Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SIMULIZI YA KUSIKITISHA YA MAMA ALIVYOUA WANAYE WAWILI

Stori: Mwandishi Wetu, Tabora/Amani
BADO hali ni tete kufuatia mwanamke mmoja, Zuhura Sudi (26), mkazi wa Mtaa wa Utusi Kata ya Chemchemi Manispaa ya Tabora kudaiwa kuwaua kwa kuwakaba shingo watoto wake wawili, Mwamvua (6) na Sudi Mrisho (miezi saba) kisha kuwazika kwenye mashimo mawili ndani ya nyumba. Mwanamke ( Zuhura Sudi) anayetuhumiwa… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAMA AWAKIMBIA WANAYE WENYE KIFAFA

Bw. Nabo Philipo aliyekimbiwa na mkewe. HILI nalo ni tukio! Mwanaume mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Nabo Philipo ameibuka na kudai kuwa, mkewe Mariana Thomas Silayo (pichani) amekimbia nyumbani na kumwachia watoto wawili wenye ugonjwa wa kifafa. Akizungumza kwa uchungu na gazeti hili hivi karibuni, Nabo alisema alifunga ndoa na Mariana mwaka 2002 na kujaliwa kupata watoto wawili, Madelin  na Joyce Nabo na ndani ya miaka...

 

10 years ago

GPL

MAMA AWAFUNGIA NDANI WANAYE 3 KWA MIAKA 10

Na Haruni Sanchawa, Mafia
NI mambo ya kushangaza sana ambayo yamenaswa na Gazeti la Uwazi  katika Kisiwa cha Mafia Mkoa wa Pwani ambapo mwanamke mmoja aitwaye Mwasiti Ally wa Kijiji cha Kanga, amewafungia wanaye watatu kwa miaka kumi ndani ya chumba kimoja kwa madai kuwa ni wagonjwa wa akili. Mtoto Ally Juma ni mmoja kati ya watoto wa wanodaiwa kufungiwa ndani kwa miaka 10 na mama yao mzazi Mwasiti Ally (pichani). Uwazi...

 

10 years ago

Mwananchi

Mama asoma shule ya msingi na wanaye watatu

Kipindi cha nyuma hapakuweko na utaratibu wa kuandikisha wananfunzi wenye umri mkubwa darasa la kwanza, kutokana na hali hiyo wanafunzi wengi walijikuta wanaishia kukaa nyumbani ama kurudishwa nyumbani kutokana na umri wao kuwa mkubwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Simulizi ya diwani aliyekeketwa na mama yake mzazi

>Alikuwa ni mtoto wa ngariba. Mama yake mzazi alikuwa kinara wa kuwafanyia tohara watoto wa kike kijijini hapo. Hapa anasimulia kisa na mkasa wa ukeketaji huo na madhara yake kwa jamii.

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi aliyenusurika Sitakishari asimulia alivyoua jambazi akiwa majeruhi wa risasi

>Ni ukweli usiopingika kwamba siku ya kuzaliwa na kufa ya kila binadamu anaijua Mungu. Akaiamua kukuita kwake, huwezi kupinga kifo kwa namna yoyote.

 

10 years ago

Mwananchi

Mama, watoto wake wawili wauawa kwa kuchinjwa

Familia ya watu watatu ya mkazi wa Kijiji cha Mwamalulu, Kata ya Nara, wilayani Nzega, Mkoa wa Tabora, Leticia Thomas (30) na watoto wake wawili, wameuawa kwa kuchinjwa na watu wasiojulikana.

 

10 years ago

Michuzi

Wanafunzi wawili walipiwa ada kwa malipo ya bima ya mama yao


Mratibu Mratibu wa Bima ya Elimu kwa Uwapendao kutoka Taasisi ya Kifedha ya Bayport Financial Services, Ruth Bura, akizungumza na baadhi ya watumishi wa shule ya sekondari James Sangu (hawapo pichani ) juu ya namna ya kujiunga na fao hilo kabla ya kufanyika kwa zoezi la makabidhiano ya hundi kwa Jaqline Ndyamkama ambaye ni mwanafunzi wa shule hiyo yenye thamani ya Tsh 3,000,000, baada ya mama yake Anna Jelle kufariki Dunia. Picha zote Emanuel Madafa, Mbeya.


Na Mwandishi Wetu, Dar es...

 

10 years ago

Mwananchi

Mazingira ya kusikitisha ya utoaji wa elimu ya awali Kigoma

Ndani ya ofisi ya mwalimu mkuu wa shule ya msingi Bigabiro iliyopo Wilaya ya Kigoma mkoani Kigoma, mwanafunzi mmoja anaingia na kuomba apewe ndoo aliyoagizwa na mwalimu wake.

 

10 years ago

GPL

BABA MZAZI AKESHA AKIBAKA WANAYE!

Stori: Joseph Ngilisho, Arusha
USHETANI! Watoto wa kike wawili wenye umri wa miaka 8 na 14, wakazi wa Unga Limited jijini hapa, wamelazwa katika Hospitali ya Mkoa Mount Meru baada ya kuharibiwa vibaya sehemu zao za siri kwa madai ya kulawitiwa na kubakwa na baba yao mzazi waliyemtaja kwa jina moja la Ezekiel, Uwazi linakupa zaidi. Watoto wanaodaiwa kubakwa na baba yao. Akizungumza na gazeti hili kwa tabu hospitalini hapo,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani