AKIMBIWA NA MUME KWA KUZAA MLEMAVU
![](http://api.ning.com:80/files/Iiq-5qTP3-l7mJ*3qTfucW*Ol8Ba0BwoJU97GK2UZExfRtp0lS45UVyXQXE8f87XqM**6xSXw*fIAraVrypiSE*ZbVahEh*v/Mume.jpg)
Stori: MAYASA MARIWATA DUNIA HAINA HURUMA! Mwanamama mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Sarah Lyimo, mkazi wa Buza Mwang’ati jijini Dar es Salaam amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya mumewe aitwaye Mohammedi kumkimbia baada ya kile alichodai kuwa na mtoto mwenye ulemavu. Sarah Lyimo akiwa na watoto wake. Akizungumza na mwandishi wetu wiki iliyopita kuelezea mkasa mzima wa kutelekezwa kwake, Sarah...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1asLTm0wi-vw2jjw4uc*wCgkxZotEroeypXyZYcAYjt1IF8fWJlFIOxLQ5vx2YKVTxBUkZzKkZLRnsySQYMvZ1U7qEgR2uc*/zarii.jpg)
MUME: ZARI HAWEZI KUZAA NA DIAMOND
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SAzMBYS93Ko/XlPtVvumsWI/AAAAAAAEFuA/rcm23fwMeYE3XcMe6TAbJvNPOrajX7_jACLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
SUGU AKIMBIWA NA MADIWANI 11, DK BASHIRU AWAPOKEA KWA KISHINDO DODOMA
WAMEKIMBIA! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya lundo la madiwani 11 wa Jiji la Mbeya wanaotokana na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kujivua uanachama wa chama hicho na kujiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM).
Madiwani hao 11 wakiongozwa na Meya wa Jiji hilo, David Mwashilindi na Katibu wa Wilaya wa Chadema wametangaza kuhamia CCM leo jijini Dodoma na kupokelewa na Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Dk Bashiru Ally.
Akizungumza baada ya kuwapokea kwenye ukumbi wa Jakaya...
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
Mlemavu mbaroni kwa dawa za kulevya
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linamshikilia Said Tidwa (36), mkazi wa Vijibweni, Temeke kwa tuhuma za kufanya biashara ya dawa za kulevya. Akizungumza na waandishi wa...
10 years ago
Tanzania Daima25 Oct
Mbaroni kwa tuhuma za kumbaka mlemavu
JESHI la Polisi mkoani hapa, linamshikilia Hamad Banda (42), Mkazi wa Ligula B, kwa tuhumu ya kumbaka msichana wa miaka 17 (jina linahifadhiwa), ambaye ni mlemavu wa akili. Akizungumza na...
11 years ago
BBCSwahili08 Aug
Aliyepona Ebola akimbiwa na kutengwa
10 years ago
Tanzania Daima03 Oct
Mlemavu apanda mlima Kilimanjaro kwa baiskeli
MLEMAVU Eiju Murakanil, (65), raia wa Japan amefanikiwa kufika kituo cha Gilmas Mlima Kilimanjaro urefu wa mita 5,685 kutoka usawa wa bahari kikiwa ni kituo kimoja kutoka kileleni akitumia kiti...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZFNT2cNBbVg/XmK4p0I1ZvI/AAAAAAALhpo/LyPwfFRwyuArv9a3bfWm85d4T1VGvpQpwCLcBGAsYHQ/s72-c/9151b3eb-4e43-4115-9646-9c36144c8305.jpg)
Mlemavu mwenye ndoto ya kusimama kwa ‘miguu yake’
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZFNT2cNBbVg/XmK4p0I1ZvI/AAAAAAALhpo/LyPwfFRwyuArv9a3bfWm85d4T1VGvpQpwCLcBGAsYHQ/s1600/9151b3eb-4e43-4115-9646-9c36144c8305.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/08c703eb-5964-41ce-a31f-907fb480aecb.jpg)
**************************
NA MWANDISHI WETU
KILA binaadam katika dunia hii ana matatizo yake ya kimaisha, hali ambayo inasababisha kila mmoja kusaka namna ya kufikia malengo kupitia kwa wadau mbalimbali ambao ndio kimbilio la ufanikishwaji huo.
Kwa mazingira ya sasa, wadau wanaweza kutoa msaada kwa jamii ama mdau mmoja mmoja kwa mujibu wa hitaji la mhusika.
Boniface Mokami (25), mlemavu wa miguu ambaye ni mmoja wa mfano wa wadau wenye uhitaji wa kuwezeshwa kwa usafiri aweze kushiriki...
5 years ago
MichuziRC Wangabo atimiza ahadi yake ya kutoa magongo ya kutembelea kwa mlemavu
Mh. Wangabo amesema kuwa katika kongamano hilo lilihudhuriwa na walemavu zaidi ya 700 na kusema kuwa bado kuna wengine ambao wanahitaji...
10 years ago
Dewji Blog16 Mar
Idd Azzan atoa msaada wa kiti cha magurudumu kwa mlemavu jimboni kwake
Pichani ni Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Mh. Iddi Azzan akikabidhi kiti maalum cha kujisaidia pamoja na kiti cha magurudumu kwa mama huyo mlemavu.
Na modewji blog team
Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Mh. Iddi Azzan (CCM) ametoa msaada wa kiti cha magurudumu kwa Rehema Nditi mkazi wa Magomeni Mwembe Chai kama msaada kutokana na taabu aliyokuwa akiipata.
Idd Azzan ametoa msaada … ambapo baada ya kuona Rehema Nditi kupataa tabu ya kukosa kiti hicho.
Mbunge huyo amekua akisaidia maendeleo...