Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ELEWA SABABU ZINAZOMFANYA MWANAMKE ASIPATE MIMBA!

Wanawake wengi wanataka niwaeleze kitaalam sababu za kutopata mimba. Zipo sababu nyingi zinazoweza kumfanya mwanamke asipate ujauzito. Miongoni mwa sababu hizo ni kuwa na tatizo la mfumo wa homoni katika mwili wa mwanamke ambapo hutawaliwa na homoni hizo ambazo kemikali za asili zimo ndani ya mwili.
Yakitokea mabadiliko kidogo wakati wa uzalishaji wa homoni hizo huweza kusababisha mwanamke ashindwe kupata mimba. Lipo tatizo la...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

ELEWA KALENDA YA KUPATA MIMBA

Kalenda ya Ovulation au kalenda ya kubeba mimba ni mzunguko wa mwezi baada ya kupata hedhi, yaani siku ya kwanza unayopata damu yako ya hedhi hadi siku kabla ya kupata tena hedhi nyingine. Ili kujua mzunguko huo vyema, inatubidi tuchunguze hedhi kwa miezi isiyopungua sita. Lakini kama una haraka na huwezi kuchunguza kwa miezi 6 chunguza kwa miezi mitatu. Unaweza kufanya hivyo kwa kutumia kalenda ya kawaida na kwa kuziwekea mduara...

 

10 years ago

GPL

MATATIZO YANAYOMFANYA MWANAMKE ASIPATE UJAUZITO HARAKA-2

Leo naendelea na mada niliyoanza wiki iliyopita, kuhusiana na matatizo yanayowafanya wanawake wasipate ujauzito haraka. Suala la kufahamu mzunguko wa hedhi, siku za kupata mimba linawahusu wote wawili, mume na mke.
Matatizo ya kisaikolojia kwa mwanaume na mwanamke na unene kupita kiasi pia huchangia tatizo hili. DALILI ZA TATIZO
Kama tulivyoona, kitendo cha mwanamke na mumewe kukaa zaidi ya mwaka wanatafuta mtoto ni tatizo...

 

9 years ago

Bongo5

Wizkid ataja sababu zinazomfanya asishobokee tuzo

Ukijaribu kumfatilia Wizkid utagundua kuwa ni msanii mkubwa wa Afrika ambaye amekuwa akitajwa kuwania tuzo mbalimbali, lakini huwa hajishughulishi kabisa kufanya kampeni ya kuhamasisha mashabiki wake kupiga kura kama wafanyavyo wasanii wengine na matokeo yake tuzo nyingi huwa hashindi. Staa huyo wa Nigeria ambaye anatarajia kuja Tanzania mwisho wa mwezi huu amemjibu shabiki wa Tanzania […]

 

11 years ago

Bongo5

Video: Profesa J azungumzia sababu zinazomfanya aendelee kuwepo vizuri kimuziki

Tangu anatoka akiwa na kundi la Hard Blasters Crew, na baadaye kuja kuachia album nne ambazo ni Machozi Jasho na Damu (2001), Mapinduzi Halisi (2003), J.O.S.E.P.H (2006) na Aluta Continua (2007), Profesa ameendelea kufanya vizuri kwenye muziki na sasa anafanya vizuri na wimbo aliomshirikisha Diamond Platnumz ‘Kipi Sijasikia’. Kwenye video hii, Mchawi wa Rhymes anaelezea […]

 

10 years ago

Vijimambo

HII HAPA INAMHUSU YULE KIKONGWE ALIYEVUNJA HISTORIA KWA KUJIANDALIA JENEZA, HIZI HAPA SABABU ZINAZOMFANYA AJIANDAE KWA KIFO

Mkazi wa Kijiji cha Lundusi, Kata ya Peramiho, wilayani Songea, Mkoa wa Ruvuma, Bibi Scholastica Mhagama amejiandalia jeneza lake ambalo litatumika kumzikia siku atakayoaga dunia. Bibi Scholastica Mhagama(76) ambaye amejiandalia jeneza lake litakalotumika kumzikia.Akizungumza na gazeti hili mwishoni mwa wiki iliyopita, Scholastica alisema alilitengeneza jeneza hilo zaidi ya miaka mitano iliyopita baada ya kuona anaishi kwa dhiki na anatengwa na baadhi ya watu.“Nilijitengenezea jeneza langu...

 

10 years ago

GPL

SABABU ZA TATIZO LA KUTOKUPATA MIMBA-2

Leo nitaelezea matibabu na ushauri kwa wanandoa wanaokabiliwa na tatizo la mama kutopata mimba. Miongoni mwa mambo wanayopaswa kuelezwa  wanandoa hao ni kuwapa uzoefu kuhusiana na afya ya uzazi na jinsi ujauzito unavyoweza kupatikana na hatimaye kupata mtoto.
 Pia kuona jinsi ya  kuunganisha familia na kujenga familia bora kama itashindikana kupata mtoto bila mume kumtenga mke au mke kumtenga mume. Kutumia muda mwingi...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanamke Msomali kuavya mimba Australia

Mwanamke raia wa Somalia anayedaiwa kupata mimba baada ya kubakwa katika kisiwa cha Nauru amewasili Australia kutolewa mimba hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwanamume anavyokuwa chanzo cha mwanamke kutoa mimba — 3

KAMA kawaida, katika makala hii tunaanza na kishtua mada ili kupata ujumbe fulani wenye maana. Mshikaji 1: Waziri akishinikizwa na akajiuzulu ni kitendo cha uwajibikaji au sivyo? Mshikaji 2: Ndiyo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwanamume anavyokuwa chanzo cha mwanamke kutoa mimba II

KAMA ilivyo kawaida katika makala hii tunaanza na kishtua mada ili kupata ujumbe fulani wenye maana. Mshikaji 1: Mdogo wangu anaandika kitabu cha kuhusu maisha yake. Mshikaji 2: Oh! kumbe...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani