Mfalme Siboka kuzindua Engere Yange Mei 24
MSANII wa nyimbo za asili, Costa Siboka ‘Mfalme Siboka’, anatarajiwa kuzindua wimbo wake unaojulikana kwa jina la ‘Engere Yange’ katika ukumbi wa PJ Palace uliopo Kinondoni jijini Dar es Salaam,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lyh5o0BZWDw/UvulBmM-4EI/AAAAAAAFMns/7I_4YOOpLEc/s72-c/unnamed.jpg)
mfalme siboka kutambulisha wimbo wake mpya mwanza na mbeya mwezi mei
![](http://1.bp.blogspot.com/-lyh5o0BZWDw/UvulBmM-4EI/AAAAAAAFMns/7I_4YOOpLEc/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
Mfalme Siboka awakuna mashabiki Mbeya
MSANII wa nyimbo za asili nchini, Costa Siboka ‘Mfalme Siboka’ mwishoni mwa wiki aliwapagawisha wakazi wa Jiji la Mbeya na vitongoji vyake baada ya kuimba wimbo mmoja wa Kinyakyusa, moja...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-j4LfKzfWeoo/VBmRhNQrLaI/AAAAAAAGkGc/lqwrtI8bfLc/s72-c/unnamed%2B(62).jpg)
Costa Siboka aendelea na ziara yake kanda ya ziwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-j4LfKzfWeoo/VBmRhNQrLaI/AAAAAAAGkGc/lqwrtI8bfLc/s1600/unnamed%2B(62).jpg)
10 years ago
BBCSwahili23 Jan
Mfalme Abdullah afariki dunia
9 years ago
BBCSwahili07 Dec
‘Mfalme wa Wayoruba’ atawazwa Nigeria
10 years ago
BBCSwahili29 Aug
Harry Belafonte mfalme wa Calypso
10 years ago
Vijimambo23 Jan
Mfalme Abdullah afariki dunia
![](http://www.bigprojectme.com/wp-content/uploads/2013/12/saudi-king-abdulla.jpg)
Taarifa zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa mfalme wa Saudi Abdullah bin Abdulaziz amefariki dunia akiwa hospitalini .
Tamko la kifo cha mfalme huyo zilitolewa na kaka wa mfalme huyo aitwaye , Salman,ambaye naye aliwahi kuwa mfalme.
Kabla ya tamko hilo television ya taifa la Saudi lilikatiza matangazo yake na kuweka nyimbo za quraan ,kama ishara ya kifo cha kiongozi wa juu wa ufalme.
King Abdullah, amefariki dunia akiwa na miaka 90, alilazwa hospitalini kwa wiki kadhaa...
10 years ago
BBCSwahili31 Dec
Mfalme Abdullah wa Saudia alazwa
11 years ago
Habarileo04 Jul
Kikwete amkaribisha mtoto wa Mfalme
RAIS Jakaya Kikwete amemkaribisha Ikulu, Dar es Salaam, Mwana wa Mfalme wa Japan, Prince Akishino pamoja na mkewe Princess Akishono. Mwana Mfamle huyo ambaye anatembelea Tanzania, alifanya mazungumzo jana na Kikwete. Katika mazungumzo yao, Rais Kikwete alisema Japan ni mshirika mkubwa na muhimu wa maendeleo ya Tanzania.