Dibaba atawazwa mwanariadha bora wa mwaka
Mwanariadha kutoka Ethiopia Genzebe Dibaba ameshinda tuzo ya Mwanariadha Bora wa Mwaka inayotolewa na Shirikisho la Riadha Duniani (IAAF) upande wa wanawake.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/14E1B/production/_86913558_eaton_getty.jpg)
Eaton and Dibaba win IAAF awards
American decathlete Ashton Eaton and Ethiopian runner Genzebe Dibaba are named athletes of the year.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/omkt7cwbhXIGJdrSzYbl4b2JtZi7DuZX12GklObLgwfTpS4Kr3YxNXKnXl50sot8cThal3qFniL*GksSlX0LrzpJIyBDr6kt/chawote.jpg?width=650)
MWANAMKE BORA WA MWAKA 2014
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda kesho atakuwa mgeni rasmi katika hafla ya kukabidhi Tuzo ya Mwanamke Bora wa Mwaka 2013-14, itakayowakutanisha wanawake wanne itakayofanyika kesho katika Ukumbi wa The African Dream mjini Dodoma. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ndiye atakuwa mgeni rasmi katika utoaji tuzo. Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, ambayo ndiyo iliyoratibu zoezi hilo, Eric Shigongo, alisema jana kwamba shughuli hiyo itakuwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yl8XiM-qOZZ0ulYrPufAIWTT0kXKQEVN8wVYA5VWs7YaXt6K5DOOdnycdodzdkcKnelqGeAVykHJSI9RRHsEVHWrDvhOVsKG/mariakamm.jpg?width=650)
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Hazard mchezaji bora wa mwaka England
Baada ya kusubiri kwa misimu miwili hatimae Eden Hazard ameibuka mchezaji bora wa mwaka wa England na kutwaa tuzo ya PFA.
9 years ago
BBCSwahili06 Jan
Rooney mchezaji Bora wa Mwaka 2015.
Wayne Rooney ametwaa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka kwa 2015 akitetea tena Tuzo ambayo pia aliizoa mwaka 2014.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-u2Re5-fC1AI/VhiYjHPUWuI/AAAAAAAAVVw/cSfkZRZSBQI/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
BUZWAGI YAWAZAWADIA WAFANYAKAZI BORA WA MWAKA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-u2Re5-fC1AI/VhiYjHPUWuI/AAAAAAAAVVw/cSfkZRZSBQI/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-b5uLVTyw3Jw/VhiY1uv_nmI/AAAAAAAAVYg/A11UF5I_anA/s640/unnamed%2B%25283%2529.jpg)
10 years ago
Habarileo17 Feb
Mwanafunzi atawazwa Chifu wa Wahehe
MWANAFUNZI wa Darasa la Saba, Adam Abdul Sapi (13) ametawazwa kuwa Chifu mpya wa Wahehe, akirithi nafasi ya baba yake, aliyefariki na kuzikwa jana mkoani Iringa.
9 years ago
BBCSwahili07 Dec
‘Mfalme wa Wayoruba’ atawazwa Nigeria
Maelfu ya watu walijitokeza kushuhudia kutawazwa kwa mmoja wa wafalme wa Wayoruba ajulikanaye kama Ooni wa Ife.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/saEvSFZMI0kh30-z5z4YPGPNnxAD8OVC5sDIgkBJcZCFCZEsSx8VPh5JOJXUgRKEtv7m0qos-IYOMB3KXcA4j1tTst*wdJam/S1.jpg?width=640)
SUAREZ ABEBA TUZO YA MWANASOKA BORA WA MWAKA
Mchezaji Bora wa Mwaka, Luis Suarez akisherehekea tuzo yake ya Shirikisho ya Mashabiki wa Soka, akiwa na mkewe Sofia. Suarez akisherehekea tuzo yake Uwanja wa Emirates. MSHAMBULIAJI Luis Suarez ametajwa mchezaji bora wa mwaka wa tuzo ya Shirikisho la Mashabiki wa Soka jana usiku akiwapiku Leighton Baines, Christian Benteke, Juan Mata, Robin van Persie na Pablo Zabaleta kushinda tuzo hiyo iliyohusisha wapiga kura zaidi ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania