Harry Redknapp ajiuzulu
Harry Redknapp amejiuzulu kazi ya kuifundisha timu ya Queens Park Rangers ya ligi kuu ya England,EPL.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
The Guardian08 Mar
Harry Redknapp and Caitlyn Jenner caught in charity support sting
5 years ago
The Sun08 Mar
Harry Redknapp caught out in celebs for sale scandal after his reps were paid £20,000 for him to plug fake
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/77994000/jpg/_77994882_taarabt.jpg)
Redknapp wants Taarabt to shape up
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/78480000/jpg/_78480569_taraabt.jpg)
Taarabt row over, says Redknapp
5 years ago
Goal.Com31 Mar
Sadio Mane is made out of granite, an absolute machine for Liverpool - Redknapp
9 years ago
Bongo527 Sep
New Music: Conscious f/ Harry — You Are The One
10 years ago
BBCSwahili17 Dec
Mchunguzi wa FIFA ajiuzulu
10 years ago
Mtanzania17 Dec
Jaji Werema ajiuzulu
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam,
MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema ambaye ni mmoja wa watuhumiwa katika kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow ametangaza kujiuzulu.
Hatua hiyo ya Werema imekuja wakati Watanzania wakiwa bado wanasubiri uamuzi wa Rais Jakaya Kikwete kuhuau maamizio manane ya Bunge yaliyotokana na Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), aliyekagua miamala ya Akaunti ya Tegeta Escrow.
Katika...
10 years ago
StarTV24 Jan
Prof. Muhongo ajiuzulu.
Waziri wa nishati na madini nchini Tanzania Profesa Sospeter Muhongo amejiuzulu,na kumfanya kuwa afisa wa tatu wa ngazi za juu serikalini kuathiriwa na ufisadi uliokumba sekta ya kawi katika taifa hilo la Afrika mashariki.
Professa Muhongo alitoa tanagazo hilo wakati wa mkutano na vyombo vya habari.
Kujiuzulu kwake kunajiri baada ya kufutwa kazi kwa waziri wa Ardhi na kujiuzulu kwa mwanasheria mkuu ,wote wakiwa wamehusishwa na kutolewa kwa zaidi ya dola milioni 120 kutoka kwa benki kuu...