Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Umri wa ujauzito — 2

KAMA kawaida tunaanza na kishtua mada kutoka kwa washkaji wawili wakizungumzia jambo fulani na kutuachia ujumbe. Mshikaji 1: Ukifikiria sana juu ya uzee na kuzeeka, kumbe ni kama nyumba ‘inavyozeeka’....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Umri wa ujauzito — (3)

KILA mwezi tutaandika kuhusu mama aliyejifungua mwezi huo na kujitahidi kujifunza hali inayoitwa ujauzito. Mama tunayemsikiliza leo alijifungua Aprili 3, 2014 baada ya kubeba mimba kwa siku 272, yaani wiki...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Umri wa ujauzito — (4)

KAMA kawaida tuanze makala hii kwa mazungumzo ya washikaji wawili ambao hutuachia ujumbe fulani. Mshikaji 1: Mshikaji unaweza kunihakikishia kuwa kuna Mungu? Mshikaji 2: Ni rahisi. Hebu siku ambayo kuna mbalamwezi...

 

9 years ago

Mwananchi

Matatizo ya ujauzito yanayoendana na umri

Kwa miaka mingi, wataalamu wengi wa afya ya uzazi bado wanaamini miaka 20 hadi 35 ndio umri sahihi kushika mimba na kujifungua.

 

11 years ago

Mwananchi

Umri ni amri? Mmmh jamani, suala la umri lachekesha

Nafurahi kuona kwamba hujang’ang’ania hoja ya uzee hata siku moja licha ya mvi zako. Wala sijakusikia ukitamba eti wewe una akili au busara zaidi eti kwa kuwa ni mzee. Sifa sana kwako.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ukuaji wa ujauzito

BAADA ya maelezo marefu kuhusiana na jinsi ujauzito unavyotungwa, tukihitimisha na baadhi ya miiko ambayo inatajwa na kuhusishwa sana na suala hilo, sasa tuanze kuangalia jinsi kiumbe kilichomo ndani ya...

 

9 years ago

GPL

JOKATE ANASA UJAUZITO!

Hamida hassan NA Brighton Masalu
Wakati Beautiful Onyinye wa Bongo, Wema Sepetu akihaha kuhakikisha anaitwa mama, habari ‘exclusive’ iliyotua kwenye meza ya gazeti hili inadai kuwa, mwanamitindo anayefanya pia muziki na filamu, Jokate Mwegelo amenasa ujauzito huku muhusika mkuu wa mzigo huo akidaiwa kuwa ni mpenzi wake wa sasa, Ali Saleh Kiba ‘Ali Kiba’. Mwanamitindo anayefanya pia muziki na filamu, Jokate Mwegelo....

 

11 years ago

GPL

TATIZO LA KUTOPATA UJAUZITO - 2

Wiki iliyopita tuliona tatizo hili kwa upande wa wanaume, leo tuliangalie kwa upande wa wanawake.
Kama ilivyo kwa mwanaume, mwanamke pia anahitaji uchunguzi wa kina, kwani tatizo linaweza kusababishwa na mambo mengi. Matatizo yanaweza kuanzia ukeni yakapanda ndani au yakaanzia humohumo ndani.
Matatizo ya uzazi kwa mwanamke yamegawanyika katika maeneo tofauti, unaweza kuwa na tatizo katika mirija ya uzazi, mfumo wa homoni au...

 

11 years ago

GPL

TATIZO LA KUTOPATA UJAUZITO

TUNAPOSEMA tatizo la kutopata ujauzito ina maana mume na mke au watu walio katika uhusiano wa kutafuta ujauzito ndani ya mwaka mmoja lakini wameshindwa. Inaweza ikawa zaidi ya mwaka mmoja lakini wastani kiwango cha chini ni mwaka mmoja. Ni tatizo kubwa katika jamii kwani kila mmoja anataka afikie malengo ya kuwa na familia.  Mwanamke na mwanaume wote wanahusika katika tatizo hili, mara nyingi imeonekana ni tatizo la mwanamke....

 

9 years ago

GPL

UJAUZITO WAMTULIZA AMANDA

Staa wa filamu za Kibongo, Amanda Posh. Hamida Hassan STAA wa filamu za Kibongo, Amanda Posh anadaiwa kutulizwa na hali yake ya ujauzito kwani hivi sasa haonekani mara kwa mara kama zamani. Chanzo kilicho karibu na muigizaji huyo kilisema Amanda alikwenda nchini Uswisi ambako ndiko anakoishi mpenzi wake, ambaye hata hivyo jina lake halikupatikana mara moja, aliporejea ndipo ilipojulikana ni mjamzito. Amanda alitafutwa na gazeti...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani