NEC, vyama wagongana hatima ya Wapigakura Oktoba 25
Upo mgongano wa maslahi kati ya Tume ya Taifa ya uchaguzi (NEC)Â na vyama vya siasa juu ya mustakabali wa wapiga kura hapo Oktoba 25.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo28 Aug
Hatima ya kesi ya Lukaza Oktoba 8
HATIMA ya washitakiwa wawili wa kesi ya wizi wa Sh bilioni sita za Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kupitia Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA), itajulikana Oktoba 8 mwaka huu wakati Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu itakapotoa uamuzi kama wana kesi ya kujibu au la.
11 years ago
Mwananchi30 Jan
Nec: Daftari la wapigakura litaboreshwa
9 years ago
Habarileo13 Oct
NEC: Wapigakura halali ni mil. 22.7
SIKU 12 kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani nchini, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imebainisha idadi kamili ya Watanzania wanaostahili kupiga kura siku ya Oktoba, 25, mwaka huu), kuwa ni milioni 22.7 na si milioni 23.7 ya awali.
9 years ago
Mwananchi16 Oct
Idadi ya wapigakura siyo msingi wa vyama kushinda-Wachambuzi
9 years ago
Mwananchi15 Oct
NEC yafungua kituo kujibu wapigakura
10 years ago
Habarileo14 Aug
NEC yataja masharti Daftari la Wapigakura
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga kura linalotarajiwa kuanza hivi karibuni linamhusu kila raia mwenye sifa ya kupiga kura.
10 years ago
Habarileo12 Feb
NEC, wanasiasa kujadili daftari la wapigakura
WAKATI Uandikishaji katika daftari la Kudumu la Wapiga Kura, unatarajiwa kuanza rasmi Jumatatu ya wiki ijayo, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) leo inakutana na Vyama vya siasa kujadili mchakato huo.
10 years ago
Mwananchi30 Jun
NEC yaahirisha uandikishaji wapigakura Dar
11 years ago
Mwananchi21 Jun
NEC yakiri kasoro daftari la wapigakura