Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dibaba atawazwa mwanariadha bora wa mwaka

Mwanariadha kutoka Ethiopia Genzebe Dibaba ameshinda tuzo ya Mwanariadha Bora wa Mwaka inayotolewa na Shirikisho la Riadha Duniani (IAAF) upande wa wanawake.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBC

Eaton and Dibaba win IAAF awards

American decathlete Ashton Eaton and Ethiopian runner Genzebe Dibaba are named athletes of the year.

 

11 years ago

GPL

MWANAMKE BORA WA MWAKA 2014

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda kesho atakuwa mgeni rasmi katika hafla ya kukabidhi Tuzo ya Mwanamke Bora wa Mwaka 2013-14, itakayowakutanisha wanawake wanne itakayofanyika kesho katika Ukumbi wa The African Dream mjini Dodoma. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ndiye atakuwa mgeni rasmi katika utoaji tuzo. Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, ambayo ndiyo iliyoratibu zoezi hilo, Eric Shigongo, alisema jana kwamba shughuli hiyo itakuwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Hazard mchezaji bora wa mwaka England

Baada ya kusubiri kwa misimu miwili hatimae Eden Hazard ameibuka mchezaji bora wa mwaka wa England na kutwaa tuzo ya PFA.

 

9 years ago

BBCSwahili

Rooney mchezaji Bora wa Mwaka 2015.

Wayne Rooney ametwaa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka kwa 2015 akitetea tena Tuzo ambayo pia aliizoa mwaka 2014.

 

9 years ago

Michuzi

BUZWAGI YAWAZAWADIA WAFANYAKAZI BORA WA MWAKA.

Meneja wa Idara ya Maboresho ya Biashara wa Mgodi wa Buzwagi Bwana Richard Ojendo wa kwanza kushoto akipokea tuzo ya heshima ya utumishi uliotukuka ya meneja wa mgodi, “General Manager Prestegious award” kutoka kwa mkuu wa wilaya ya Kahama Bwana Benson Mpesya,(katikati) anaeshuhudia upande wa kulia ni Eng. Philbert Rweyemamu Meneja Mkuu wa Mgodi wa Buzwagi.Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii kanda ya Kaskazini aliyekuwa Shinyanga.Meneja wa Idara ya Maboresho ya Biashara wa Mgodi wa Buzwagi...

 

10 years ago

Habarileo

Mwanafunzi atawazwa Chifu wa Wahehe

Wazee wa kimila wakimsimika Adam Abdul Sapi Mkwawa (aliyeshika ngao na mkuki) kuwa Chifu mpya wa Kabila la Wahehe, ikiwa ni siku mbili baada ya baba yake, Abdul Sapi Mkwawa kufariki dunia katika Kijiji cha Kalenga mkoani Iringa juzi. Picha ndogo Rais Jakaya Kikwete akimfariji Chifu huyo mpya wakati wa maziko ya baba yake. (Picha na Frank Leonard).MWANAFUNZI wa Darasa la Saba, Adam Abdul Sapi (13) ametawazwa kuwa Chifu mpya wa Wahehe, akirithi nafasi ya baba yake, aliyefariki na kuzikwa jana mkoani Iringa.

 

9 years ago

BBCSwahili

‘Mfalme wa Wayoruba’ atawazwa Nigeria

Maelfu ya watu walijitokeza kushuhudia kutawazwa kwa mmoja wa wafalme wa Wayoruba ajulikanaye kama Ooni wa Ife.

 

11 years ago

GPL

SUAREZ ABEBA TUZO YA MWANASOKA BORA WA MWAKA

Mchezaji Bora wa Mwaka, Luis Suarez akisherehekea tuzo yake ya Shirikisho ya Mashabiki wa Soka, akiwa na mkewe Sofia. Suarez akisherehekea tuzo yake Uwanja wa Emirates. MSHAMBULIAJI Luis Suarez ametajwa mchezaji bora wa mwaka wa tuzo ya Shirikisho la Mashabiki wa Soka jana usiku akiwapiku Leighton Baines, Christian Benteke, Juan Mata, Robin van Persie na Pablo Zabaleta kushinda tuzo hiyo iliyohusisha wapiga kura zaidi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani