Wajumbe wavutana kuhusu wabunge kuwajibishwa, kuwa na ukomo katika #Katiba Mpya
Kamati mbalimbali za Bunge Maalum la Katiba zimeendelea kuwasilisha taarifa zake leo huku suala la ukomo wa mbunge na suala la wananchi kumuwajibisha mbunge wao anaposhindwa kazi likizua mvutano.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fsQwoxe5BTA/U8gvYerQWpI/AAAAAAAA9qg/Rcd2cfwYkao/s72-c/IMG_1901.jpg)
WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA WATAKIWA KUWA NA MTIZAMO MPYA UTAKAOWEZESHA UPATIKANAJI WA KATIBA MPYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-fsQwoxe5BTA/U8gvYerQWpI/AAAAAAAA9qg/Rcd2cfwYkao/s1600/IMG_1901.jpg)
Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Bw. Deus Kibamba akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika leo Julai 17, 2014 kuelezea msimamo wa JUKWAA LA KATIBA juu ya mwenendo uliopita wa bunge hilo. Picha na Cathert Kajuna wa Kajunason Blog
![](http://4.bp.blogspot.com/-sq5B5OozAMU/U8gvn-BR5AI/AAAAAAAA9rI/vAXGlkoA78g/s1600/IMG_1950.jpg)
Kiongozi wa Shule Kuu ya Sheria nchini Kenya, Profesa Patrick Lumumba alisisitiza suala la wanasiasa kurudi bungeni na kuhakikisha katiba mpya inapatikana.
![](http://3.bp.blogspot.com/-M28s6kVPyoc/U8gviRciOpI/AAAAAAAA9q4/r0qaKcHaND8/s1600/IMG_1936.jpg)
Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia mkutano huo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-McpOCDMYJC8/U8gvfVKJWzI/AAAAAAAA9qw/brBrfUklC2g/s1600/IMG_1920.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LEOwJM6ut50/U8gvb6GfPPI/AAAAAAAA9qo/4nE-b3qltBc/s1600/IMG_1910.jpg)
Wajumbe wa JUKWAA LA KATIBA...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V0siS8-FppCXkPGFUo0qQzBZB8o-*g9PeqJUANfIlAPNWZ8Ul7-g4aYgdFm-EtaPeGIWbknoforuS5LhtN-knLU7stPYCcvp/jk1.jpg?width=650)
WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA WATAKIWA KUWA NA MTAZAMO MPYA UTAKAOWEZESHA UPATIKANAJI WA KATIBA MPYA
11 years ago
Habarileo20 Apr
Padri aonya wabunge kuhusu Katiba mpya
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wameaswa kutokubali kuvurugwa na vyama vyao vya siasa, wanapoandaa mchakato wa Katiba mpya, kwani kwa kufanya hivyo wanavuruga amani.
11 years ago
Michuzi12 Feb
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-h9Lxnl9ahhY/VBWN8iibpRI/AAAAAAAGjis/E4gIHa_BqIk/s72-c/PIX%2B1%2B(1).jpg)
Wabunge wanawake wasisitiza ajenda ya hamsini kwa hamsini kutokakwepeka katika Katiba Mpya ijayo
![](http://3.bp.blogspot.com/-h9Lxnl9ahhY/VBWN8iibpRI/AAAAAAAGjis/E4gIHa_BqIk/s1600/PIX%2B1%2B(1).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MB_FaimexKE/VBWN8hPwR-I/AAAAAAAGjio/sDqgzccOH7k/s1600/PIX%2B3%2B(1).jpg)
11 years ago
Michuzi13 Feb
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6EOHkW_13kk/Uy3ZA6HM2XI/AAAAAAAFVsA/25uSffzyo6A/s72-c/unnamed+(55).jpg)
TAMWA WATOA ELIMU KWA WABUNGE WANAWAKE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA KUZINGATIA MASUALA YA USAWA WA KIJINSIA WAKATI WA UTUNZI WA KATIBA MPYA.
11 years ago
Habarileo24 Apr
Wajumbe wataka sura ya ardhi Katiba mpya
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wametaka kuwepo kwa sura maalumu katika Katiba mpya, itakayozungumzia suala la ardhi pekee, ikiwa ni hatua ya kupunguza migogoro baina ya wakulima na wafugaji kwa kuweka mgawanyo sahihi wa rasilimali hiyo.