Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwandosya awakuna wazee wa Tabora

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi Maalumu, Profesa Mark MwandosyaWAZEE na viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini mkoani Tabora wamempongeza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Profesa Mark Mwandosya kwa kuwakumbuka na kula nao futari ya pamoja katika siku ya kwanza ya Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MGIMWA AWAKUNA WAZEE NYAMIHUU WAMCHANGIA TSH 100,000 YA FOMU YA UBUNGE

Mbunge wa jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa akishuka katika pikipiki (Boda Boda) akitoka kukagua ujenzi wa zahanati kijiji cha Nyamihuu leo.Mbunge wa jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa akikabidhi saruji mifuko 60 kwa mwenyekiti wa kijiji cha Nyamihuu Bw Richard Mbembe  kwa ajili ya ujenzi wa zahanati ya kijiji kama sehemu ya utekelezaji wa ahadi zake.Wazee kijiji cha Nyamihuu wakimchangia pesa za fomu Mgimwa kulia.
Na matukiodaimaBlogWAZEE  wa kijiji cha Nyamihuu kata ya Nzihi wamempongeza...

 

10 years ago

Habarileo

Mwandosya kuirejesha Tabora kitovu cha elimu

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi Maalumu, Profesa Mark MwandosyaWAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi Maalumu, Profesa Mark Mwandosya ameahidi kuurudisha Mkoa wa Tabora kuwa kitovu cha elimu na usafiri ili kuurejeshea mkoa huo hadhi yake kama ilivyokuwa awali.

 

11 years ago

Vijimambo

MATUKIO KATIKA PICHA YA MTANANGE WA WAZEE WA KUNDUCHI YANGA 0 NA WAZEE WA SAUZI SIMBA 0

Beki wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ (kulia), akiondosha mpira wa hatari katika eneo la langoni kwake huku mshambuliaji wa Simba, Elius Maguri (katikati) akijaribu kunyoosha guu ili kupiga mpira huo bila mafanikio wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliomaliziki jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, bila timu hizo kufungana. Kushoto ni Kelvin Yondan, akijiandaa kutoa msaada.

MATOKEO KAMILI YA MECHI ZA LIGI KUU KATIKA VIWANJA SITA HII LEO:-

YANGA 0- SIMBA 0
NDANDA...

 

5 years ago

Michuzi

WAZEE WAIPONGEZA SERIKALI SHINYANGA KUPUNGUZA MAUAJI YA WAZEE

Baraza la Wazee mkoa wa Shinyanga limeipongeza Serikali ya mkoa huo, kupunguza tatizo la mauaji ya wazee pamoja na watu wenye ualbino, ambao walikuwa akiuawa kwa sababu ya imani potofu za kishirikina.


Wazee wametoa pongezi hizo leo Machi 11,2020 kwenye kikao cha Baraza la Wazee Mkoa wa Shinyanga, kilichofanyika kwenye hospitali ya rufani ya mkoa wa Shinyanga, kilichokuwa na lengo la kujadili changamoto mbalimbali zinazowakabili na kuzitafutia ufumbuzi likiwamo suala la matibabu.  Akisoma...

 

5 years ago

Michuzi

Maji ya Ziwa Victoria Kufika Tabora sio ndoto tena, ni kweli tumeyaona- Wananchi wa Tabora



 Mkurugenzi wa Idara ya Usambazaji Maji, Wizara ya Maji Mhandisi Nadhifa Kemikimba akipanda katika tanki la maji la Ushirika wilayani Igunga kujionea kiwango cha msukumo wa maji. Tanki hilo lina uwezo wa kutunza maji lita milioni 2.5 na linatosha kuhudumia mji wa Igunga na pembezoni..Moja ya tanki la kuhifadhi maji kwa ajili ya huduma kwa wananchi...

 

10 years ago

Mwananchi

KUELEKEA MAJIMBONI : Mkoa wa Tabora hali si nzuri kwa Ukawa majimbo ya Uyui, Tabora na Igalula

Wilaya ya Uyui ni moja kati ya wilaya saba za mkoa wa Tabora na inaundwa na kata 29, vijiji 156 na vitongoji 688. Kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012 wilaya hii ina jumla ya wakazi 396,623 kwa maana ya wanaume 196,446, wanawake 200,177 na kuna wastani wa watu 6.6 katika kila kaya.

 

11 years ago

Mwananchi

Warioba awakuna wasomi, wachambuzi

>Baadhi ya wasomi na wachambuzi wa masuala ya kisiasa hapa nchini wamesema hotuba ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadilko ya Katiba, Jaji  Joseph Warioba itasaidia kubadilisha msimamo wa wajumbe wengi wa Bunge Maalumu la Katiba.

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete awakuna wawekezaji India

Rais Jakaya Kikwete.WAFANYABIASHARA nchini India wamemuahidi Rais Jakaya Kikwete na Watanzania kwa ujumla wataendelea kuwekeza Tanzania kwa kuwa ni nchi inayozingatia kanuni na mazingira ya uwekezaji.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mfalme Siboka awakuna mashabiki Mbeya

MSANII wa nyimbo za asili nchini, Costa Siboka ‘Mfalme Siboka’ mwishoni mwa wiki aliwapagawisha wakazi wa Jiji la Mbeya na vitongoji vyake baada ya kuimba wimbo mmoja wa Kinyakyusa, moja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani