Idadi ya wapigakura siyo msingi wa vyama kushinda-Wachambuzi
Wachambuzi wa masuala ya kisiasa nchini wamesema idadi kubwa ya wapigakura katika mikoa ambayo ni ngome kuu za baadhi ya vyama vya siasa siyo msingi wa vyama hivyo kushinda Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi13 Oct
NEC, vyama wagongana hatima ya Wapigakura Oktoba 25
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZXexq23faK8/Xufe8WrILiI/AAAAAAALt9A/BFNuhXtELyE-tOi-KirdycEtNanZwGIXwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.png)
IDADI YA WAPIGAKURA YAONGEZEKA UCHAGUZI MKUU 2020-WAZIRI MKUU
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZXexq23faK8/Xufe8WrILiI/AAAAAAALt9A/BFNuhXtELyE-tOi-KirdycEtNanZwGIXwCLcBGAsYHQ/s320/index.png)
Hata hivyo, Waziri Mkuu amesema Tume inaendelea na uchambuzi wa taarifa za wapiga kura waliojiandikisha na baada ya zoezi hilo kukamilika, Daftari la mwisho litakalotumika katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 litaandaliwa na kuwekwa wazi.
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Jumatatu, Juni 15,...
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
Vyama vya msingi vitetee wakulima
UONGOZI wa vyama vya msingi umekuwa ukilalamikiwa kwamba hautendi haki kwa wanachama ndani ya vyama hivyo kutokana na mambo mbalimbali. Miongoni mwa malalamiko hayo ni kwamba uongozi umekuwa ukizidisha muda...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
Madeni vyama vya msingi kikwazo soko la tumbaku
UFUNGUZI wa soko la tumbaku wa msimu wa mwaka 2013/2014 uliofanyika katika Chama cha Msingi cha Ushirika Makale,wilayani Manyoni, Singida ulihudhuriwa na wakulima wengi wa zao hilo pamoja na viongozi...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NmeW6D0qpME/VkMXVfBxHuI/AAAAAAABkBs/P-xBHZbVxeo/s72-c/IMG-20151111-WA0022%25281%2529.jpg)
NSSF WATOA SEMINA KWA WENYEVITI WA VYAMA VYA MSINGI (AMCOS) VYA WILAYA YA KILWA-LINDI
Aidha mpango huo unamwezesha mkulima na familia yake kufaidika na mafao mbalimbali yatolewayo na NSSF yakiwemo mafao ya matibabu ambapo mkulima atapata matibabu bure yeye na...
11 years ago
Mwananchi19 Mar
Warioba awakuna wasomi, wachambuzi
10 years ago
BBCSwahili16 Jan
AFCON:Charles Hillary awahoji wachambuzi
10 years ago
StarTV24 Dec
Baadhi ya wanasiasa, wachambuzi wamkosoa Rais Kikwete
Na Waandishi wetu
Dar Es Salaam, Kagera, Tanga.
Baadhi ya wanasiasa na wachambuzi wa siasa nchini wamekosoa hatua iliyochukuliwa na Rais Jakaya Kikwete dhidi ya watuhumiwa wa kashfa ya uchotwaji wa fedha za akaunti ya Tegeta Escrow kwa kusema kuwa ameshindwa kukata kiu ya watanzania waliotaka kuona anawawajibisha wahusika wote wa sakata hilo.
Wamesema kumfukuza kazi Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Profesa Anna Tibaijuka na kumuweka kiporo Waziri wa Nishati na Madini na...
10 years ago
Vijimambo11 Feb
Mahojiano Maalum: “Ujane siyo ulemavu wala Huyatima siyo kufungwa” -Tabu Obago
![Tabu Obago, akiwa nyumbani kwake Mbagala](http://alphaigogo.com/wp-content/uploads/2015/02/Tab-Obago-169x300.jpg)
Wapendwa wasomaji, wiki iliyopita niliwaletea mahojiano maalum kutoka kwa dada Zawadi Kakoschke. Katika mahojiahano hayo moja ya maswali ambayo nili muuliza ni kama kuna huusiano kati ya majina ambayo wazazi wanawapa watoto wao na mafanikio au tabia ya watoto hao. Sehemu ya mahojiano hayo yalikuwa kama ifuatavyo:-
Wewe binasfi unaamini majina ambayo wazazi wana wapa watoto wao yanachangia katika mafanikio yao kiuchumi, kielimu, na tabia zingine?...