SUGU AKIMBIWA NA MADIWANI 11, DK BASHIRU AWAPOKEA KWA KISHINDO DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-SAzMBYS93Ko/XlPtVvumsWI/AAAAAAAEFuA/rcm23fwMeYE3XcMe6TAbJvNPOrajX7_jACLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
Charles James, Michuzi TV
WAMEKIMBIA! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya lundo la madiwani 11 wa Jiji la Mbeya wanaotokana na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kujivua uanachama wa chama hicho na kujiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM).
Madiwani hao 11 wakiongozwa na Meya wa Jiji hilo, David Mwashilindi na Katibu wa Wilaya wa Chadema wametangaza kuhamia CCM leo jijini Dodoma na kupokelewa na Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Dk Bashiru Ally.
Akizungumza baada ya kuwapokea kwenye ukumbi wa Jakaya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PBMyR_H99yI/Xu-w1Tyr78I/AAAAAAALu2Q/5M-AnwjtbCAK_w13mEnGPfgz6a6shmmyACLcBGAsYHQ/s72-c/bashiru%252Bpic.jpg)
DKT. BASHIRU AFAFANUA UKOMO WA WABUNGE, WAWAKILISHI NA MADIWANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-PBMyR_H99yI/Xu-w1Tyr78I/AAAAAAALu2Q/5M-AnwjtbCAK_w13mEnGPfgz6a6shmmyACLcBGAsYHQ/s640/bashiru%252Bpic.jpg)
Pamoja na mambo mengine, akifafanua suala hilo, Katibu Mkuu ameeleza kuwa ni vema Wabunge, Wawakilishi na Madiwani wa CCM wakaachwa waendelee kutekeleza majukumu yao kikatiba ikiwa ni pamoja na kuwa wajumbe wa vikao mbalimbali kwa mujibu wa...
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/pMKyrRTemYI/default.jpg)
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Dodoma yatinga fainali kwa kishindo
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/baadhi-ya-wakazi-wa-kijiji-cha-Chipogoro-wakisikiliza-sera-za-magufuli-hayupo-pichani.jpg)
MAGUFULI AIMALIZA IRINGA, AIANZA DODOMA KWA KISHINDO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iiq-5qTP3-l7mJ*3qTfucW*Ol8Ba0BwoJU97GK2UZExfRtp0lS45UVyXQXE8f87XqM**6xSXw*fIAraVrypiSE*ZbVahEh*v/Mume.jpg)
AKIMBIWA NA MUME KWA KUZAA MLEMAVU
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-z16N9rsDTLw/Va9c0-7VjQI/AAAAAAAHq-g/NoZnOsgyGW4/s72-c/_MG_9176.jpg)
MAGUFULI AENEDELEA KUJITAMBULISHA NA KUWASHUKURU WANACHI WA CHATO MPAKA DODOMA KWA KISHINDO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-z16N9rsDTLw/Va9c0-7VjQI/AAAAAAAHq-g/NoZnOsgyGW4/s640/_MG_9176.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-IusBAqaNXZ8/Va9cs4g2SEI/AAAAAAAHq-A/MHizzm8rZL0/s640/_MG_9110.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/3pS2peYhMb8/default.jpg)
5 years ago
MichuziVIONGOZI WA DINI WILAYANI KARAGWE WAANDAMANA KUMSHUKURU RAIS MAGUFULI KWA KURUHUSU IBAADA DC AWAPOKEA KWA NIABA YAKE NA KUTOA NENO.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-WSUIOjDRzb0/Xtep1DtcxOI/AAAAAAACL_4/5bH9DJUkA-U-MwW5Ug5ZQ_rkxbiFbCcJACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200603_164324.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AKUTANA NA RAIS DK. SHEIN, MANGULA NA DK. BASHIRU ALLY, IKULU YA CHAMWINO, DODOMA, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-WSUIOjDRzb0/Xtep1DtcxOI/AAAAAAACL_4/5bH9DJUkA-U-MwW5Ug5ZQ_rkxbiFbCcJACLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200603_164324.jpg)
Dk.CHAMW, Dodoma
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. John Magufuli amekutana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein katika kikao cha ndani kilichofanyika Ikulu, Chamwino Mkoani Dodoma, leo.
Kikao hicho kimehudhuriwa pia na Makamu Mwenyekiti CCM Bara Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM Dk. Bashiru Ally ambapo viongozi hao wamezungumzia...