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jan
Ney Lee kusambaza ‘Usiogope’
MWANADADA anayekuja kwa kasi katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya nchini, Ney Lee, anatarajia kusambaza kazi yake mpya hivi karibuni inayokwenda kwa jina la ‘Usiogope’. Ney Lee, ametamba katika...