SABABU ZA TATIZO LA KUTOKUPATA MIMBA-2

Leo nitaelezea matibabu na ushauri kwa wanandoa wanaokabiliwa na tatizo la mama kutopata mimba. Miongoni mwa mambo wanayopaswa kuelezwa wanandoa hao ni kuwapa uzoefu kuhusiana na afya ya uzazi na jinsi ujauzito unavyoweza kupatikana na hatimaye kupata mtoto.  Pia kuona jinsi ya kuunganisha familia na kujenga familia bora kama itashindikana kupata mtoto bila mume kumtenga mke au mke kumtenga mume. Kutumia muda mwingi...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Kukabili tatizo la kutopata mimba
10 years ago
GPL
TATIZO LA KUHARIBIKA KWA MIMBA (MISCARRIAGE)
10 years ago
Mwananchi13 Feb
Tatizo la mimba kutungwa nje ya mfuko wa uzazi
10 years ago
Tanzania Daima09 Nov
Tunataka viongozi watakaotatua tatizo la mimba za utotoni II
Naye Jestina Dawa, ambaye naye alipata ujauzito na sasa analea mtoto anasema kuwa kutokana na mzigo mkubwa wa majukumu ya kulea familia ambayo wameanza wakiwa wadogo baada ya kulazimika kuolewa,...
11 years ago
Tanzania Daima02 Nov
Tunataka viongozi watakaotatua tatizo la mimba za utotoni
NI ndani ya mwaka mmoja wasichana wadogo wenye umri wa chini ya miaka 18 ambao wangekuwa wasomi wetu wanapata ujauzito na wanaacha masomo. Je ni vijiji vingapi ambavyo tatizo kama...
11 years ago
Dewji Blog27 Jul
TAMWA yatoa takwimu tatizo la mimba za utotoni
Na Mwandishi wetu
Kila kukicha kumekuwa na kesi za migogoro ya ardhi, mirathi na hata kesi za wazazi kuozesha watoto wao yaani mimba za utotoni na ndoa za utotoni na hii ni changamoto kubwa inayoikabili nchi kwa sasa.
Utafiti uliofanywa hivi karibuni na Chama cha waandishi wa habari wanawake (TAMWA) umeonyesha kuwa katika kipindi cha mwaka 2012/2013 jumla ya matukio 228 ya mimba na matukio 42 ya ndoa za utotoni yaliripotiwa
Hata hivyo, mimba na ndoa za utotoni zimetajwa kuwa ni...
10 years ago
GPL
ELEWA SABABU ZINAZOMFANYA MWANAMKE ASIPATE MIMBA!
11 years ago
GPL
TATIZO LA KUHARIBIKA MIMBA MARA KWA MARA!
10 years ago
Mtanzania08 May
Wasanii na Kilio kutokupata watoto
NA RHOBI CHACHA
MWANAMKE ili apate mimba ni lazima awe na sifa za kupata ujauzito na ili mwanamume aweze kumpa mwanamke mimba ni lazima awe na sifa za kumpa mwanamke mimba.
Kama ikitokea mmoja akawa na sifa za kumpa mwenzake mimba na mwingine kupata mimba hapo hakuna tatizom lakini kama mmoja anashindwa kumpa ama mwingine anashindwa kupata mimba hapo kuna tatizo linalohitaji ushauri na uchunguzi wa daktari.
Tatizo hilo lipo kwa wengi, kama lilivyowahi kuripotiwa na baadhi ya wasanii wa fani...