Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tatizo la mimba kutungwa nje ya mfuko wa uzazi

>Mimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi ni tatizo ambalo linaweza kumpata mwanamke yeyote na linapaswa kufahamika mapema ili hatua muafaka zichukuliwe.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Mimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi

MIMBA inayotungia nje ya mfuko wa uzazi kwa kitaalamu inafahamika kama ectopic pregnancy. Hii mimba inayotungia nje ya mfuko wa kizazi huwa inakaa ndani ya mirija ya uzazi. Mimba kama...

 

9 years ago

GPL

MIMBA KUTUNGA NJE YA MFUKO WA KIZAZI- 3

KARIBU msomaji katika makala haya, wiki mbili zilizopita tulikuwa tunaangalia tatizo la mimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi. Na tuliangalia maeneo ambayo mimba hizo hutungwa.  Leo ningependa tuangalie sababu za tatizo hili na dalili za mwanamke mwenye tatizo hili.
Nini husababisha mimba kutunga nje ya kizazi?
Katika mimba nyingi zinazotunga nje ya uterus, chanzo chake huwa hakijulikani. Hata hivyo kuna vihatarishi ambavyo...

 

9 years ago

GPL

MIMBA KUTUNGA NJE YA MFUKO WA KIZAZI- 2

Mimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi wa mwanamke au Ectopic Pregnancy ni tatizo ambalo limetokea kuathiri wanawake mbalimbali. Kwa kawaida, isipokuwa mara chache sana, mimba zitungazo nje ya mfuko wa uzazi hazina uwezo wa kukua kuwa mtoto kamili.  Aidha, mimba hizi ni hatari kwa afya ya mama mjamzito kwa vile humfanya kupoteza damu nyingi na hatimaye kusababisha kifo. Baada ya utangulizi huo, wiki iliyopita tuliangalia aina za...

 

11 years ago

Mwananchi

AFYA YA UZAZI: Tatizo la kutopata ujauzito

>Mtu anaposema tatizo la kutopata ujauzito, ana maana mume na mke walio katika uhusiano wa kutafuta mtoto ndani ya mwaka mmoja, lakini wameshindwa.

 

10 years ago

GPL

JINSI YA KUKABILIANA NA TATIZO LA KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI-2

Leo naendelea kuelezea namna ya kukabiliana na tatizo la kuziba mirija ya uzazi ambalo limekuwa likiwasumbua baadhi ya watu na kusababisha washindwe kupata watoto. CHANZO CHA TATIZO
Tumeshaona aina kuu tatu za uzibaji wa mirija ya uzazi ambazo ni mwishoni, katikati na mwanzoni. Chanzo kikuu cha uzibaji huu ni maambukizi sugu ya kizazi ambayo kitaalam huitwa ‘pelvic inflamatory Diseases’ au kwa kifupi huitwa...

 

10 years ago

GPL

JINSI YA KUKABILIANA NA TATIZO LA KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI

Hili ni tatizo linalosababisha ugumba kwa wanawake kwa kiasi kikubwa. Wanawake wanaoshindwa kupata ujauzito hukabiliwa na matatizo matatu; Kwanza kabisa ni kuziba kwa mirija ya mayai kama tutakavyoona leo na pili ni matatizo katika mfumo wa homoni ambapo kuna sababu zake tutakuja kuziona katika matoleo yajayo. Hata hivyo, dalili kuu ni kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi, kutopata hedhi na kupata damu kwa muda mrefu au muda mfupi...

 

10 years ago

GPL

SABABU ZA TATIZO LA KUTOKUPATA MIMBA-2

Leo nitaelezea matibabu na ushauri kwa wanandoa wanaokabiliwa na tatizo la mama kutopata mimba. Miongoni mwa mambo wanayopaswa kuelezwa  wanandoa hao ni kuwapa uzoefu kuhusiana na afya ya uzazi na jinsi ujauzito unavyoweza kupatikana na hatimaye kupata mtoto.
 Pia kuona jinsi ya  kuunganisha familia na kujenga familia bora kama itashindikana kupata mtoto bila mume kumtenga mke au mke kumtenga mume. Kutumia muda mwingi...

 

11 years ago

Mwananchi

Kukabili tatizo la kutopata mimba

Kwa upande wa mwanamke zipo sababu nyingi zinazoweza kusababisha awe na tatizo la kutopata ujauzito.

 

11 years ago

Tanzania Daima

DK. JUMA MWAKA: Tatizo la mfumo wa uzazi kwa wanawake ni kubwa

“MGONJWA akija na matatizo ya mfumo wa uzazi, chakula,  mishipa ya moyo na mifupa…huwa sina wasiwasi  kabisa kwa sababu najua lazima atapata tiba ya uhakika.” Hiyo ni kauli ya Daktari...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani