UMATI MKUBWA WAMZIKA MAMA YAKE MZAZI KHAMIS MGEJA
baadhi ya umati wa kinamama waliofika nyumba kwa kwa mwenyekiti wa ccm mkoa wa shinyanga baada ya kupata msiba wa kufiwa na mama yake mzazi marehemu bibi Halima Nchimika. Mwenye shati la kijani ni mh mbunge wa kishapu serelemani nchambi akiwa mchanga katika kaburi la mama yake mzazi marehemu bibi halima nchamika katika makabuli ya uwindini mjini kahama .
Waziri mkuu mstafu Edward lowasa akisalimiana na mama yake mzazi bibi halima nchimika wakati wa uhai wake mjini kahama wakati waziri...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PIJUTubi-U8/Xr_LGTECp-I/AAAAAAAC5cA/aMOU_ZokYIYpwY00EUKo2EN8a4Ol7phuwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
AMUUA MAMA YAKE MZAZI KISHA KUINYWA DAMU YAKE
Na.Vero Ignatus Arusha.
Jeshi la Polisi la Mkoa wa Arusha linamshikilia Daniel Emmanuel (32) Mkazi wa Sakila wilayani Arumeru, kwa kukutwa akinywa damu ya mama yake Mzazi Eliyamulika Emmanuel Sarakikiya (79) kwenye kikombe, baada ya kumuua kwa shoka na kutenganisha shingo,mkono na mguu na kiwiliwili.
Akizungumza kwa masikitiko, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Jonathan Shana amesema mtuhumiwa huyo alifanya mauaji hayo Mei 15 mwaka huu, majira ya saa 9:00 mchana katika Kijiji cha Sakila...
10 years ago
Vijimambo13 Aug
MWENYEKITI WA CCM SHINYANGA KHAMIS MGEJA AHAMIA CHADEMA
![](http://api.ning.com/files/ykZ*wTWqMzb4ytuRIXAmmOxZurcIiApYyCM-PaNTa4-GX0wYFYQgz6G8pqN1XS1Jg4NFiY7tbBS8siGOdRZlapkXMVJ*c*j2/MGEJA.jpg)
Khamis Mgeja alikua mwenyekiti wa CCM mkoa wa Shinyanga leo ametangaza rasmi kujiunga na CHADEMA jijini Dar.
10 years ago
Michuzi27 May
Mama wa Mitindo Asia Idarous Khamisin afiwa na Mama yake mkubwa Zanzibar
![IMG_3895](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_3895.jpg)
MBUNIFU mkongwe wa mavazi, Mama wa mitindo nchini, Asia Idarous Khamsin amepata pigo kufuatia kufiwa na Mama yake mkubwa, Aliyefahamika kwa jina la Fatma Juma, Msiba uliotokea Kisiwa Ndui, Unguja.
Kwa mujibu wa taarifa za msiba huo ambao hata hivyo tayari mazishi yake yamefanyika siku ya Jumatatu ya Mei 25, Kisiwa Ndui, na leo Jumatano ya Mei 27 wanatarajia kufanya kisomo maalum.
Ratiba ya Kisomo:Leo Jumatano ya Mei 27, saa 10, Alasiri wanatarajia kufanya kisomo maalum kwa wanawake wote...
10 years ago
Dewji Blog27 May
Mama wa Mitindo Asia Idarous Khamsin afiwa na Mama yake mkubwa Zanzibar
Na Mwandishi Wetu
MBUNIFU mkongwe wa mavazi, Mama wa mitindo nchini, Asia Idarous Khamsin amepata pigo kufuatia kufiwa na Mama yake mkubwa, Aliyefahamika kwa jina la Fatma Juma, Msiba uliotokea Kisiwa Ndui, Unguja.
Kwa mujibu wa taarifa za msiba huo ambao hata hivyo tayari mazishi yake yamefanyika siku ya Jumatatu ya Mei 25, Kisiwa Ndui, na leo Jumatano ya Mei 27 wanatarajia kufanya kisomo maalum.
Ratiba ya Kisomo:
Leo Jumatano ya Mei 27, saa 10, Alasiri wanatarajia kufanya kisomo...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jul
Ambaka, amuua mama yake mzazi
MTU anayedhaniwa kuwa ni mgonjwa wa akili, amembaka na kumuua kwa kumpiga fimbo kichwani na usoni kisha kumnyonga shingo mama yake mzazi mwenye miaka 73, mkazi wa Kijiji cha Ibungila...
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Tido afiwa na mama yake mzazi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/G4QhErsz3t8rxBIPg4v4a7OiLvxA9JI*Je-2iIhJq3Qo8XKBUOcCzLuLggerteATJAW1Si8pxERYrXpvKPqLq7txOnCvcSvd/MGEJA.jpg)
MZEE MALECELA, PAUL MAKONDA WAOMBE RADHI KWA VIONGOZI WA DINI - KHAMIS MGEJA
9 years ago
Bongo505 Oct
Sheria Ngowi afiwa na mama yake mzazi