Mwandosya kuirejesha Tabora kitovu cha elimu
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi Maalumu, Profesa Mark Mwandosya ameahidi kuurudisha Mkoa wa Tabora kuwa kitovu cha elimu na usafiri ili kuurejeshea mkoa huo hadhi yake kama ilivyokuwa awali.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo20 Jun
Mwandosya awakuna wazee wa Tabora
WAZEE na viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini mkoani Tabora wamempongeza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Profesa Mark Mwandosya kwa kuwakumbuka na kula nao futari ya pamoja katika siku ya kwanza ya Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
10 years ago
Mwananchi08 Jul
‘Swahilihub’ — Kitovu cha Kiswahili
9 years ago
Habarileo16 Oct
Nyanda za Juu Kusini kuwa kitovu cha maziwa
SERIKALI imeahidi kuifanya mikoa ya Nyanda za Juu Kusini kuwa kitovu cha uzalishaji maziwa kwa kuwa ina mazingira yanayofaa kwa uzalishaji na ufugaji wa ng’ombe wa maziwa.
10 years ago
BBCSwahili28 Aug
Ebola yaenea katika kitovu cha mafuta Nigeria
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ydmNf6OSy9E/U-4gUynykdI/AAAAAAAF_4Y/Umf45bDTC9Q/s72-c/unnamedn.jpg)
Tanzania kuwa kitovu kikuu cha madini ya vito Afrika
![](http://4.bp.blogspot.com/-ydmNf6OSy9E/U-4gUynykdI/AAAAAAAF_4Y/Umf45bDTC9Q/s1600/unnamedn.jpg)
Imeelezwa kuwa Tanzania inatarajia kuwa kitovu kikuu cha madini ya vito barani Afrika baada ya kubainika kuwa na utajiri mkubwa wa madini ya vito. Hayo yalisemwa na mtaalamu wa madini ya vito na almasi kutoka Kitengo cha Uthamini wa Madini ya Vito na Almasi (TANSORT) kilicho chini ya Wizara ya Nishati na Madini Teddy Goliama kwenye semina iliyoshirikisha Makamishna Wasaidizi wa Madini wa Kanda, Afisa Madini Wakazi na Wataalamu kutoka Wizara ya Nishati na...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mtvGQMaGEL0/VlqYSW9M6SI/AAAAAAAII4U/eUoUCys3Nd8/s72-c/1.png)
Serikali yafuta rasmi ada kwa elimu ya sekondari kidato cha kwanza hadi cha nne na michango yote katika elimu ya msingi
5 years ago
BBCSwahili17 Apr
Virusi ya corona: Afrika huenda ikawa kitovu kipya cha mlipuko wa corona - yaonya WHO
10 years ago
Uhuru Newspaper27 Oct
Mwandosya: Fedha si kigezo cha Urais
NA SOLOMON MWANSELE, MBEYA
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Profesa Mark Mwandosya, amesema fedha si kigezo cha mtu kuteuliwa kuwania nafasi ya urais na kwamba, imani iliyojenga haina mashiko.
Amesema suala hilo limekuwa likimtatanisha na kueleza kuwa kiongozi huchaguliwa kutokana na uadilifu na uwezo wake na si kigezo cha fedha kama baadhi ya makada walivyojenga imani hiyo.
Profesa Mwandosya, ambaye ni miongoni mwa makada wa CCM wanaotajwa kwenye kinyang’anyiro cha urais mwakani, alisema imani...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VoroEIe8h4I/XoXTw1XbRZI/AAAAAAALl1Q/uf4kCp2iFUcoh9x6DQZtwaiIFmreUBLGQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-3-768x512.jpg)
RC TABORA ASIMAMISHA LIKIZO ZA WAGANGA NA WAUUGUZI KUTOA ELIMU YA KUPAMABANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-VoroEIe8h4I/XoXTw1XbRZI/AAAAAAALl1Q/uf4kCp2iFUcoh9x6DQZtwaiIFmreUBLGQCLcBGAsYHQ/s640/1-3-768x512.jpg)
Zoezi la upulizaji wa dawa kwenye mabasi katika Stendi kuu ya Nzega Mkoani Tabora ukiendelea kama sehemu ya mkakati wa kukabiliana na Virusi vya Corona.
………………………………………………………MKUU wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri amesimamisha kwa muda likizo za watumishi wakiwemo wa Idara za Afya ili waendelee kuunganisha nguvu katika kusaidia jamii kwenye kampeni za mapambano ya ugonjwa wa Covid -19.
Hatua hiyo inalenga kuhakikisha kuwakuwepo na wataalamu wa kutosha katika maeneo yote ambao wataendelea kutoa...