Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Idadi ya wapigakura siyo msingi wa vyama kushinda-Wachambuzi

Wachambuzi wa masuala ya kisiasa nchini wamesema idadi kubwa ya wapigakura katika mikoa ambayo ni ngome kuu za baadhi ya vyama vya siasa siyo msingi wa vyama hivyo kushinda Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

NEC, vyama wagongana hatima ya Wapigakura Oktoba 25

Upo mgongano wa maslahi kati ya Tume ya Taifa ya uchaguzi (NEC)  na vyama vya siasa juu ya mustakabali wa wapiga kura hapo Oktoba 25.

 

5 years ago

Michuzi

IDADI YA WAPIGAKURA YAONGEZEKA UCHAGUZI MKUU 2020-WAZIRI MKUU

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema idadi ya wananchi waliojiandikisha kupiga kura imeongezeka ambapo wapiga kura halali kwa mwaka huu ni 29,804,992 ikilinganishwa na wapiga kura 23,161,440 wa mwaka 2015.

Hata hivyo, Waziri Mkuu amesema Tume inaendelea na uchambuzi wa taarifa za wapiga kura waliojiandikisha na baada ya zoezi hilo kukamilika, Daftari la mwisho litakalotumika katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 litaandaliwa na kuwekwa wazi.

Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Jumatatu, Juni 15,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vyama vya msingi vitetee wakulima

UONGOZI wa vyama vya msingi umekuwa ukilalamikiwa kwamba hautendi haki kwa wanachama ndani ya vyama hivyo kutokana na mambo mbalimbali. Miongoni mwa malalamiko hayo ni kwamba uongozi umekuwa ukizidisha muda...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Madeni vyama vya msingi kikwazo soko la tumbaku

UFUNGUZI wa soko la tumbaku wa msimu wa mwaka 2013/2014 uliofanyika katika Chama cha Msingi cha Ushirika Makale,wilayani Manyoni,  Singida ulihudhuriwa na wakulima wengi wa  zao hilo pamoja na viongozi...

 

9 years ago

Michuzi

NSSF WATOA SEMINA KWA WENYEVITI WA VYAMA VYA MSINGI (AMCOS) VYA WILAYA YA KILWA-LINDI

SHIRIKA la Taifa la Hifadhi yaJamii(NSSF) limetoa Elimu kwa Wenyeviti na Makatibu wa Wakulima wa Korosho na Ufuta wa Wilaya ya Kilwa Mkoa wa Lindi kuhusu mpango wa Hifadhi ya Jamii kwa Wakulima, Mpango huo unamwezesha mkulima kupata mikopo mbalimbali ikiwemo mkopo wa vifaa vya kilimo pamoja na pembejeo za kilimo. 
Aidha mpango huo unamwezesha mkulima na familia yake kufaidika na mafao mbalimbali yatolewayo na NSSF yakiwemo mafao ya matibabu ambapo mkulima atapata matibabu bure yeye na...

 

11 years ago

Mwananchi

Warioba awakuna wasomi, wachambuzi

>Baadhi ya wasomi na wachambuzi wa masuala ya kisiasa hapa nchini wamesema hotuba ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadilko ya Katiba, Jaji  Joseph Warioba itasaidia kubadilisha msimamo wa wajumbe wengi wa Bunge Maalumu la Katiba.

 

10 years ago

BBCSwahili

AFCON:Charles Hillary awahoji wachambuzi

Dimba la mataifa ya Afrika likisubiriwa kwa hamu, mtangazaji wa BBC Charles Hillary ahawoji wachambuzi kuangazia timu

 

10 years ago

StarTV

Baadhi ya wanasiasa, wachambuzi wamkosoa Rais Kikwete

Na  Waandishi wetu

Dar Es Salaam, Kagera, Tanga.

 

Baadhi ya wanasiasa na wachambuzi wa siasa nchini wamekosoa hatua iliyochukuliwa na Rais Jakaya Kikwete dhidi ya watuhumiwa wa kashfa ya uchotwaji wa fedha za akaunti ya Tegeta Escrow kwa kusema kuwa ameshindwa kukata kiu ya watanzania waliotaka kuona anawawajibisha wahusika wote wa sakata hilo.

Wamesema kumfukuza kazi Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Profesa Anna Tibaijuka na kumuweka kiporo Waziri wa Nishati na Madini na...

 

10 years ago

Vijimambo

Mahojiano Maalum: “Ujane siyo ulemavu wala Huyatima siyo kufungwa” -Tabu Obago

Tabu Obago, akiwa nyumbani kwake MbagalaTabu Obago, akiwa nyumbani kwake Mbagala
Wapendwa wasomaji, wiki iliyopita niliwaletea mahojiano maalum kutoka kwa dada Zawadi Kakoschke. Katika mahojiahano hayo moja ya maswali ambayo nili muuliza ni kama kuna huusiano kati ya majina ambayo wazazi wanawapa watoto wao na mafanikio au tabia ya watoto hao. Sehemu ya mahojiano hayo yalikuwa kama ifuatavyo:-
Wewe binasfi unaamini majina ambayo wazazi wana wapa watoto wao yanachangia katika mafanikio yao kiuchumi, kielimu, na tabia zingine?...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani