Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Matatizo ya ujauzito yanayoendana na umri

Kwa miaka mingi, wataalamu wengi wa afya ya uzazi bado wanaamini miaka 20 hadi 35 ndio umri sahihi kushika mimba na kujifungua.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Umri wa ujauzito — 2

KAMA kawaida tunaanza na kishtua mada kutoka kwa washkaji wawili wakizungumzia jambo fulani na kutuachia ujumbe. Mshikaji 1: Ukifikiria sana juu ya uzee na kuzeeka, kumbe ni kama nyumba ‘inavyozeeka’....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Umri wa ujauzito — (4)

KAMA kawaida tuanze makala hii kwa mazungumzo ya washikaji wawili ambao hutuachia ujumbe fulani. Mshikaji 1: Mshikaji unaweza kunihakikishia kuwa kuna Mungu? Mshikaji 2: Ni rahisi. Hebu siku ambayo kuna mbalamwezi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Umri wa ujauzito — (3)

KILA mwezi tutaandika kuhusu mama aliyejifungua mwezi huo na kujitahidi kujifunza hali inayoitwa ujauzito. Mama tunayemsikiliza leo alijifungua Aprili 3, 2014 baada ya kubeba mimba kwa siku 272, yaani wiki...

 

10 years ago

Vijimambo

MATATIZO YA NDOA NA UMRI

MWANAUME MKUBWA ANAYEOA MSICHANA MDOGOImekuwa ni kawaida katika jamii za kiafrika wanaume wenye umri mkubwa sana kuoa wasichana wenye umri mdogo ambao wanaweza hata kuwazaa.Katika hili imekuwa ni kama fashion kwa wasichana kiasi wamekosa hata zile haya walizokuwa nazo wazazi wetu enzi za zamani.Wasichana wengi wametokea kujidumbukiza kuolewa na mababa wakubwa sana hari si kuwa wanapenda kuolewa na wazee waliowazidi umri kwa kiasi kikubwa.Wachache kati yao wanapenda kuolewa na watu wazima na...

 

10 years ago

GPL

MATATIZO YANAYOMFANYA MWANAMKE ASIPATE UJAUZITO HARAKA-2

Leo naendelea na mada niliyoanza wiki iliyopita, kuhusiana na matatizo yanayowafanya wanawake wasipate ujauzito haraka. Suala la kufahamu mzunguko wa hedhi, siku za kupata mimba linawahusu wote wawili, mume na mke.
Matatizo ya kisaikolojia kwa mwanaume na mwanamke na unene kupita kiasi pia huchangia tatizo hili. DALILI ZA TATIZO
Kama tulivyoona, kitendo cha mwanamke na mumewe kukaa zaidi ya mwaka wanatafuta mtoto ni tatizo...

 

10 years ago

GPL

MATATIZO YA NDOA NA UMRI‏

MWANAUME MKUBWA ANAYEOA MSICHANA MDOGO Imekuwa ni kawaida katika jamii za kiafrika wanaume wenye umri mkubwa sana kuoa wasichana wenye umri mdogo ambao wanaweza hata kuwazaa.Katika hili imekuwa ni kama fashion kwa wasichana kiasi wamekosa hata zile haya walizokuwa nazo wazazi wetu enzi za zamani. Wasichana wengi wametokea kujidumbukiza kuolewa na mababa wakubwa sana hari si kuwa wanapenda kuolewa na wazee waliowazidi umri kwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

MAKALA kutoka kwa Maganga One: Matatizo ya ndoa na Umri

whatever-works

MWANAUME MKUBWA ANAYEOA MSICHANA MDOGO

Imekuwa ni kawaida katika jamii za kiafrika wanaume wenye umri mkubwa sana kuoa wasichana wenye umri mdogo ambao wanaweza hata kuwazaa.Katika hili imekuwa ni kama fashion kwa wasichana kiasi wamekosa hata zile haya walizokuwa nazo wazazi wetu enzi za zamani.

Wasichana wengi wametokea kujidumbukiza kuolewa na mababa wakubwa sana hari si kuwa wanapenda kuolewa na wazee waliowazidi umri kwa kiasi kikubwa.Wachache kati yao wanapenda kuolewa na watu wazima...

 

9 years ago

Michuzi

ZAIDI YA WATOTO MILIONI 3.1 WENYE UMRI CHINI YA MIAKA MITANO HUFARIKI DUNIA KILA MWAKA HUKU WENGINE MILIONI 161 KUPATA MATATIZO YA KUDUMAA MWILI

 Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Michael John akizungumza juu ya Upungufu wa vitamini na Baadhi ya Madini muhimu kama Vitamini A, folate, Madini chuma Zinki na madini joto ni chazo cha vifo kwa Watoto chini ya miaka Mitano na chanzo kikubwa cha maradhi mbalimbali kote Duniani, kulia ni Mkurungenzi Mtendaji wa Taasisi ya Global Alliance for Iproved Nutrition (GAIN) ,Marc van Amerngen katika mkutano uliofanyika  leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurungenzi Mtendaji wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Umri ni amri? Mmmh jamani, suala la umri lachekesha

Nafurahi kuona kwamba hujang’ang’ania hoja ya uzee hata siku moja licha ya mvi zako. Wala sijakusikia ukitamba eti wewe una akili au busara zaidi eti kwa kuwa ni mzee. Sifa sana kwako.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani