‘Mfalme wa Wayoruba’ atawazwa Nigeria
Maelfu ya watu walijitokeza kushuhudia kutawazwa kwa mmoja wa wafalme wa Wayoruba ajulikanaye kama Ooni wa Ife.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Chukwuemeka Ike: Mfalme wa Nigeria mwandishi wa kitabu 'Toads for Supper'
Mashabiki wa Chukwuemeka Ike, aliyekufa mwezi ulioita, wanasema anastahili kutambulika na kuwa maarufu zaidi duniani.
10 years ago
Habarileo17 Feb
Mwanafunzi atawazwa Chifu wa Wahehe
MWANAFUNZI wa Darasa la Saba, Adam Abdul Sapi (13) ametawazwa kuwa Chifu mpya wa Wahehe, akirithi nafasi ya baba yake, aliyefariki na kuzikwa jana mkoani Iringa.
9 years ago
BBCSwahili27 Nov
Dibaba atawazwa mwanariadha bora wa mwaka
Mwanariadha kutoka Ethiopia Genzebe Dibaba ameshinda tuzo ya Mwanariadha Bora wa Mwaka inayotolewa na Shirikisho la Riadha Duniani (IAAF) upande wa wanawake.
9 years ago
Mwananchi29 Nov
Priscilla atawazwa Miss Albino 2015
Mkazi wa Chanika, Dar es Salaam, Priscilla Samweli (22) ameshinda taji la ‘Miss Albino 2015, akiwagaragaza wenzake saba.
9 years ago
BBCSwahili05 Jan
Benitez nje Real Madrid,Zidane atawazwa
Klabu ya Hispania ya Real Madrid umemtimua kocha wake Rafael Benitez na nafasi yake imechukuliwa na mchezaji mkongwe mfaransa Zinedine Zidane.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0EX-KB4616g/U_hIPnX843I/AAAAAAAGBjo/JaH1uzlbjrk/s72-c/k1.jpg)
Rais Kikwete atawazwa kuwa chifu msaidizi wa waluguru na chifu kingalu huko kinole, morogoro, apewa jina la Chidukila
![](http://4.bp.blogspot.com/-0EX-KB4616g/U_hIPnX843I/AAAAAAAGBjo/JaH1uzlbjrk/s1600/k1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-c7ruhR7Z9QY/U_hKwvzBrxI/AAAAAAAGBmA/msdYqRdUesY/s1600/k4.jpg)
CHIFU wa Waluguru Kingalu Mwanabanzi wa 14,...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7-M2NaBuVhw/Vczp8xh1OiI/AAAAAAAHwZU/pV5TDhj3C-w/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Askofu Dk. Charles Gadi atawazwa Askofu Mkuu wa Kanisa la Habari Njema kwa Wote Tanzania, atunukiwa shahada mbili za udaktari Bagamoyo
![](http://1.bp.blogspot.com/-7-M2NaBuVhw/Vczp8xh1OiI/AAAAAAAHwZU/pV5TDhj3C-w/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zH0W867zq4Y/Vczp823ZtNI/AAAAAAAHwZQ/AmX_dWEMDyg/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7t3xx-fl3FA/Vczp-_pNcPI/AAAAAAAHwZ8/JqfhHJF_lOo/s640/unnamed.jpg)
Askofu Gadi akisimikwa na Maaskofu mbalimbali kutoka nje na nchini Jumapili
![](http://2.bp.blogspot.com/-RCv2jQP8O9M/Vczp98oxdAI/AAAAAAAHwZs/x22-LVv3RNQ/s640/unnamed%2B%25285%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo23 Jan
Mfalme Abdullah afariki dunia
![](http://www.bigprojectme.com/wp-content/uploads/2013/12/saudi-king-abdulla.jpg)
Taarifa zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa mfalme wa Saudi Abdullah bin Abdulaziz amefariki dunia akiwa hospitalini .
Tamko la kifo cha mfalme huyo zilitolewa na kaka wa mfalme huyo aitwaye , Salman,ambaye naye aliwahi kuwa mfalme.
Kabla ya tamko hilo television ya taifa la Saudi lilikatiza matangazo yake na kuweka nyimbo za quraan ,kama ishara ya kifo cha kiongozi wa juu wa ufalme.
King Abdullah, amefariki dunia akiwa na miaka 90, alilazwa hospitalini kwa wiki kadhaa...
11 years ago
BBCSwahili07 Jan
Mwanawe mfalme mahakani uhispania
Mwanawe wa mwisho mfalme Juan Carlos wa Uhispania amefikishwa mahakamani kwa madai ya kukwepa kulipa ushuru na ulaji rushwa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania