Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SABABU ZA TATIZO LA KUTOKUPATA MIMBA-2

Leo nitaelezea matibabu na ushauri kwa wanandoa wanaokabiliwa na tatizo la mama kutopata mimba. Miongoni mwa mambo wanayopaswa kuelezwa  wanandoa hao ni kuwapa uzoefu kuhusiana na afya ya uzazi na jinsi ujauzito unavyoweza kupatikana na hatimaye kupata mtoto.
 Pia kuona jinsi ya  kuunganisha familia na kujenga familia bora kama itashindikana kupata mtoto bila mume kumtenga mke au mke kumtenga mume. Kutumia muda mwingi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kukabili tatizo la kutopata mimba

Kwa upande wa mwanamke zipo sababu nyingi zinazoweza kusababisha awe na tatizo la kutopata ujauzito.

 

10 years ago

GPL

TATIZO LA KUHARIBIKA KWA MIMBA (MISCARRIAGE)

Leo tumeamua kuzungumzia jambo hili ambalo huwakumba watu wengi sana katika familia zao, wengi wamekuwa wakitokewa na jambo hili katika mimba zao za kwanza na mimba zao zinazoendelea katika familia zao na kushindwa kupata watoto. Kuna wengine wanapata watoto au mtoto mmoja na baadaye wanashindwa kupata mtoto kwa sababu ya mimba zao kuwa zinaharibika mara kwa mara. Kwa kawaida kitabibu inaaminika kwamba asilimia 50 ya mimba zote...

 

10 years ago

Mwananchi

Tatizo la mimba kutungwa nje ya mfuko wa uzazi

>Mimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi ni tatizo ambalo linaweza kumpata mwanamke yeyote na linapaswa kufahamika mapema ili hatua muafaka zichukuliwe.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tunataka viongozi watakaotatua tatizo la mimba za utotoni II

Naye Jestina Dawa, ambaye naye alipata ujauzito na sasa analea mtoto anasema kuwa kutokana na mzigo mkubwa wa majukumu ya kulea familia ambayo wameanza wakiwa wadogo baada ya kulazimika kuolewa,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tunataka viongozi watakaotatua tatizo la mimba za utotoni

NI ndani ya mwaka mmoja wasichana wadogo wenye umri wa chini ya miaka 18 ambao wangekuwa wasomi wetu wanapata ujauzito na wanaacha masomo. Je ni vijiji vingapi ambavyo tatizo kama...

 

11 years ago

Dewji Blog

TAMWA yatoa takwimu tatizo la mimba za utotoni

MDG : Malawi : child mariage and child bride : Young mother carrying her baby

Na Mwandishi wetu

Kila kukicha kumekuwa na kesi za migogoro ya ardhi, mirathi na hata kesi za wazazi kuozesha watoto wao yaani mimba za utotoni na ndoa za utotoni na hii ni changamoto kubwa inayoikabili nchi kwa sasa.

Utafiti uliofanywa hivi karibuni na Chama cha waandishi wa habari wanawake (TAMWA) umeonyesha kuwa katika kipindi cha mwaka 2012/2013 jumla ya matukio 228 ya mimba  na matukio  42 ya  ndoa za utotoni  yaliripotiwa

Hata hivyo, mimba na ndoa za utotoni  zimetajwa kuwa ni...

 

10 years ago

GPL

ELEWA SABABU ZINAZOMFANYA MWANAMKE ASIPATE MIMBA!

Wanawake wengi wanataka niwaeleze kitaalam sababu za kutopata mimba. Zipo sababu nyingi zinazoweza kumfanya mwanamke asipate ujauzito. Miongoni mwa sababu hizo ni kuwa na tatizo la mfumo wa homoni katika mwili wa mwanamke ambapo hutawaliwa na homoni hizo ambazo kemikali za asili zimo ndani ya mwili.
Yakitokea mabadiliko kidogo wakati wa uzalishaji wa homoni hizo huweza kusababisha mwanamke ashindwe kupata mimba. Lipo tatizo la...

 

11 years ago

GPL

TATIZO LA KUHARIBIKA MIMBA MARA KWA MARA!

Tatizo la kuharibika mimba mara kwa mara kitaalamu huitwa ‘Recurrent pregnancy loss’. Mwanamke hujitahidi kutafuta ujauzito lakini inakuwa ngumu ujauzito kukua hadi kufikia kujifungua.
Hali hii huleta athari kubwa kwa mwanamke pamoja na kuathirika kiafya kutokana na mimba kuharibika mara kwa mara lakini pia huathirika kisaikolojia kwa kutopata watoto. Ni mojawapo ya tatizo linalochangia ugumba katika jamii....

 

10 years ago

Mtanzania

Wasanii na Kilio kutokupata watoto

jAY DEeRay cNA RHOBI CHACHA
MWANAMKE ili apate mimba ni lazima awe na sifa za kupata ujauzito na ili mwanamume aweze kumpa mwanamke mimba ni lazima awe na sifa za kumpa mwanamke mimba.
Kama ikitokea mmoja akawa na sifa za kumpa mwenzake mimba na mwingine kupata mimba hapo hakuna tatizom lakini kama mmoja anashindwa kumpa ama mwingine anashindwa kupata mimba hapo kuna tatizo linalohitaji ushauri na uchunguzi wa daktari.
Tatizo hilo lipo kwa wengi, kama lilivyowahi kuripotiwa na baadhi ya wasanii wa fani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani