Ripoti yaonyesha ubadhirifu wa fedha A Kusini
Katika ripoti yake ya hivi karibuni, mkaguzi mkuu Kimi Makwetu alisema taifa la Afrika Kusini lilipoteza zaidi ya dola milioni 65 katika kipindi cha makadirio ya pesa za uma cha mwaka 2014-2015
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi14 Nov
IGP akabidhiwa ripoti ubadhirifu wa tumbaku
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NvWHU5oq4TZV8ZqIUQ2V37bR2BuYZVuGG9Ns-g7qw4scQssr98khA2p-qBevO9Z1H2TMmcFjHrPlndHyDKaOLrBtQGL5lkJb/yanga.jpg?width=650)
Yanga yaonyesha jeuri ya fedha
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9rRTOkRbvyg/VGIf_r1X-tI/AAAAAAAGwlg/LAI5UDbEwSc/s72-c/1....jpg)
UBADHIRIFU KATIKA TASINIA NDOGO YA TUMBAKU WAZIRI CHIZA AKABIDHI RIPOTI YA CAG
Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Eng. Christopher Chiza (Mb) hivi karibuni alimkabidhi, Inspecta Jenerali wa Jeshi la Polisi (IGP) Ripoti ya ukaguzi katika Tasnia ya tumbaku, ili kubaini, ubadhirifu na waliosababisha ubadhirifu huo uliopelekea wakulima wa tumbaku kutoa malalamiko yao kwa serikali kutokana na hasara waliopata katika msimu wa kilimo wa 2012/2013.
Tuhuma za ubadhirifu ndani ya Tasnia ya tumbaku ziliwalenga Chama Kikuu cha Ushirika cha WETCU, wakandarasi...
10 years ago
Habarileo01 Sep
Ngara katika kashfa ya ubadhirifu wa fedha
HALMASHAURI ya Wilaya ya Ngara inadaiwa kukumbwa na kashfa ya ubadhirifu wa fedha za umma katika miradi mitatu kwenye maeneo tofauti hali ambayo Kamati ya Utekelezaji ya Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Kagera imeamuru irudiwe na kukamilishwa.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-jUn-7zN0hTk/Xkf1UTRiQ8I/AAAAAAACHoU/cfw5vmayDOYhiJzIjm_llrK79wNquZkIQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200215-WA0002.jpg)
DK. BASHIRU AKERWA NA UBADHIRIFU WA FEDHA MOROGORO VIJIJINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-jUn-7zN0hTk/Xkf1UTRiQ8I/AAAAAAACHoU/cfw5vmayDOYhiJzIjm_llrK79wNquZkIQCLcBGAsYHQ/s320/IMG-20200215-WA0002.jpg)
5 years ago
Michuzi15 Feb
DKT. BASHIRU AKERWA NA UBADHIRIFU WA FEDHA MOROGORO VIJIJINI
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/7f7bff65-2094-4949-9258-fde7241fe0df-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/c5af04bf-a69d-4c6c-b57f-ad40aa953e6d-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/008dd938-12c5-4410-b8f3-399055f2eb9e-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/d38301a4-af9b-4d3f-b860-1ffba2e801c0-1024x683.jpg)
……………………………………………………………………………………………….
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally ametoa akerwa na ubadhirifu wa fedha katika fidia ya ujenzi wa kituo cha Afya Mikese Morogoro Vijijini.
Dkt. Bashiru amekerwa na ubadhirifu huo kutokana na matumizi mabaya ya fedha, ambapo fidia ya shilingi milioni 300 ya majengo ya zahanati kutoka kampuni ya ujenzi wa reli ya kisasa kujenga jengo moja pekee ukilinganisha na shilingi milioni 380 zilizokuwa zikisimamiwa na Halmashauri kufanikiwa...
9 years ago
Dewji Blog29 Dec
Ubadhirifu wa fedha na rasilimali wapungua vijijini kwa viongozi kuhofia kuchukuliwa hatua na wakazi wa maeneo hayo
Waraghbishi toka vijiji vya Iponya, Nyakasumula, Bukandwe na Shenda wakiwa katika picha ya pamoja na mwenyekiti na mtendaji wa kijiji cha Shenda.
Ni miaka mitatu na miezi nane toka mraghbishi Fedson Yaida na wenzake toka vijiji vya jirani kukutana na Chukua Hatua. Ni rafiki waliyekutana naye mwaka 2011 katika mazungumzo maalumu ambayo walitakiwa kuyafikisha kwa wananchi wenzao wa vijiji vya Shenda, Iponya, Nyakasumula na Bukandwe katika wilaya ya Mbogwe mkoani Geita.
Ni katika mazungumzo...
10 years ago
Tanzania Daima20 Aug
NBC yatangaza ripoti ya fedha
BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC), imetangaza matokeo yake ya fedha kwa robo ya pili ya mwaka huu, ambapo mali za jumla zimeongezeka kutoka sh. trilioni 1.6 Machi mwaka huu,...
9 years ago
VijimamboWADAU WAKUTANA KUJADILI RIPOTI YA FEDHA ZA MISAADA YA MABADILIKO YA TABIANCHI