Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania yatupwa kwa Misri, Nigeria

Tanzania imepangwa kundi gumu  lenye timu za  Nigeria, Misri katika harakati zake za kusaka kufuzu kwa fainali za Mataifa ya Afrika  mwaka 2017 zitakazofanyika Gabon.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Liverpool yatupwa kwa Chelsea

Liverpool itakutana na Chelsea katika nusu fainali ya Kombe la Ligi baada ya Raheem Sterling kufunga mabao mawili katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Bournemouth juzi, wakati Tottenham ikishinda kirahisi 4-0 mbele ya Newcastle.

 

9 years ago

Mwananchi

Twiga Stars yatupwa kwa Zimbabwe

 Timu ya Taifa ya wanawake Tanzania 'Twiga Stars itaanza harakati zake za kufuzu kwa fainali za Mataifa ya Afrika 2016, Cameroon kwa kucheza dhidi ya Zimbabwe mwakani.

 

10 years ago

Mwananchi

Tuiandae vyema Stars kuzikabili Nigeria, Misri

Ni wakati mwingine kwa Tanzania kujipanga katika soka baada ya wiki hii Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kutangaza ratiba ya kufuzu kwa fainali za Afrika mwaka 2017 (Afcon) na pia fainali za wachezaji wa ligi za ndani (CHAN) za mwaka 2016, ambako Taifa Stars imepangiwa timu ngumu.

 

10 years ago

Mwananchi

Uchaguzi wa Nigeria na funzo kwa Tanzania

Mwishoni mwa wiki iliyopita, wananchi wa Nigeria walipiga kura kumchagua Rais katika uchaguzi wenye ushindani mkali kati ya Rais wa sasa, Goodluck Jonathan na mpinzani wake Jenerali Muhamadu Buhari.

 

10 years ago

Mwananchi

Ushindi wa upinzania nchini Nigeria kwenye Uchaguzi wa Majimbo na mafunzo kwa Tanzania

Ndugu wasomaji wangu sikuweza kuwa nanyi kwa takribani wiki sita kutokana na sababu za kiufundi kwani gazeti lilikuwa na masuala muhimu ya uchaguzi ambayo ilikuwa lazima wayachapishe

 

10 years ago

Bongo5

Diamond na Vanessa Mdee waing’arisha tena Tanzania kwa kushinda tuzo za Afrima Nigeria

Diamond Platnumz na Vanessa Mdee wameshinda tuzo nyingine za kimataifa za ‘All Africa Music Awards’ (AFRIMA) zilizotolewa usiku wa December 27 huko Lagos, Nigeria. Vanessa a.k.a Vee Money ameshinda kipengele cha ‘Msanii Bora wa Kike Afrika Mashariki’, na kuwashinda Wahu (Kenya), Size 8 (Kenya), Muthoni the Drummer Queen (Kenya), Kaz (Kenya) na Jackie Chandiru (Uganda) […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Soka Ufukweni:Tanzania, Misri kupmbana

Timu ya Taifa ya Tanzania ya soka la ufukweni (Beach Soccer) inatarajiwa kucheza na timu ya Taifa ya Misri siku ya ijumaa

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania kuivaa Misri michuano ya AFCON

Taifa Stars inaondoka Ijumaa jioni kuelekea Misri tayari kuwania kucheza AFCON 2017.

 

11 years ago

Michuzi

Tanzania na Misri zakubaliana kuimarisha ushirikiano

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) kwa pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri Mhe. Nabil Fahmy  wakizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu  ziara ya siku tatu ya Mhe. Fahmy hapa nchini kuanzia tarehe 21 hadi 23 Februari, 2014. Mhe. Fahmy yupo nchini kwa lengo la kuimarisha ushirikiano kati ya nchi hizi mbili hususan katika nyanja za afya, elimu, uwekezaji na siasa.  Baadhi ya Waandishi wa Habari wakiwasikiza Mhe. Membe na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani