Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Idd Azzan atoa msaada wa kiti cha magurudumu kwa mlemavu jimboni kwake

0D6A5197

Pichani ni Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Mh. Iddi Azzan akikabidhi kiti maalum cha kujisaidia pamoja na kiti cha magurudumu kwa mama huyo mlemavu.

Na modewji blog team

Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Mh. Iddi Azzan (CCM) ametoa msaada wa kiti cha magurudumu kwa Rehema Nditi mkazi wa Magomeni Mwembe Chai  kama msaada kutokana na taabu aliyokuwa akiipata.

Idd Azzan ametoa msaada  … ambapo baada ya kuona Rehema Nditi  kupataa tabu ya kukosa kiti hicho.

Mbunge huyo amekua akisaidia maendeleo...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

IDD AZZAN ATOA MSAADA WA KITI CHA MAGURUDUMU KWA MLEMAVU JIMBONI KWAKE‏

Pichani ni Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Mh. Iddi Azzan akikabidhi kiti maalum cha kujisaidia pamoja na kiti cha magurudumu kwa mama huyo mlemavu. Na Modewji Blog Team Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Mh. Iddi Azzan (CCM) ametoa msaada wa kiti cha magurudumu kwa Rehema Nditi mkazi wa Magomeni Mwembe Chai kama msaada kutokana na taabu aliyokuwa akiipata. Idd Azzan ametoa msaada … ambapo baada ya kuona Rehema Nditi kupataa tabu...

 

10 years ago

Michuzi

MBUNGE WA CHALINZE MHE. RIDHIWANI KIKWETE ATOA MSAADA WA CHAKULA KWA WAATHIRIKA WA MVUA JIMBONI KWAKE

 Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Chalinze Bw. Idd Swala (mwenye kanzu), ambaye alimwakilisha mbunge wa Jimbo hilo Mhe. Ridhiwani Kikwete akikabidhi kwa  wakaazi wa Chalinze misaada ya chakula baada ya  nyumba zao kuharibiwa vibaya kutokana  na mvua kubwa iliyonyesha hivi karibuni.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mugabe kutafutiwa kiti cha magurudumu

Mkewe rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ,Grace, amekanusha madai kuwa anapania kuwania kiti cha urais katika uchaguzi mkuu ujao

 

10 years ago

Dewji Blog

Dk. Tizeba atoa misaada kwa wahanga wa moto jimboni kwake

SAM_0783

Naibu  Waziri wa Uchukuzi  ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Buchosa, Dk Charles Tizeba akipanda boti kuelekea kisiwa cha Nyamango kulikotokea ajali ya moto kwa ajili ya kukabidhi misaada.

Na Daniel Makaka, Sengerema

NAIBU  Waziri wa Uchukuzi ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Buchosa Dk Charles Tizeba ametoa msaada kwa wahanga wa ajali ya moto na nyumba zilizoezuliwa na mvua ya upepo katika kisiwa cha Nyamango kijiji cha Lushamba kata ya Bulyaheke jimbo la Buchosa wilayani Sengerema mkoa wa...

 

10 years ago

Michuzi

DK. TIZEBA ATOA MISAADA KWA WAATHIRKA WA MOTO JIMBONI KWAKE

SAM_0783Naibu Waziri wa Uchukuzi ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Buchosa, Dk Charles Tizeba akipanda boti kuelekea kisiwa cha Nyamango kulikotokea ajali ya moto kwa ajili ya kukabidhi misaada.Na Daniel Makaka, SengeremaNAIBU Waziri wa Uchukuzi ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Buchosa Dk Charles Tizeba ametoa msaada kwa wahanga wa ajali ya moto na nyumba zilizoezuliwa na mvua ya upepo katika kisiwa cha Nyamango kijiji cha Lushamba kata ya Bulyaheke jimbo la Buchosa wilayani Sengerema mkoa wa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mbunge wa Mkuranga amwaga msaada kwa wajasiriamali jimboni kwake

1

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani,  Shabani Mandai,(katikati) akishuhudia vijana wake wakiunganisha cherahani, baada ya kupokea msaada wa cherahani 20 kwa ajili ya wajasiliamali na vifaa vya michezo kwa uongozi wa UVCCM Mkuranga.

2 (1)

Mwakilishi wa Mbunge wa Mkuranga ,Omary Kisigalile (kushoto)akimkabidhi mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Mkulanga, Shabani Mandai (kulia) Cherehani 20 zilizotolewa na Mbunge wa jimbo hilo kwa ajili ya Vikundi vya...

 

10 years ago

GPL

DK. TIZEBA ATOA MISAADA KWA WAHANGA WA MOTO JIMBONI KWAKE‏

Naibu Waziri wa Uchukuzi ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Buchosa, Dk Charles Tizeba akipanda boti kuelekea kisiwa cha Nyamango kulikotokea ajali ya moto kwa ajili ya kukabidhi misaada. Naibu Waziri wa Uchukuzi ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Buchosa, Dk Charles Tizeba akiwa ndani ya boti kuelekea kukabidhi misaada katika kisiwa cha Nyamango jimboni… ...

 

10 years ago

Michuzi

Ole Medeye atoa misaada Jimboni kwake

 Mbunge wa Arumeru Magharibi,mkoani Arusha, Mhe Godluck Ole Medeye(kushoto) akitoa vifaa vya michezo kwa kiongozi wa timu ya Kitongoji cha Kazamoyo,Kata ya Bwawani kwaajili kuibua vipaji. Mbunge wa Arumeru Magharibi,mkoani Arusha, Mhe Godluck Ole Medeye(kushoto) akitoa vifaa vya michezo kwa kiongozi wa timu ya Kitongoji cha Nyamagana ,Kata ya Bwawani kwaajili kuibua vipaji. Mbunge wa Arumeru Magharibi,mkoani Arusha, Mhe Godluck Ole Medeye(kulia) akitoa msaada wa mabati kwa wananchi...

 

5 years ago

Michuzi

MBUNGE KINGU ATOA MISAADA MBALIMBALI JIMBONI KWAKE


Mbunge wa Jimbo la Singida Magharibi, Elibariki Kingu (kushoto) akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Edward Mpogolo vifaa mbalimbali kwa ajili ya kupambana na Virusi vya Corona Wilayani humo jana. Kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapindunzi (CCM) wa Wilaya hiyo, Mika Likapakapa na Mkurugenzi wa wilaya hiyo, Justice Kijazi.
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Edward Mpogolo, akimshukuru Kingu baada ya kupokea msaada huo. Kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapindunzi (CCM) wa Wilaya hiyo,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani