Simulizi ya diwani aliyekeketwa na mama yake mzazi
>Alikuwa ni mtoto wa ngariba. Mama yake mzazi alikuwa kinara wa kuwafanyia tohara watoto wa kike kijijini hapo. Hapa anasimulia kisa na mkasa wa ukeketaji huo na madhara yake kwa jamii.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi.jpg)
MSIBA WA MAMA MZAZI WA DIWANI NACHINGWEA, WAZIRI CHIKAWE ASHIRIKI
.jpg)
.jpg)
5 years ago
Michuzi
AMUUA MAMA YAKE MZAZI KISHA KUINYWA DAMU YAKE
Na.Vero Ignatus Arusha.
Jeshi la Polisi la Mkoa wa Arusha linamshikilia Daniel Emmanuel (32) Mkazi wa Sakila wilayani Arumeru, kwa kukutwa akinywa damu ya mama yake Mzazi Eliyamulika Emmanuel Sarakikiya (79) kwenye kikombe, baada ya kumuua kwa shoka na kutenganisha shingo,mkono na mguu na kiwiliwili.
Akizungumza kwa masikitiko, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Jonathan Shana amesema mtuhumiwa huyo alifanya mauaji hayo Mei 15 mwaka huu, majira ya saa 9:00 mchana katika Kijiji cha Sakila...
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Tido afiwa na mama yake mzazi
Mama mzazi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Tido Mhando, Jessie (85), amefariki dunia jana asubuhi Chang’ombe Dar es Salaam kwa ugonjwa wa moyo.
11 years ago
Tanzania Daima03 Jul
Ambaka, amuua mama yake mzazi
MTU anayedhaniwa kuwa ni mgonjwa wa akili, amembaka na kumuua kwa kumpiga fimbo kichwani na usoni kisha kumnyonga shingo mama yake mzazi mwenye miaka 73, mkazi wa Kijiji cha Ibungila...
10 years ago
Vijimambo19 Dec
Mtoto afanyiwa unyama na mama yake mzazi

Mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka sita amefanyiwa visa vya kinyama na mama yake mzazi, ambaye anadaiwa kumjeruhi vibaya kwa kumchoma moto mikono yake na kisha kumfungia ndani kwa siku nne akiugulia majeraha bila kutibiwa wala kula chakula.
Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Rukwa, Jacob Mwaruanda, mama aliyefanya ukatili huo (jina linahifadhiwa) ni mkazi wa mtaa wa Eden, Manispaa ya Sumbawanga, mkoani hapa.
Inadaiwa mama huyo...
10 years ago
Bongo505 Oct
Sheria Ngowi afiwa na mama yake mzazi
Mbunifu wa mavazi wa kimataifa, Sheria Ngowi amefiwa na mama yake mzazi. “It is with deep sadness that I announce the passing of my beloved mother, Mary Thomas Ngowi,” ameandika Sheria. “She was an incredible soul who made countless sacrifices so that I could become the man – and now Sheria Ngowi– I am today,” […]
10 years ago
VijimamboUMATI MKUBWA WAMZIKA MAMA YAKE MZAZI KHAMIS MGEJA
baadhi ya umati wa kinamama waliofika nyumba kwa kwa mwenyekiti wa ccm mkoa wa shinyanga baada ya kupata msiba wa kufiwa na mama yake mzazi marehemu bibi Halima Nchimika.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania