Charles Hillary Ajiunga na Azam TV | AZAM TV

Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
CHARLES HILLARY ATUA RASMI AZAM TV
Mtangazaji Charles Hillary akiwa ndani ya studio za Azam TV. MTANGAZAJI mahiri Charles Hillary aliyekuwa Shirika la Habari la BBC jijini London leo ametua rasmi katika kituo cha Television cha Azam TV kuungana na watangazaji wenzake.
Katika tasnia ya habari, Charles Hillary amefanya kazi ya utangazaji kuanzia mwaka 1980 hadi mwaka 1993 akiwa Radio Tanzania Dar es Salaam.
Mwaka 1994 alijiunga na Radio One ikiwa ni radio ya...
10 years ago
GPL
CHARLES HILLARY NKWANGA AAGA RASMI BBC, KURUDI AZAM TV
Mtangazaji Charles Hillary (kulia) akiwa na mtangazaji mwanzake wa BBC wakati alipokuwa akiaga rasmi kituoni hapo. Mmoja kati ya wafanya kazi wenzake akionesha jezi iliyoandikwa jina la Nkwanga. Charles Hillary akiwa mtangazaji mwenzake wa BBC Zuhura Yunus katika picha ya pamoja.…
10 years ago
Mwananchi02 Dec
Tido ajiunga Azam Media
Kampuni ya Azam Media inayomiliki pia Kituo cha Azam TV, itaanzisha stesheni ya redio hadi kufikia Machi mwakani, pia imemteua Tido Mhando kuwa Naibu Mkurugenzi Mtendaji.
10 years ago
Michuzi
WANASOKA NYOTA WA ZAMANI WAMTEMBELEA MTANGAZAJI WA AZAM Media CHARLES HILARY KAZINI KWAKE



10 years ago
BBCSwahili16 Jan
AFCON:Charles Hillary awahoji wachambuzi
Dimba la mataifa ya Afrika likisubiriwa kwa hamu, mtangazaji wa BBC Charles Hillary ahawoji wachambuzi kuangazia timu
10 years ago
Mwananchi06 Jul
Charles Hillary: Wawekezaji wazawa wamenirudisha TZ
Ilitokea, lakini haikuandikwa. Charles Hilary ndiye Mtanzania wa kwanza kutangaza kwa Kiswahili mechi za fainali za Kombe la Dunia akiwa uwanjani.
9 years ago
GPL
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania