Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fanya haya kupata ujauzito haraka

BAADA ya kufanya maandalizi ya muda mrefu kujiweka tayari kwa ajili ya kupata ujauzito na kuwa mzazi, umewadia wakati wa kuutafuta huo ujauzito kwa vitendo. Kuna mambo mengi sana yanayosemwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Unayotakiwa kufanya ili kupata ujauzito haraka — 2

WIKI iliyopita tuliangalia baadhi ya mambo unayotakiwa kuyafanya ili uweze kupata ujauzito kwa haraka. Leo tuendelee kuangalia jambo moja mahususi, nalo ni siku nzuri hasa ya kufanya mapenzi ili upate...

 

10 years ago

Mwananchi

Fanya haya upate mafanikio maishani

Wengi tunapenda mafanikio maishani. Ukiwa mfanyabiashara, mwajiriwa, kiongozi, mama wa nyumbani au mwanafunzi, lazima uwe na ndoto ya kufanikiwa kama sehemu ya kutimiza ndoto yako.

 

10 years ago

GPL

MATATIZO YANAYOMFANYA MWANAMKE ASIPATE UJAUZITO HARAKA-2

Leo naendelea na mada niliyoanza wiki iliyopita, kuhusiana na matatizo yanayowafanya wanawake wasipate ujauzito haraka. Suala la kufahamu mzunguko wa hedhi, siku za kupata mimba linawahusu wote wawili, mume na mke.
Matatizo ya kisaikolojia kwa mwanaume na mwanamke na unene kupita kiasi pia huchangia tatizo hili. DALILI ZA TATIZO
Kama tulivyoona, kitendo cha mwanamke na mumewe kukaa zaidi ya mwaka wanatafuta mtoto ni tatizo...

 

11 years ago

Mwananchi

Jaji Mutungi, fanya haya kurejesha amani Arusha

Desemba 6, mwaka huu Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi aliandika historia kwa kuitisha mkutano wa hadhara wa amani jijini Arusha ukishirikisha wadau wa siasa, dini na kijamii Arusha isipokuwa Chadema walioususia dakika za mwisho.

 

11 years ago

GPL

MPENZI WAKO ANAWASILIANA NA ‘EX’ WAKE? FANYA HAYA

Unapoingia katika penzi jipya, ni kipindi ambacho moyo wako unakuwa na furaha ya hali ya juu. Unaweza kuhisi unaibeba dunia nzima kwa raha ya penzi jipya, utajitahidi kumuonesha huyo uliyempata kila aina ya mahaba ilimradi aendelee kuwa na wewe na akupende zaidi. Lakini kadiri unavyozidi kukaa na mwenzako na mnavyozidi kuzoeana, ndipo unapopata nafasi ya kuyajua maisha yake kwa undani. Taratibu utaanza kufahamu yeye ni mtu wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Siku za mwanamke kupata ujauzito

Swali: Mimi ni binti wa miaka 21 ambaye ninapata siku zangu kila tarehe 15 ya kila mwezi. Nimekuwa nikitumia njia ya kalenda katika kujiepusha na mimba zisizotarajiwa.

 

9 years ago

Global Publishers

Tatizo la kuchelewa kupata ujauzito-3

mimbaWiki hii tunaendelea na sehemu ya mwisho ya makala hii ili wiki ijayo nianze nyingine.

MATATIZO KATIKA SHINGO YA KIZAZI
Tatizo hili linaweza kuwa la kuzaliwa nalo, likasababishwa na matumizi ya baadhi ya madawa kwa mama mjamzito ukajikuta unazaa mtoto anapata kasoro katika viungo vyake mojawapo ni viungo vya uzazi.

Tatizo katika viungo vya uzazi pia linaweza kusababishwa na maambukizi, upasuaji au magonjwa sugu katika uke au shingo ya uzazi.

Mwanamke mwenye tatizo hili hulalamika maumivu...

 

10 years ago

GPL

ANA UJAUZITO WAKO? MSAIDIE KWA KUFANYA HAYA

Uhali gani mpendwa msomaji wangu, ni matumaini yangu kwamba uko poa na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku. Karibu tena kwenye uwanja wetu huu tujadiliane na kuelekezana kuhusu mambo mbalimbali yahusuyo uhusiano wa kimapenzi. Sote tunaelewa kwamba hakuna kipindi kigumu katika uhusiano wa kimapenzi kama pale mwenzi wako anaponasa ujauzito. Wanawake wengi huwa na mabadiliko makubwa ya tabia, hali inayowafanya wanaume...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani