Warioba awakuna wasomi, wachambuzi
>Baadhi ya wasomi na wachambuzi wa masuala ya kisiasa hapa nchini wamesema hotuba ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadilko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba itasaidia kubadilisha msimamo wa wajumbe wengi wa Bunge Maalumu la Katiba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Jan
AFCON:Charles Hillary awahoji wachambuzi
10 years ago
StarTV24 Dec
Baadhi ya wanasiasa, wachambuzi wamkosoa Rais Kikwete
Na Waandishi wetu
Dar Es Salaam, Kagera, Tanga.
Baadhi ya wanasiasa na wachambuzi wa siasa nchini wamekosoa hatua iliyochukuliwa na Rais Jakaya Kikwete dhidi ya watuhumiwa wa kashfa ya uchotwaji wa fedha za akaunti ya Tegeta Escrow kwa kusema kuwa ameshindwa kukata kiu ya watanzania waliotaka kuona anawawajibisha wahusika wote wa sakata hilo.
Wamesema kumfukuza kazi Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Profesa Anna Tibaijuka na kumuweka kiporo Waziri wa Nishati na Madini na...
10 years ago
Mwananchi03 Jun
WACHAMBUZI:Watangaza nia WANAYO KAZI YA KUWAKUNA Watanzania
9 years ago
Mwananchi16 Oct
Idadi ya wapigakura siyo msingi wa vyama kushinda-Wachambuzi
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-uKLJ9Ntx00A/VgFSUrXVFrI/AAAAAAAAn6Q/65ZBlXFYSkY/s72-c/1.jpg)
JAJI WARIOBA AMNADI KIPPI WARIOBA KWENYE KAMPENI ZA UBUNGE JIMBO LA KAWE
![](http://2.bp.blogspot.com/-uKLJ9Ntx00A/VgFSUrXVFrI/AAAAAAAAn6Q/65ZBlXFYSkY/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-D6jzGhxpqTw/VgFSU7wmRFI/AAAAAAAAn6U/Tt1AlaI5QWY/s640/3.jpg)
10 years ago
Habarileo20 Jun
Mwandosya awakuna wazee wa Tabora
WAZEE na viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini mkoani Tabora wamempongeza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Profesa Mark Mwandosya kwa kuwakumbuka na kula nao futari ya pamoja katika siku ya kwanza ya Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
10 years ago
Habarileo22 Jun
Kikwete awakuna wawekezaji India
WAFANYABIASHARA nchini India wamemuahidi Rais Jakaya Kikwete na Watanzania kwa ujumla wataendelea kuwekeza Tanzania kwa kuwa ni nchi inayozingatia kanuni na mazingira ya uwekezaji.
11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
Mfalme Siboka awakuna mashabiki Mbeya
MSANII wa nyimbo za asili nchini, Costa Siboka ‘Mfalme Siboka’ mwishoni mwa wiki aliwapagawisha wakazi wa Jiji la Mbeya na vitongoji vyake baada ya kuimba wimbo mmoja wa Kinyakyusa, moja...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-uKLJ9Ntx00A/VgFSUrXVFrI/AAAAAAAAn6Q/65ZBlXFYSkY/s72-c/1.jpg)
JAJI WARIOBA AMNADI KIPPI WARIOBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-uKLJ9Ntx00A/VgFSUrXVFrI/AAAAAAAAn6Q/65ZBlXFYSkY/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wj5l-WSI6eA/VgFSUm3kmGI/AAAAAAAAn6Y/SduVxz1S-9c/s640/2.jpg)