Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MGIMWA AWAKUNA WAZEE NYAMIHUU WAMCHANGIA TSH 100,000 YA FOMU YA UBUNGE

Mbunge wa jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa akishuka katika pikipiki (Boda Boda) akitoka kukagua ujenzi wa zahanati kijiji cha Nyamihuu leo.Mbunge wa jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa akikabidhi saruji mifuko 60 kwa mwenyekiti wa kijiji cha Nyamihuu Bw Richard Mbembe  kwa ajili ya ujenzi wa zahanati ya kijiji kama sehemu ya utekelezaji wa ahadi zake.Wazee kijiji cha Nyamihuu wakimchangia pesa za fomu Mgimwa kulia.
Na matukiodaimaBlogWAZEE  wa kijiji cha Nyamihuu kata ya Nzihi wamempongeza...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MBUNGE GODFREY MGIMWA ASEMA AMETUMIA ZAIDI YA TSH MILIONI 68 KWA MIENZI MITATU YA UBUNGE WAKE KUTEKELEZA AHADI 90 ZA MBUNGE WA KALENGA ALIYEFARIKI DUNIA DR WILIAM MGIMWA‏

Mbunge wa  jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa  (kulia) akikabidhi ahadi ya bati 100 alizokuwa ameziahidi mbunge aliyepita marehemu Dr. Wiliam Mgimwa kwa  viongozi wa kijiji cha Mangalali kwa ajili ya ujenzi  wa vyumba vya madarasa  shule ya msingi Lukwambe hadi  sasa ni asilimia 90 ya ahadi binafsi za mbunge aliyefariki  zimetekelezwa jimbo la Kalenga na mbunge Mgimwa…
...

 

10 years ago

Vijimambo

WATEJA WA SELCOM KUJINYAKULIA TSH 100,000 KILA SIKU

Meneja ukuzaji biashara na Masoko wa Selcom Tanzania, Juma Mgori kushoto akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani juu ya uzinduzi wa promosheni ya 'Shinda na Selcom' inayomwezesha mtumiaji wa huduma za kampuni hiyo kujishindia Tsh 100,000 ambapo washindi kumi watajishindia kitita hicho kila wiki na shindano hilo litadumu hadi mei 31 kulia ni Meneja Miradi wa Kampuni hiyo Gallus RunyetaMeneja ukuzaji biashara na Masoko wa Selcom Tanzania, Juma Mgori kushoto akibonyeza kitufe...

 

9 years ago

Vijimambo

Jipatie Tsh 2,000 hadi Tsh 40,000 kwa Video kupitia Kisakuzi.com

Kisakuzi.com ni mtandao unaoonesha video za matukio mbalimbali yanayotokea nchini. Mtandao huu, unanunua video na kumuwezesha mtazamaji kujiongezea kipato chake. Kutokana na ubora au tukio la video yako, unaweza kupata kuanzia shilingi 2,000 hadi 40,000 kwa video moja. kisakuzi-video-tanzania Tunapokea video ambazo unazimiliki wewe, umeipiga kwa kutumia simu yako au kamera yako. Nirahisi. Upatapo video kama hiyo bila kujali ufupi wake unaweza kuituma kwenda Je, wajua kwa kutumia simu ya mkononi au kompyuta yako...

 

11 years ago

Mwananchi

Mgimwa achukua fomu za Ubunge kwa mbwembwe

Mgombea Ubunge Jimbo la Kalenga kupitia CCM, Godfrey Mgimwa jana amechukua rasmi fomu ya kuwania kiti hicho kwa mbwewe katika Ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Vijijini, huku akitaja vipaumbele vinne alivyodai kuvifanyia kazi mara atakapotangazwa mshindi.

 

10 years ago

Michuzi

wanaCCM mkoani Tabora wamchangia mh. Lowassa fedha za kuchukulia fomu ya kuwania Urais

Mzee wa CCM wilaya ya Urambo mkoani Tabora, Yusuf Bundala Kasubi, (kulia), akimkabidhi Waziri Mkuu wa Mstaafu na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, zaidi ya shilingi milioni moja, zilizochangwa na wanachama wa CCM mkoani Tabora, ili azitumia kulipia ada ya kuchukua fomu za kuwania urais kupitia chama hicho. Hafla ya kukabidhi fedha hizo ilifanyika nyumbani kwa Mtangaza nia huyo, mjini Dodoma leo Alhamisi Juni 4, 2015. Katibu wa Uchumi na Fedha wa CCM wilaya ya Nzega mkoani Tabora,...

 

10 years ago

Habarileo

Mwandosya awakuna wazee wa Tabora

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi Maalumu, Profesa Mark MwandosyaWAZEE na viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini mkoani Tabora wamempongeza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Profesa Mark Mwandosya kwa kuwakumbuka na kula nao futari ya pamoja katika siku ya kwanza ya Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.

 

5 years ago

VentureBeat

HQ Trivia returns with surprise $1,000 show and $100,000 donation

HQ Trivia returns with surprise $1,000 show and $100,000 donation  VentureBeatOnetime hit app HQ Trivia resurrected by anonymous investor  MarketWatchHQ Trivia is actually back for real, just when we need it most  MashableHQ Trivia is back less than two months after the app was shut down  The VergeHQ Trivia Returns Thanks to Anonymous Investor  The Wall Street JournalView Full coverage on Google News

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani