Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mfalme Siboka kuzindua Engere Yange Mei 24

MSANII wa nyimbo za asili, Costa Siboka ‘Mfalme Siboka’, anatarajiwa kuzindua wimbo wake unaojulikana kwa jina la ‘Engere Yange’ katika ukumbi wa PJ Palace uliopo Kinondoni jijini Dar es Salaam,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

mfalme siboka kutambulisha wimbo wake mpya mwanza na mbeya mwezi mei

Mfalme wa nyimbo za asili nchini Tanzania anatarajia kutambulisha wimbo mpya wa Engele yange ulioimbwa katika mahadhi ya makabila manne ya kanda ya ziwa mapema mwezi wa Mei 2014. Mfalme Siboka atambatana na kundi lake akianzia jijini Mwanza na kumalizia ziara Mbeya na Iringa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mfalme Siboka awakuna mashabiki Mbeya

MSANII wa nyimbo za asili nchini, Costa Siboka ‘Mfalme Siboka’ mwishoni mwa wiki aliwapagawisha wakazi wa Jiji la Mbeya na vitongoji vyake baada ya kuimba wimbo mmoja wa Kinyakyusa, moja...

 

10 years ago

Michuzi

Costa Siboka aendelea na ziara yake kanda ya ziwa

Mfalme wa nyimbo za asili nchini Tanzania Costa Siboka, Baada ya kufanya kufuru na kuvunja Rekodi katika Miji ya Mwanza, Geita,Visiwa vya Ghana na Ukerewe Sasa anatarajia kumalizia ziara yake katika Miji ya Bunda,Bariadi,Shirati,Tarime , Butiama na Dutwa.Shoo hizo zitafanyika tarehe 22 Septemba 2014 mpaka tarehe 30 septemba 2014.Mfalme Siboka akiwa na kundi lake ametamba na kusema yeye in jeshi la Mtu mmoja...Hakunaga shiiida, Vuta raha Barimi tumpokee Mfalme.Siboka yupo katika...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mfalme Abdullah afariki dunia

Mfalme Abdula wa Saudi Arabia afariki dunia akiwa na miaka 91,kutokana na maradhi ya njia ya hewa.

 

9 years ago

BBCSwahili

‘Mfalme wa Wayoruba’ atawazwa Nigeria

Maelfu ya watu walijitokeza kushuhudia kutawazwa kwa mmoja wa wafalme wa Wayoruba ajulikanaye kama Ooni wa Ife.

 

10 years ago

BBCSwahili

Harry Belafonte mfalme wa Calypso

Muigizaji maarufu na mwimbaji wa nyimbo ambaye ni Mmarekani Harry Belafonte anatarajiwa kutunukiwa tuzo.

 

10 years ago

Vijimambo

Mfalme Abdullah afariki dunia

Hayyat Mfalme Abdullah
Taarifa zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa mfalme wa Saudi Abdullah bin Abdulaziz amefariki dunia akiwa hospitalini .

Tamko la kifo cha mfalme huyo zilitolewa na kaka wa mfalme huyo aitwaye , Salman,ambaye naye aliwahi kuwa mfalme.

Kabla ya tamko hilo television ya taifa la Saudi lilikatiza matangazo yake na kuweka nyimbo za quraan ,kama ishara ya kifo cha kiongozi wa juu wa ufalme.

King Abdullah, amefariki dunia akiwa na miaka 90, alilazwa hospitalini kwa wiki kadhaa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mfalme Abdullah wa Saudia alazwa

Mfalme Abdullah wa Saud Arabia amelazwa hospitalini ili kufanyiwa ukaguzi.

 

11 years ago

Habarileo

Kikwete amkaribisha mtoto wa Mfalme

RAIS Jakaya Kikwete amemkaribisha Ikulu, Dar es Salaam, Mwana wa Mfalme wa Japan, Prince Akishino pamoja na mkewe Princess Akishono. Mwana Mfamle huyo ambaye anatembelea Tanzania, alifanya mazungumzo jana na Kikwete. Katika mazungumzo yao, Rais Kikwete alisema Japan ni mshirika mkubwa na muhimu wa maendeleo ya Tanzania.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani