TATIZO LA KUTOPATA UJAUZITO - 2
![](http://api.ning.com:80/files/MlukZF2i55KocnyRE0pOLSKKE5TAS1j4AxD1W-SMMBq16L1-Qml71XAJ0i27pc0mhpjGUhtTWJIU4AhuWZK1yU9BjnCkMnhE/infertility.jpg?width=650)
Wiki iliyopita tuliona tatizo hili kwa upande wa wanaume, leo tuliangalie kwa upande wa wanawake. Kama ilivyo kwa mwanaume, mwanamke pia anahitaji uchunguzi wa kina, kwani tatizo linaweza kusababishwa na mambo mengi. Matatizo yanaweza kuanzia ukeni yakapanda ndani au yakaanzia humohumo ndani. Matatizo ya uzazi kwa mwanamke yamegawanyika katika maeneo tofauti, unaweza kuwa na tatizo katika mirija ya uzazi, mfumo wa homoni au...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3I-9LvQkoOT42nf0HoxaHJEyRrzKexg7C6Snt0oijOFxAfmmx1EMgifJ11DFj8NwBXOgfGK2sylWIvn9rNy20qtbg3RG1Buo/MIMBA.jpg?width=650)
TATIZO LA KUTOPATA UJAUZITO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vuUh0rgUyT7t146cYrgbIhmcRFTvAVKa9YmqUunzNxVWZhdSIefx58ajZ*avV8w*REhePxl5vJohz-qWWqhVp7jP*xoH3D8e/pregnant.jpg?width=650)
DALILI ZA TATIZO LA KUTOPATA UJAUZITO
11 years ago
Mwananchi01 Aug
AFYA YA UZAZI: Tatizo la kutopata ujauzito
11 years ago
KwanzaJamii01 Aug
Mke na mume wanahusika na tatizo la kutopata ujauzito
10 years ago
Tanzania Daima01 Nov
UTI isipotibiwa mapema huchangia kutopata ujauzito
KARIBU katika safu ya afya, tunaendelea kukumbushana mengi kuhusiana na afya zetu, ili tuweze kujikinga na maradahi mbalimbali. Nimekuwa nikiulizwa maswali mengi na wasomaji yanayohusiana na magojwa mbalimbali, hivyo basi...
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Kukabili tatizo la kutopata mimba
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cPakA0chAExaViGwTSub4gzTPyGnwZDnQCkOWdcUMVTzpNx0AIpGjJSivSSAUvL*ljxbhZargqaFb*BAqLEnRg637m0GVIhg/painsex1.jpg?width=650)
TATIZO LA KUTOPATA RAHA WAKATI WA TENDO LA NDOA
9 years ago
Global Publishers25 Dec
Tatizo la kuchelewa kupata ujauzito-3
Wiki hii tunaendelea na sehemu ya mwisho ya makala hii ili wiki ijayo nianze nyingine.
MATATIZO KATIKA SHINGO YA KIZAZI
Tatizo hili linaweza kuwa la kuzaliwa nalo, likasababishwa na matumizi ya baadhi ya madawa kwa mama mjamzito ukajikuta unazaa mtoto anapata kasoro katika viungo vyake mojawapo ni viungo vya uzazi.
Tatizo katika viungo vya uzazi pia linaweza kusababishwa na maambukizi, upasuaji au magonjwa sugu katika uke au shingo ya uzazi.
Mwanamke mwenye tatizo hili hulalamika maumivu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cFSv-yJm2DRs4wjUoTuT5n7FnVr8*qVWAgVAjCyryd4o31OANWZ4OM0FEcO5Ow3OM3NrYssOR3S509koSdNre-GWifEqzPFj/miscarriage.jpg)
TATIZO LA KUHARIBIKA KWA UJAUZITO-2