DK. BASHIRU AKERWA NA UBADHIRIFU WA FEDHA MOROGORO VIJIJINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-jUn-7zN0hTk/Xkf1UTRiQ8I/AAAAAAACHoU/cfw5vmayDOYhiJzIjm_llrK79wNquZkIQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200215-WA0002.jpg)
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Dk. Bashiru Ally akimpokea aliyekuwa mwanachama na Diwani wa ACT- Wazalendo Kata ya Tomondo Khamis Msangule baada ya yeye na Diwani mwenzake kwa tiketi ya chama hicho Juma Manyile wa kata ya Selembala pamoja na viongozi mbalimbali wa chama hicho na Chadema, kutangaza kujivua uanachama wa vyama hivyo na kujiunga na CCM katika mkutano wa ndani wa viongozi wa mashina, Kata, wilaya na mkoa, uliofanyika baada ya kutembelea Kituo cha Afya cha Mikese, Morogoro...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi15 Feb
DKT. BASHIRU AKERWA NA UBADHIRIFU WA FEDHA MOROGORO VIJIJINI
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/7f7bff65-2094-4949-9258-fde7241fe0df-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/c5af04bf-a69d-4c6c-b57f-ad40aa953e6d-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/008dd938-12c5-4410-b8f3-399055f2eb9e-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/d38301a4-af9b-4d3f-b860-1ffba2e801c0-1024x683.jpg)
……………………………………………………………………………………………….
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally ametoa akerwa na ubadhirifu wa fedha katika fidia ya ujenzi wa kituo cha Afya Mikese Morogoro Vijijini.
Dkt. Bashiru amekerwa na ubadhirifu huo kutokana na matumizi mabaya ya fedha, ambapo fidia ya shilingi milioni 300 ya majengo ya zahanati kutoka kampuni ya ujenzi wa reli ya kisasa kujenga jengo moja pekee ukilinganisha na shilingi milioni 380 zilizokuwa zikisimamiwa na Halmashauri kufanikiwa...
9 years ago
Dewji Blog29 Dec
Ubadhirifu wa fedha na rasilimali wapungua vijijini kwa viongozi kuhofia kuchukuliwa hatua na wakazi wa maeneo hayo
Waraghbishi toka vijiji vya Iponya, Nyakasumula, Bukandwe na Shenda wakiwa katika picha ya pamoja na mwenyekiti na mtendaji wa kijiji cha Shenda.
Ni miaka mitatu na miezi nane toka mraghbishi Fedson Yaida na wenzake toka vijiji vya jirani kukutana na Chukua Hatua. Ni rafiki waliyekutana naye mwaka 2011 katika mazungumzo maalumu ambayo walitakiwa kuyafikisha kwa wananchi wenzao wa vijiji vya Shenda, Iponya, Nyakasumula na Bukandwe katika wilaya ya Mbogwe mkoani Geita.
Ni katika mazungumzo...
10 years ago
Dewji Blog09 Sep
Mbunge wa jimbo la Morogoro kusini atekeleza ahadi yake ya kuiwezesha CCM wilaya ya Morogoro vijijini
Mbunge wa Jimbo la Morogoro kusini Mh Innocent Kalogeris (kulia) akikabidhi Pikipiki 11 Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Morogoro Vijijini Mh Jazar ikiwa ni ahadi yake aliyoitoa ya kusaidia chama cha Mapinduzi kujitegemea kiuchumi. Mh Kalogeris amekabidhi pikipiki hizo akiwa na lengo kila kata kuwa na Pikipiki moja uwe mradi wa Chama ili kuwezesha Kila kata Kuendesha Shuguli za Chama Bila kuwa wategemezi .Mbunge Kalogeris amehadi kuhakikisha kata zote za jimbo hilo zinapatiwa Pikipiki.Mh...
10 years ago
MichuziMBUNGE WA JIMBO MOROGORO KUSINI ATEKELEZA AHADI YAKE YA KUWEZESHA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA MOROGORO VIJIJINI
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Ripoti yaonyesha ubadhirifu wa fedha A Kusini
10 years ago
Habarileo01 Sep
Ngara katika kashfa ya ubadhirifu wa fedha
HALMASHAURI ya Wilaya ya Ngara inadaiwa kukumbwa na kashfa ya ubadhirifu wa fedha za umma katika miradi mitatu kwenye maeneo tofauti hali ambayo Kamati ya Utekelezaji ya Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Kagera imeamuru irudiwe na kukamilishwa.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Aku_9jGbS9Y/U4edo3anQ8I/AAAAAAACid4/7nw9Ok4wBU0/s72-c/6.jpg)
KINANA AKERWA NA UPORAJI WA MAENEO YA WANANCHI KUTOKA KWA BAADHI YA VIONGOZI WA CHAMA NA SERIKALI WILAYANI BABATI VIJIJINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Aku_9jGbS9Y/U4edo3anQ8I/AAAAAAACid4/7nw9Ok4wBU0/s1600/6.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Uj35KqNog4g/U_cXBfrxMdI/AAAAAAACn3M/QWhmo7IwRss/s72-c/a1.jpg)
RAIS KIKWETE AWEKA AFUNGUA KITUO CHA AFYA KIBAONI, MOROGORO VIJIJINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Uj35KqNog4g/U_cXBfrxMdI/AAAAAAACn3M/QWhmo7IwRss/s1600/a1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-T13nOiagkxo/U_cW_g3-kwI/AAAAAAACn3I/xYJR1G8pI10/s1600/a2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9ruSHgGaffE/U_cXC5TdpgI/AAAAAAACn3Y/1Frw8lTcOYI/s1600/a3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dZe1N5b3K5k/U_cXF-OcuCI/AAAAAAACn3g/VO-Y7VR7sPc/s1600/a4.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t8oueEU5ZFLZXtv59aCjUnJwIm9X2PIcx5ADg2gTltVFAcNAnwxFQ7MrYr4iY7oLCTDXVLpurw0TpR0s7O-4jR-3f8T-Vmeu/a1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AFUNGUA KITUO CHA AFYA KIBAONI, MOROGORO VIJIJINI