Mke na mume wanahusika na tatizo la kutopata ujauzito
Mtu anaposema tatizo la kutopata ujauzito, ana maana mume na mke walio katika uhusiano wa kutafuta mtoto ndani ya mwaka mmoja, lakini wameshindwa. Inaweza ikawa zaidi ya mwaka mmoja lakini wastani wa kiwango cha chini ni mwaka mmoja. Ni tatizo kubwa katika jamii kwani kila mmoja anataka afikie malengo ya kuwa na familia. Mwanamke na mwanamume wote wanahusika katika tatizo hili japo mara nyingi huonekana ni la mwanamke. Kutoshika mimba kwa muda mrefu ni ugumba ua infertility kwa kitaalamu....
KwanzaJamii
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLTATIZO LA KUTOPATA UJAUZITO
11 years ago
GPLTATIZO LA KUTOPATA UJAUZITO - 2
11 years ago
GPLDALILI ZA TATIZO LA KUTOPATA UJAUZITO
11 years ago
Mwananchi01 Aug
AFYA YA UZAZI: Tatizo la kutopata ujauzito
10 years ago
Tanzania Daima01 Nov
UTI isipotibiwa mapema huchangia kutopata ujauzito
KARIBU katika safu ya afya, tunaendelea kukumbushana mengi kuhusiana na afya zetu, ili tuweze kujikinga na maradahi mbalimbali. Nimekuwa nikiulizwa maswali mengi na wasomaji yanayohusiana na magojwa mbalimbali, hivyo basi...
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Kukabili tatizo la kutopata mimba
11 years ago
GPLTATIZO LA KUTOPATA RAHA WAKATI WA TENDO LA NDOA
10 years ago
GPLTATIZO LA KUHARIBIKA KWA UJAUZITO-2
9 years ago
Global Publishers25 Dec
Tatizo la kuchelewa kupata ujauzito-3
Wiki hii tunaendelea na sehemu ya mwisho ya makala hii ili wiki ijayo nianze nyingine.
MATATIZO KATIKA SHINGO YA KIZAZI
Tatizo hili linaweza kuwa la kuzaliwa nalo, likasababishwa na matumizi ya baadhi ya madawa kwa mama mjamzito ukajikuta unazaa mtoto anapata kasoro katika viungo vyake mojawapo ni viungo vya uzazi.
Tatizo katika viungo vya uzazi pia linaweza kusababishwa na maambukizi, upasuaji au magonjwa sugu katika uke au shingo ya uzazi.
Mwanamke mwenye tatizo hili hulalamika maumivu...