Harry Belafonte mfalme wa Calypso
Muigizaji maarufu na mwimbaji wa nyimbo ambaye ni Mmarekani Harry Belafonte anatarajiwa kutunukiwa tuzo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo527 Sep
New Music: Conscious f/ Harry — You Are The One
10 years ago
BBCSwahili04 Feb
Harry Redknapp ajiuzulu
10 years ago
TheCitizen22 Jun
UK’s Prince Harry to work in Tanzania
10 years ago
TheCitizen09 Jun
The presidency is not for every tom, dick and harry
5 years ago
RFI09 Mar
One last event before Harry and Meghan bow out
10 years ago
BBCSwahili17 Mar
Prince Harry kuondoka jeshini Juni
9 years ago
Global Publishers04 Jan
Kendall, Harry Styles wazua maswali
Modo kiwango Kendall Jenner akiwa na mwanamuziki Harry Stayles.
CARIBBEAN, Mexico
BAADA ya wiki iliyopita kuonekana wakiwa pamoja kwenye mtoko wa chakula cha usiku, modo kiwango Kendall Jenner na mwanamuziki Harry Stayles wameonekana tena wakiwa katika mikao ya kimahaba kwenye boti huko Carribean.
Wawili hao ambao wanaripotiwa kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi bado hawajazungumza lolote kuhusu hali iliyopo baina yao kwa sasa licha ya kuwa wamekuwa wakionekana kuwa kwenye mikao ya kimahaba.
10 years ago
Vijimambo23 Jan
Mfalme Abdullah afariki dunia
![](http://www.bigprojectme.com/wp-content/uploads/2013/12/saudi-king-abdulla.jpg)
Taarifa zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa mfalme wa Saudi Abdullah bin Abdulaziz amefariki dunia akiwa hospitalini .
Tamko la kifo cha mfalme huyo zilitolewa na kaka wa mfalme huyo aitwaye , Salman,ambaye naye aliwahi kuwa mfalme.
Kabla ya tamko hilo television ya taifa la Saudi lilikatiza matangazo yake na kuweka nyimbo za quraan ,kama ishara ya kifo cha kiongozi wa juu wa ufalme.
King Abdullah, amefariki dunia akiwa na miaka 90, alilazwa hospitalini kwa wiki kadhaa...
11 years ago
BBCSwahili02 Jun
Mfalme wa Uhispania aachia ngazi