MATATIZO YANAYOMFANYA MWANAMKE ASIPATE UJAUZITO HARAKA-2

Leo naendelea na mada niliyoanza wiki iliyopita, kuhusiana na matatizo yanayowafanya wanawake wasipate ujauzito haraka. Suala la kufahamu mzunguko wa hedhi, siku za kupata mimba linawahusu wote wawili, mume na mke. Matatizo ya kisaikolojia kwa mwanaume na mwanamke na unene kupita kiasi pia huchangia tatizo hili. DALILI ZA TATIZO Kama tulivyoona, kitendo cha mwanamke na mumewe kukaa zaidi ya mwaka wanatafuta mtoto ni tatizo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
ELEWA SABABU ZINAZOMFANYA MWANAMKE ASIPATE MIMBA!
10 years ago
Mwananchi04 Sep
Matatizo ya ujauzito yanayoendana na umri
11 years ago
Tanzania Daima08 Feb
Fanya haya kupata ujauzito haraka
BAADA ya kufanya maandalizi ya muda mrefu kujiweka tayari kwa ajili ya kupata ujauzito na kuwa mzazi, umewadia wakati wa kuutafuta huo ujauzito kwa vitendo. Kuna mambo mengi sana yanayosemwa...
11 years ago
Tanzania Daima15 Feb
Unayotakiwa kufanya ili kupata ujauzito haraka — 2
WIKI iliyopita tuliangalia baadhi ya mambo unayotakiwa kuyafanya ili uweze kupata ujauzito kwa haraka. Leo tuendelee kuangalia jambo moja mahususi, nalo ni siku nzuri hasa ya kufanya mapenzi ili upate...
11 years ago
Mwananchi08 Oct
Kikwete: Matatizo daraja Kigamboni yatatuliwe haraka
10 years ago
Mwananchi16 Oct
Siku za mwanamke kupata ujauzito
10 years ago
Vijimambo
BAADA YA KUDAIWA KUTOA MIMBA 2 . PENNY: DIAMOND HANA UWEZO WAKUPA MWANAMKE UJAUZITO

11 years ago
Habarileo08 Aug
Unyonyeshaji hufanya mama asipate ujazito
UNYONYESHAJI wa maziwa ya mama kikamilifu umeelezwa na wataalamu unasaidia mama asipate ujauzito mwingine mapema.
11 years ago
GPLTUZO YA MWANAMKE BORA, HESHIMA YA KWELI YA MWANAMKE, PINDA NI MSOMI WA UWAZI