DKT. BASHIRU AFAFANUA UKOMO WA WABUNGE, WAWAKILISHI NA MADIWANI (VIDEO)
![](https://img.youtube.com/vi/pMKyrRTemYI/default.jpg)
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PBMyR_H99yI/Xu-w1Tyr78I/AAAAAAALu2Q/5M-AnwjtbCAK_w13mEnGPfgz6a6shmmyACLcBGAsYHQ/s72-c/bashiru%252Bpic.jpg)
DKT. BASHIRU AFAFANUA UKOMO WA WABUNGE, WAWAKILISHI NA MADIWANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-PBMyR_H99yI/Xu-w1Tyr78I/AAAAAAALu2Q/5M-AnwjtbCAK_w13mEnGPfgz6a6shmmyACLcBGAsYHQ/s640/bashiru%252Bpic.jpg)
Pamoja na mambo mengine, akifafanua suala hilo, Katibu Mkuu ameeleza kuwa ni vema Wabunge, Wawakilishi na Madiwani wa CCM wakaachwa waendelee kutekeleza majukumu yao kikatiba ikiwa ni pamoja na kuwa wajumbe wa vikao mbalimbali kwa mujibu wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SAzMBYS93Ko/XlPtVvumsWI/AAAAAAAEFuA/rcm23fwMeYE3XcMe6TAbJvNPOrajX7_jACLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
SUGU AKIMBIWA NA MADIWANI 11, DK BASHIRU AWAPOKEA KWA KISHINDO DODOMA
Charles James, Michuzi TV
WAMEKIMBIA! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya lundo la madiwani 11 wa Jiji la Mbeya wanaotokana na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kujivua uanachama wa chama hicho na kujiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM).
Madiwani hao 11 wakiongozwa na Meya wa Jiji hilo, David Mwashilindi na Katibu wa Wilaya wa Chadema wametangaza kuhamia CCM leo jijini Dodoma na kupokelewa na Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Dk Bashiru Ally.
Akizungumza baada ya kuwapokea kwenye ukumbi wa Jakaya...
WAMEKIMBIA! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya lundo la madiwani 11 wa Jiji la Mbeya wanaotokana na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kujivua uanachama wa chama hicho na kujiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM).
Madiwani hao 11 wakiongozwa na Meya wa Jiji hilo, David Mwashilindi na Katibu wa Wilaya wa Chadema wametangaza kuhamia CCM leo jijini Dodoma na kupokelewa na Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Dk Bashiru Ally.
Akizungumza baada ya kuwapokea kwenye ukumbi wa Jakaya...
10 years ago
Mwananchi04 Sep
Wajumbe wavutana kuhusu wabunge kuwajibishwa, kuwa na ukomo katika #Katiba Mpya
Kamati mbalimbali za Bunge Maalum la Katiba zimeendelea kuwasilisha taarifa zake leo huku suala la ukomo wa mbunge na suala la wananchi kumuwajibisha mbunge wao anaposhindwa kazi likizua mvutano.
5 years ago
Michuzi22 Feb
MITAMBO YA DKT. BASHIRU YAANZA KULIPUKA MTWARA
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/unnamed-7.jpg)
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally akiendelea na ziara yake ya siku tatu Mkoani Mtwara, Mbunge wa Tandahimba Ndg. Katan Ahmed Katan amejivua uanachama wa CUF na kujiunga na CCM hapo jana.
Mbunge huyo wa Tandahimba, amejiunga na CCM jana tarehe 21 Februari, 2020 katika mkutano wa ndani uliokuwa ukiendelea katika jimbo la Nanyamba Mtwara vijijini, ambapo amepokelewa na Katibu Mkuu kwa niaba ya wanachama wote wa CCM.
Katibu Mkuu akifafanua kabla ya kumpokea Mbunge huyo,...
5 years ago
CCM Blog24 May
DKT. BASHIRU AKEMEA MATUMIZI MABAYA YA MITANDAO YA KIJAMII
KIBAHA, Pwani
Katibu Mkuu wa CCM Dk. Bashiru Ally amekemea watu wanaotumia mitandao ya kijamii kupotosha jamii na hata kufikia hatua ya kuzua vifo kwa wengine, kama alivyofanya anayejiita Kigogo2014 katika mtandao wa twitter alipotoa taarifa za uongo za kifo cha Mtendaji wa Jumuiya ya CCM wilayani Rombo.
Ameyasema hayo alipotembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa Jengo la CCM mkoa wa Pwani leo tarehe 23 Mei, 2020 akitokea Dar es salaam kuelekea Makao Makuu ya Chama na Serikali...
Katibu Mkuu wa CCM Dk. Bashiru Ally amekemea watu wanaotumia mitandao ya kijamii kupotosha jamii na hata kufikia hatua ya kuzua vifo kwa wengine, kama alivyofanya anayejiita Kigogo2014 katika mtandao wa twitter alipotoa taarifa za uongo za kifo cha Mtendaji wa Jumuiya ya CCM wilayani Rombo.
Ameyasema hayo alipotembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa Jengo la CCM mkoa wa Pwani leo tarehe 23 Mei, 2020 akitokea Dar es salaam kuelekea Makao Makuu ya Chama na Serikali...
5 years ago
Michuzi15 Feb
DKT. BASHIRU AKERWA NA UBADHIRIFU WA FEDHA MOROGORO VIJIJINI
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/7f7bff65-2094-4949-9258-fde7241fe0df-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/c5af04bf-a69d-4c6c-b57f-ad40aa953e6d-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/008dd938-12c5-4410-b8f3-399055f2eb9e-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/d38301a4-af9b-4d3f-b860-1ffba2e801c0-1024x683.jpg)
……………………………………………………………………………………………….
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally ametoa akerwa na ubadhirifu wa fedha katika fidia ya ujenzi wa kituo cha Afya Mikese Morogoro Vijijini.
Dkt. Bashiru amekerwa na ubadhirifu huo kutokana na matumizi mabaya ya fedha, ambapo fidia ya shilingi milioni 300 ya majengo ya zahanati kutoka kampuni ya ujenzi wa reli ya kisasa kujenga jengo moja pekee ukilinganisha na shilingi milioni 380 zilizokuwa zikisimamiwa na Halmashauri kufanikiwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vcvftBdhOik/Xk_Ql80z2sI/AAAAAAALeqs/4oRuY7DmOSY4mhP1--TvGuFfI7vRuZrSgCLcBGAsYHQ/s72-c/122bf8b2-c185-4b26-acf5-7f4a2149efeb-1024x683.jpg)
DKT. BASHIRU AWASILI MTWARA KWA ZIARA YA KIKAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-vcvftBdhOik/Xk_Ql80z2sI/AAAAAAALeqs/4oRuY7DmOSY4mhP1--TvGuFfI7vRuZrSgCLcBGAsYHQ/s640/122bf8b2-c185-4b26-acf5-7f4a2149efeb-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/42f6752a-3e55-422d-9884-62e30152b863-1024x683.jpg)
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally amewasili Mkoani Mtwara kwa ziara ya siku tatu.
Dkt. Bashiru amewasili asubuhi ya leo tarehe 21 Februari, 2020 uwanja wa ndege wa Mtwara mjini na kupokelewa na mamia ya wanachama, wapenzi na mashabiki wa CCM.
Katibu Mkuu atatembelea na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo katika wilaya za Mtwara Vijijini na Masasi na kuzindua mashina ya wakereketwa wa CCM ikiwa ni muendelezo wa utekelezaji wa maagizo ya Halmashauri Kuu ya CCM ya...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-nmM9x9av0YE/Xvbd-KaHXJI/AAAAAAAAW-U/73JWffjERZkggCDFM7vd7c8MMEU7-30ywCLcBGAsYHQ/s72-c/21ed60ddedde9e66abf3ae7b4d781e5f.jpg)
DKT. BASHIRU AHIMIZA HAKI KWA WATENDAJI WA CCM WILAYANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-nmM9x9av0YE/Xvbd-KaHXJI/AAAAAAAAW-U/73JWffjERZkggCDFM7vd7c8MMEU7-30ywCLcBGAsYHQ/s400/21ed60ddedde9e66abf3ae7b4d781e5f.jpg)
Dkt. Bashiru ameeleza hayo wakati akifungua semina ya mafunzo kwa makatibu wa CCM ngazi ya wilaya kote nchini na kuonya kuwa miongoni mwa mambo yanayovunja haki ni rushwa na kuwataka makatibu hao kusimamia haki kwa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-vMF01Wx5oeg/XoN_ghAVOPI/AAAAAAABm_0/aQ1P5S85UiwRGg-uuSjAhf4JmjA-NrcUgCLcBGAsYHQ/s72-c/hqdefault.jpg)
DKT. BASHIRU ASHIRIKI MAZISHI YA ALIYEKUWA KATIBU MKUU CUF
![](https://1.bp.blogspot.com/-vMF01Wx5oeg/XoN_ghAVOPI/AAAAAAABm_0/aQ1P5S85UiwRGg-uuSjAhf4JmjA-NrcUgCLcBGAsYHQ/s640/hqdefault.jpg)
Mwili wa Marehemu Khalifa ambaye enzi ya uhai wake aliwahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Gando, umeswaliwa katika Msikiti wa Maamur uliopo Upanga jijini Dar es Salaam na kuzikwa katika makaburi ya Kisutu.
Viongozi mbalimbali...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania