Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AKIMBIWA NA MUME KWA KUZAA MLEMAVU

Stori: MAYASA MARIWATA
DUNIA HAINA HURUMA! Mwanamama mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Sarah Lyimo,  mkazi wa Buza Mwang’ati jijini Dar es Salaam amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya mumewe aitwaye  Mohammedi kumkimbia baada ya kile alichodai kuwa na mtoto mwenye ulemavu. Sarah Lyimo akiwa na watoto wake. Akizungumza na mwandishi wetu wiki iliyopita  kuelezea mkasa mzima wa kutelekezwa  kwake, Sarah...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MUME: ZARI HAWEZI KUZAA NA DIAMOND

Stori: Kampala, Uganda Oohoo! Wakati staa mkubwa wa muziki wa Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akichekelea kitendo cha mpenzi wake wa sasa, Zarinah Hassan ‘Zari’ au ‘The Boss Lady’ kunasa mimba yake, habari ya mjini huko Kampala, Uganda ni juu ya aliyekuwa mume wa mwanamama huyo, Ivan Ssemwanga kufunguka na kusema: “Naapa Zari hawezi kuzaa na Diamond.” Staa mkubwa wa...

 

5 years ago

Michuzi

SUGU AKIMBIWA NA MADIWANI 11, DK BASHIRU AWAPOKEA KWA KISHINDO DODOMA

Charles James, Michuzi TV
WAMEKIMBIA! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya lundo la madiwani 11 wa Jiji la Mbeya wanaotokana na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kujivua uanachama wa chama hicho na kujiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM).
Madiwani hao 11 wakiongozwa na Meya wa Jiji hilo, David Mwashilindi na Katibu wa Wilaya wa Chadema wametangaza kuhamia CCM leo jijini Dodoma na kupokelewa na Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Dk Bashiru Ally.
Akizungumza baada ya kuwapokea kwenye ukumbi wa Jakaya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mlemavu mbaroni kwa dawa za kulevya

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linamshikilia Said Tidwa (36), mkazi wa Vijibweni, Temeke kwa tuhuma za kufanya biashara ya dawa za kulevya. Akizungumza na waandishi wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mbaroni kwa tuhuma za kumbaka mlemavu

JESHI la Polisi mkoani hapa, linamshikilia Hamad Banda (42), Mkazi wa Ligula B, kwa tuhumu ya kumbaka msichana wa miaka 17 (jina linahifadhiwa), ambaye ni mlemavu wa akili. Akizungumza na...

 

11 years ago

BBCSwahili

Aliyepona Ebola akimbiwa na kutengwa

Baadhi ya walioambukizwa ugonjwa wa ebola wamepona lakini pamoja na kupona bado haiwafanyi kukwepa kunyanyapaliwa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mlemavu apanda mlima Kilimanjaro kwa baiskeli

MLEMAVU Eiju Murakanil, (65), raia wa Japan amefanikiwa kufika kituo cha Gilmas Mlima Kilimanjaro urefu wa mita 5,685 kutoka usawa wa bahari kikiwa ni kituo kimoja kutoka kileleni akitumia kiti...

 

5 years ago

Michuzi

Mlemavu mwenye ndoto ya kusimama kwa ‘miguu yake’










**************************

NA MWANDISHI WETU

KILA binaadam katika dunia hii ana matatizo yake ya kimaisha, hali ambayo inasababisha kila mmoja kusaka namna ya kufikia malengo kupitia kwa wadau mbalimbali ambao ndio kimbilio la ufanikishwaji huo.

Kwa mazingira ya sasa, wadau wanaweza kutoa msaada kwa jamii ama mdau mmoja mmoja kwa mujibu wa hitaji la mhusika.

Boniface Mokami (25), mlemavu wa miguu ambaye ni mmoja wa mfano wa wadau wenye uhitaji wa kuwezeshwa kwa usafiri aweze kushiriki...

 

5 years ago

Michuzi

RC Wangabo atimiza ahadi yake ya kutoa magongo ya kutembelea kwa mlemavu

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ametimiza ahadi yake ya kutoa magongo ya kutemebelea kwa Mlemavu Azla Sikazwe Mkazi wa mtaa wa Zimamoto, Kata ya Izia, Wilayani Sumbawanga baada ya mama huyo kumuomba Mkuu wa Mkoa huo msaada wa magongo hayo wakati wa kongamano la watu wenye ulemavu lililofanyika katika Manispaa ya Sumbawanga mwezi wa pili Mwaka huu.

Mh. Wangabo amesema kuwa katika kongamano hilo lilihudhuriwa na walemavu zaidi ya 700 na kusema kuwa bado kuna wengine ambao wanahitaji...

 

10 years ago

Dewji Blog

Idd Azzan atoa msaada wa kiti cha magurudumu kwa mlemavu jimboni kwake

0D6A5197

Pichani ni Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Mh. Iddi Azzan akikabidhi kiti maalum cha kujisaidia pamoja na kiti cha magurudumu kwa mama huyo mlemavu.

Na modewji blog team

Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Mh. Iddi Azzan (CCM) ametoa msaada wa kiti cha magurudumu kwa Rehema Nditi mkazi wa Magomeni Mwembe Chai  kama msaada kutokana na taabu aliyokuwa akiipata.

Idd Azzan ametoa msaada  … ambapo baada ya kuona Rehema Nditi  kupataa tabu ya kukosa kiti hicho.

Mbunge huyo amekua akisaidia maendeleo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani