DKT. BASHIRU AKERWA NA UBADHIRIFU WA FEDHA MOROGORO VIJIJINI
……………………………………………………………………………………………….
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally ametoa akerwa na ubadhirifu wa fedha katika fidia ya ujenzi wa kituo cha Afya Mikese Morogoro Vijijini.
Dkt. Bashiru amekerwa na ubadhirifu huo kutokana na matumizi mabaya ya fedha, ambapo fidia ya shilingi milioni 300 ya majengo ya zahanati kutoka kampuni ya ujenzi wa reli ya kisasa kujenga jengo moja pekee ukilinganisha na shilingi milioni 380 zilizokuwa zikisimamiwa na Halmashauri kufanikiwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-jUn-7zN0hTk/Xkf1UTRiQ8I/AAAAAAACHoU/cfw5vmayDOYhiJzIjm_llrK79wNquZkIQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200215-WA0002.jpg)
DK. BASHIRU AKERWA NA UBADHIRIFU WA FEDHA MOROGORO VIJIJINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-jUn-7zN0hTk/Xkf1UTRiQ8I/AAAAAAACHoU/cfw5vmayDOYhiJzIjm_llrK79wNquZkIQCLcBGAsYHQ/s320/IMG-20200215-WA0002.jpg)
9 years ago
Dewji Blog29 Dec
Ubadhirifu wa fedha na rasilimali wapungua vijijini kwa viongozi kuhofia kuchukuliwa hatua na wakazi wa maeneo hayo
Waraghbishi toka vijiji vya Iponya, Nyakasumula, Bukandwe na Shenda wakiwa katika picha ya pamoja na mwenyekiti na mtendaji wa kijiji cha Shenda.
Ni miaka mitatu na miezi nane toka mraghbishi Fedson Yaida na wenzake toka vijiji vya jirani kukutana na Chukua Hatua. Ni rafiki waliyekutana naye mwaka 2011 katika mazungumzo maalumu ambayo walitakiwa kuyafikisha kwa wananchi wenzao wa vijiji vya Shenda, Iponya, Nyakasumula na Bukandwe katika wilaya ya Mbogwe mkoani Geita.
Ni katika mazungumzo...
10 years ago
Dewji Blog09 Sep
Mbunge wa jimbo la Morogoro kusini atekeleza ahadi yake ya kuiwezesha CCM wilaya ya Morogoro vijijini
Mbunge wa Jimbo la Morogoro kusini Mh Innocent Kalogeris (kulia) akikabidhi Pikipiki 11 Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Morogoro Vijijini Mh Jazar ikiwa ni ahadi yake aliyoitoa ya kusaidia chama cha Mapinduzi kujitegemea kiuchumi. Mh Kalogeris amekabidhi pikipiki hizo akiwa na lengo kila kata kuwa na Pikipiki moja uwe mradi wa Chama ili kuwezesha Kila kata Kuendesha Shuguli za Chama Bila kuwa wategemezi .Mbunge Kalogeris amehadi kuhakikisha kata zote za jimbo hilo zinapatiwa Pikipiki.Mh...
10 years ago
MichuziMBUNGE WA JIMBO MOROGORO KUSINI ATEKELEZA AHADI YAKE YA KUWEZESHA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA MOROGORO VIJIJINI
10 years ago
Habarileo01 Sep
Ngara katika kashfa ya ubadhirifu wa fedha
HALMASHAURI ya Wilaya ya Ngara inadaiwa kukumbwa na kashfa ya ubadhirifu wa fedha za umma katika miradi mitatu kwenye maeneo tofauti hali ambayo Kamati ya Utekelezaji ya Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Kagera imeamuru irudiwe na kukamilishwa.
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Ripoti yaonyesha ubadhirifu wa fedha A Kusini
5 years ago
Michuzi22 Feb
MITAMBO YA DKT. BASHIRU YAANZA KULIPUKA MTWARA
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/unnamed-7.jpg)
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally akiendelea na ziara yake ya siku tatu Mkoani Mtwara, Mbunge wa Tandahimba Ndg. Katan Ahmed Katan amejivua uanachama wa CUF na kujiunga na CCM hapo jana.
Mbunge huyo wa Tandahimba, amejiunga na CCM jana tarehe 21 Februari, 2020 katika mkutano wa ndani uliokuwa ukiendelea katika jimbo la Nanyamba Mtwara vijijini, ambapo amepokelewa na Katibu Mkuu kwa niaba ya wanachama wote wa CCM.
Katibu Mkuu akifafanua kabla ya kumpokea Mbunge huyo,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vcvftBdhOik/Xk_Ql80z2sI/AAAAAAALeqs/4oRuY7DmOSY4mhP1--TvGuFfI7vRuZrSgCLcBGAsYHQ/s72-c/122bf8b2-c185-4b26-acf5-7f4a2149efeb-1024x683.jpg)
DKT. BASHIRU AWASILI MTWARA KWA ZIARA YA KIKAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-vcvftBdhOik/Xk_Ql80z2sI/AAAAAAALeqs/4oRuY7DmOSY4mhP1--TvGuFfI7vRuZrSgCLcBGAsYHQ/s640/122bf8b2-c185-4b26-acf5-7f4a2149efeb-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/42f6752a-3e55-422d-9884-62e30152b863-1024x683.jpg)
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally amewasili Mkoani Mtwara kwa ziara ya siku tatu.
Dkt. Bashiru amewasili asubuhi ya leo tarehe 21 Februari, 2020 uwanja wa ndege wa Mtwara mjini na kupokelewa na mamia ya wanachama, wapenzi na mashabiki wa CCM.
Katibu Mkuu atatembelea na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo katika wilaya za Mtwara Vijijini na Masasi na kuzindua mashina ya wakereketwa wa CCM ikiwa ni muendelezo wa utekelezaji wa maagizo ya Halmashauri Kuu ya CCM ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PBMyR_H99yI/Xu-w1Tyr78I/AAAAAAALu2Q/5M-AnwjtbCAK_w13mEnGPfgz6a6shmmyACLcBGAsYHQ/s72-c/bashiru%252Bpic.jpg)
DKT. BASHIRU AFAFANUA UKOMO WA WABUNGE, WAWAKILISHI NA MADIWANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-PBMyR_H99yI/Xu-w1Tyr78I/AAAAAAALu2Q/5M-AnwjtbCAK_w13mEnGPfgz6a6shmmyACLcBGAsYHQ/s640/bashiru%252Bpic.jpg)
Pamoja na mambo mengine, akifafanua suala hilo, Katibu Mkuu ameeleza kuwa ni vema Wabunge, Wawakilishi na Madiwani wa CCM wakaachwa waendelee kutekeleza majukumu yao kikatiba ikiwa ni pamoja na kuwa wajumbe wa vikao mbalimbali kwa mujibu wa...