Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uchaguzi wa Nigeria na funzo kwa Tanzania

Mwishoni mwa wiki iliyopita, wananchi wa Nigeria walipiga kura kumchagua Rais katika uchaguzi wenye ushindani mkali kati ya Rais wa sasa, Goodluck Jonathan na mpinzani wake Jenerali Muhamadu Buhari.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ushindi wa upinzania nchini Nigeria kwenye Uchaguzi wa Majimbo na mafunzo kwa Tanzania

Ndugu wasomaji wangu sikuweza kuwa nanyi kwa takribani wiki sita kutokana na sababu za kiufundi kwani gazeti lilikuwa na masuala muhimu ya uchaguzi ambayo ilikuwa lazima wayachapishe

 

10 years ago

BBCSwahili

Je Burundi itakuwa funzo kwa Afrika ?

Je vurugu inayoendelea huko Burundi kupinga hatua ya rais Pierre Nkurunziza kuwania urais kwa muhula wa tatu inatufunza nini ?

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola ni funzo kubwa kwa WHO na dunia

Shirika la Afya Duniani, WHO limekutana kuangalia wapi imekosa katika maafa ya Ebola

 

10 years ago

Mwananchi

Rais wa Ujerumani ameacha funzo kwa wanasiasa

Rais wa Ujerumani, Joachim Gauck alifanya ziara nchini wiki hii, ikiwa ni moja ya harakati za kudumisha ushirikiano wa kisiasa, kiuchumi na kijamii kati ya taifa hilo na Tanzania.

 

5 years ago

Michuzi

MAAGIZO YA WAZIRI JAFO NI FUNZO KUBWA KWA WATENDAJI WA UMMA

KWA miaka mingi kulijengeka utamaduni kwa viongozi wengi hapa nchini kutoa maagizo mbalimbali bila kufanya ufuatiliaji kitendo kilicholeta tabia ya uzembe kwa watendaji wa umma kutotekeleza maagizo hayo na hivyo kusababisha kutokamilika kwa miradi mingi na upotevu mkubwa wa fedha za umma. 
Katika kipindi cha miaka mitano ya serikali ya awamu ya tano kimekuwa kipindi tofauti sana kwa upande wa Ofisi ya Rais TAMISEMI kwani Waziri Jafo amekuwa mwiba kwa wazembe Kwani kila kinacho agizwa...

 

11 years ago

Bongo5

Video:Terrance J, Chaka Zulu na David Banner watimiza ahadi ya Kikwete, watoa funzo kwa wasanii

Bongo5 leo imepata nafasi ya kufanya mahojiano na wadau wakubwa wa Muziki, filamu na maigizo kutoka Marekani ambao Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete aliwaahidi wasanii wa muziki na filamu siku ya uzinduzi wa kampeni ya kuhamasisha uzalendo kwa vijana jijini Dodoma wiki kadhaa zilizopita. Terrance J, Chaka Zulu, Ravi Shelton na David Banner Wadau hao ni […]

 

10 years ago

GPL

"BUSARA YA MADIBA NI FUNZO KWA WANAHARAKATI NA WANASIASA WETU"

Nelson Mandela. Historia haina uchoyo na mawazo kwa kila mwanadamu aliyejitosa kutengeneza historia.NELSON MANDELA ni miongoni mwa wanahistoria waliowahi kuijua na kuitengeneza historia ya dunia na kuwastaajabisha magwiji wa kihistoria wa huko ughaibuni kama akina Hegel,almond na wengine wengi. Madiba alikuwa ni mwanasiasa aliyeamini kuwa haki itapatikana kwa njia ya amani kabisa(non violence).Ili kuweza kutimiza ndoto zake za...

 

10 years ago

Bongo5

AY atoa funzo kwa wasanii wenye malengo ya kufanya collabo na wasanii wa nje

Wewe ni msanii mwenye mawazo ya kuja kufanya collabo na wasanii wa nje ya Tanzania? AY ametoa elimu ndogo kupitia uzoefu wake, wa nini cha kufanya ili collabo yako iwe na maana na ikuletee matunda. “Cha kwanza watu wajue lazima uje na style yako usikae kama wanna be” AY a.k.a ‘mzee wa Zigo’ ameiambia 255 […]

 

10 years ago

Mwananchi

Tanzania yatupwa kwa Misri, Nigeria

Tanzania imepangwa kundi gumu  lenye timu za  Nigeria, Misri katika harakati zake za kusaka kufuzu kwa fainali za Mataifa ya Afrika  mwaka 2017 zitakazofanyika Gabon.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani