TATIZO LA KUHARIBIKA KWA MIMBA (MISCARRIAGE)
![](http://api.ning.com:80/files/skuCKHlxf8U4w51ntDsHqVLtVm5pUTkr-wFXEm*Yeo3GRjWWYTPyg-d*Rm2wIgVo1Dilzr9QBzRBjVSLlS9B4AIYl3xqXrwQ/miscarriage.jpg?width=650)
Leo tumeamua kuzungumzia jambo hili ambalo huwakumba watu wengi sana katika familia zao, wengi wamekuwa wakitokewa na jambo hili katika mimba zao za kwanza na mimba zao zinazoendelea katika familia zao na kushindwa kupata watoto. Kuna wengine wanapata watoto au mtoto mmoja na baadaye wanashindwa kupata mtoto kwa sababu ya mimba zao kuwa zinaharibika mara kwa mara. Kwa kawaida kitabibu inaaminika kwamba asilimia 50 ya mimba zote...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bYocnjXOIXWSAclFOhhLOBjG0a-D56E6W0pyE0BBz-*rV5N77Wv1dPCapS6qR-SUUBPKepb-d0C-BvHc8PU68aU5AofyASsX/UterineFibroids.jpg?width=650)
TATIZO LA KUHARIBIKA MIMBA MARA KWA MARA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cFSv-yJm2DRs4wjUoTuT5n7FnVr8*qVWAgVAjCyryd4o31OANWZ4OM0FEcO5Ow3OM3NrYssOR3S509koSdNre-GWifEqzPFj/miscarriage.jpg)
TATIZO LA KUHARIBIKA KWA UJAUZITO-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HH5EPnzPgDKsukOcbR4VAgi3E9DpYeiuFoIQKngAFvaIoDEXjA1cFGkg8pNSbKaD6Viliybf7HpnpXEcTd0OYH2guiX1ri4O/iStock_000017930675Small.jpg?width=650)
SABABU ZA TATIZO LA KUTOKUPATA MIMBA-2
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Kukabili tatizo la kutopata mimba
11 years ago
Dewji Blog27 Jul
TAMWA yatoa takwimu tatizo la mimba za utotoni
Na Mwandishi wetu
Kila kukicha kumekuwa na kesi za migogoro ya ardhi, mirathi na hata kesi za wazazi kuozesha watoto wao yaani mimba za utotoni na ndoa za utotoni na hii ni changamoto kubwa inayoikabili nchi kwa sasa.
Utafiti uliofanywa hivi karibuni na Chama cha waandishi wa habari wanawake (TAMWA) umeonyesha kuwa katika kipindi cha mwaka 2012/2013 jumla ya matukio 228 ya mimba na matukio 42 ya ndoa za utotoni yaliripotiwa
Hata hivyo, mimba na ndoa za utotoni zimetajwa kuwa ni...
10 years ago
Tanzania Daima02 Nov
Tunataka viongozi watakaotatua tatizo la mimba za utotoni
NI ndani ya mwaka mmoja wasichana wadogo wenye umri wa chini ya miaka 18 ambao wangekuwa wasomi wetu wanapata ujauzito na wanaacha masomo. Je ni vijiji vingapi ambavyo tatizo kama...
10 years ago
Mwananchi13 Feb
Tatizo la mimba kutungwa nje ya mfuko wa uzazi
10 years ago
Tanzania Daima09 Nov
Tunataka viongozi watakaotatua tatizo la mimba za utotoni II
Naye Jestina Dawa, ambaye naye alipata ujauzito na sasa analea mtoto anasema kuwa kutokana na mzigo mkubwa wa majukumu ya kulea familia ambayo wameanza wakiwa wadogo baada ya kulazimika kuolewa,...
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Juhudi za serikali kukabili kuharibika kwa tabaka la ozoni
TABAKA la Ozoni ni mlinzi wa maisha ya binadamu na viumbe hai kwa ujumla. Tabaka hili ni kama blanketi au mwavuli kati ya jua na uso wa dunia ambalo hutukinga...