Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mfalme Siboka awakuna mashabiki Mbeya

MSANII wa nyimbo za asili nchini, Costa Siboka ‘Mfalme Siboka’ mwishoni mwa wiki aliwapagawisha wakazi wa Jiji la Mbeya na vitongoji vyake baada ya kuimba wimbo mmoja wa Kinyakyusa, moja...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

mfalme siboka kutambulisha wimbo wake mpya mwanza na mbeya mwezi mei

Mfalme wa nyimbo za asili nchini Tanzania anatarajia kutambulisha wimbo mpya wa Engele yange ulioimbwa katika mahadhi ya makabila manne ya kanda ya ziwa mapema mwezi wa Mei 2014. Mfalme Siboka atambatana na kundi lake akianzia jijini Mwanza na kumalizia ziara Mbeya na Iringa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mfalme Siboka kuzindua Engere Yange Mei 24

MSANII wa nyimbo za asili, Costa Siboka ‘Mfalme Siboka’, anatarajiwa kuzindua wimbo wake unaojulikana kwa jina la ‘Engere Yange’ katika ukumbi wa PJ Palace uliopo Kinondoni jijini Dar es Salaam,...

 

11 years ago

Michuzi

HADIJA KOPA AWAKUNA WAKAZI WA JIJI LA MBEYA

 Malkia wa Taarab nchini Bi. Hadija Kopa akiimba mbele ya umati wa watu kwenye ukumbi maarufu wa City Pub mjni Mbeya.  Baadhi ya wanamuziki wa TOT Taarab wakiimba kwa hamasa wakati band hiyo ya muziki wa taarab ilipotumbuiza kwenye ukumbi wa City Pub mjini Mbeya.  Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akimpongeza bi Hadija Kopa kwa umahiri wake wa kuimba taarab kwenye ukumbi wa City Pub Mbeya. Umati wa watu ukiwa umefurika wakati Malkia wa Taaarab Hadija Kopa na Band ya Taarab...

 

10 years ago

Michuzi

TAMASHA LA FIESTA LAFANA,DAVIDO,ALI KIBA,DIAMOND WAZUA GUMZO KWA MASHABIKI,T.I AWAKUNA WABONGO

Mmoja wa askari waliokuwa wamepangwa katika suala zima la kusimamia usalama ndani ya tamasha la Fiesta 2014 akihakikisha usalama wa kutosha unakuwepo katika eneo hilo,na watazamaji wanapata burudani iliyokusudiwa kutoka kwa wasanii mbalimbali waliotumbuiza usiku wa kuamkia leo katika tamasha la Fiesta 2014 lililofanyika usiku wa kuamkia leo katika viwanja vya Lidaz Kinondoni jijini Dar.Shaa na madansa wake wakilishambulia jukwaa. 
Pichani kulia ni Msanii kutoka nchini Nigeria ajulikanae...

 

10 years ago

Mwananchi

Mashabiki Mbeya City wamlilia kocha

Baadhi ya mashabiki wa Mbeya City walioko jijini Mbeya, wamesema moja ya sababu ya timu yao kushindwa kuonyesha cheche zake kama ilivyokuwa msimu uliopita wa Ligi Kuu Bara ni pengo linaonekana baada ya kuondoka kwa aliyekuwa kocha msaidizi, Maka Mwalwisi.

 

9 years ago

Habarileo

Mwambusi atuliza mashabiki Mbeya City

KOCHA Mkuu wa Mbeya City, Juma Mwambusi amewataka wapenzi na mashabiki wa timu hiyo kuwa na moyo wa subira pale timu hiyo inapopata matokeo mabaya kwenye Ligi Kuu kwa kuwa bado ni mwanzo wa msimu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Meya Kapunga awakera mashabiki Mbeya City

KATIKA mazingira yasiyotarajiwa, Meya wa jiji la Mbeya, Athanus Kapunga, mwishoni mwa wiki alijikuta katika wakati mgumu akishindwa kuhutubia baada ya mashabiki wa soka kuanza kuzomea wakikerwa na hatua yake...

 

10 years ago

Michuzi

Costa Siboka aendelea na ziara yake kanda ya ziwa

Mfalme wa nyimbo za asili nchini Tanzania Costa Siboka, Baada ya kufanya kufuru na kuvunja Rekodi katika Miji ya Mwanza, Geita,Visiwa vya Ghana na Ukerewe Sasa anatarajia kumalizia ziara yake katika Miji ya Bunda,Bariadi,Shirati,Tarime , Butiama na Dutwa.Shoo hizo zitafanyika tarehe 22 Septemba 2014 mpaka tarehe 30 septemba 2014.Mfalme Siboka akiwa na kundi lake ametamba na kusema yeye in jeshi la Mtu mmoja...Hakunaga shiiida, Vuta raha Barimi tumpokee Mfalme.Siboka yupo katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani