Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JOKATE ANASA UJAUZITO!

Hamida hassan NA Brighton Masalu
Wakati Beautiful Onyinye wa Bongo, Wema Sepetu akihaha kuhakikisha anaitwa mama, habari ‘exclusive’ iliyotua kwenye meza ya gazeti hili inadai kuwa, mwanamitindo anayefanya pia muziki na filamu, Jokate Mwegelo amenasa ujauzito huku muhusika mkuu wa mzigo huo akidaiwa kuwa ni mpenzi wake wa sasa, Ali Saleh Kiba ‘Ali Kiba’. Mwanamitindo anayefanya pia muziki na filamu, Jokate Mwegelo....

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

YALIYOMO KWENYE GAZETI LA IJUMAA: JOKATE ANASA UJAUZITO!

Wakati Wema akihaha kusaka mtoto, Jokate anasa ujauzito! -Ashindwa kuhudhuria pati ya Wema -Unataka kumjua mwenye ‘mzigo’ huo? -Jokate anena na mazito na Ijumaa. Zari ammaindi mrembo aliyejichora tatuu ya Diamond -Je, unataka kumjua mrembo huyo ni nani? -Unataka kufahamu undani wake? Mme wa mtu afanya mambo ya aibu -Je, unataka kujua alichokifanya mbaba huyu, wapi na ilikuwaje? Dada wa Diamond afanyiwa kitu mbaya usiku -Ni...

 

10 years ago

CloudsFM

FROLAH MVUNGI ANASA UJAUZITO WA PILI

Mwigizaji wa filamu za Kibongo,Frolah Mvungi amenasa ujauzito wa pili baada ya kumzaa mtoto wake wa kwanza aitwaye Tanzanite aliyemzaa na mumewe H Baba miaka kadhaa iliyopita. Kupitia Instagram mashabiki wake wamempongeza baada ya kupata ujauzito:


serda_sherby Jamani mashaallah Allah akujaalie ujifungue salama we ni mfano Wa kuigwa unaitendea haki ndoa yako

mahmoodmariam @florahmvungi mm nakupenda tu mwaya zaa ndugu wache wanao toa mimba kisa kuzeeke cjui mamazao wamezeka kwa ajili ya kuzaa...

 

9 years ago

Bongo5

Alikiba akanusha tetesi za kumpa ujauzito Jokate

kiba2

Staa wa Bongo fleva, Alikiba amekanusha taarifa zilizoandikwa na moja ya magazeti ya udaku hivi karibuni, kuwa amempa ujauzito Jokate Mwegelo.

kiba2

Hivi ndivyo ilivyoandikwa:

“Wakati Beautiful Onyinye wa Bongo, Wema Sepetu akihaha kuhakikisha anaitwa mama, habari ‘exclusive’ iliyotua kwenye meza ya gazeti hili inadai kuwa, mwanamitindo anayefanya pia muziki na filamu, Jokate Mwegelo amenasa ujauzito huku muhusika mkuu wa mzigo huo akidaiwa kuwa ni mpenzi wake wa sasa, Ali Saleh Kiba ‘Ali...

 

10 years ago

Bongo Movies

Baada ya Ushindi wa Tuzo, Diamond Atupa Dongo kwa Jokate, Jokate Naye Ajibu

Usiku wa jana kuamkia leo July 19 2015 Diamond Platnumz kanyanyua ushindi mwingine kwenye Tuzo za MTVMAMA2015, zilizokuwa zikitolewa Durban Africa Kusini.

Leo Diamond alipost Video inayomwonesha staa wa Mitindo Bongo, mrembo Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ akicheza wimbo wa ‘Mdogomdogo‘ alafu akaandikia hivi >>>> ‘Mbona Bado, Mtanyooka tu..‘ >>>> @ diamondplatnumz

Baadae Jokate nae akaandika kwenye ukurasa wake wa @Instagram kuhusu video hiyo ambayo alimpost Diamond.
Tuki-support mtu ndio kama hivi...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI JAFO AAGIZA SHULE ILIYOJENGWA NA DC JOKATE IITWE JOKATE GIRLS SEKONDARI, ASIFU UTENDAJI WAKE


Moja ya jengo jipya na la kisasa la Shule ya Sekondari ya Wasichana Jokate Girls iliyopo Kata ya Kibuta wilayani Kisarawe mkoani Pwani ambayo linavyoonekana.Waziri wa Nchi ,Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Selemen Jafo amefanya ziara ya kutembelea shule hiyo kwa ajili ya kukagua maendeleo ya ujenzi wake.
Waziri wa Nchi ,Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Selemen Jafo akizungumza jana baada ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Shule ya bweni ya...

 

11 years ago

GPL

DEVOTHA MBAGA ANASA!

Devota Mbaga. Na Brighton Masalu
MSANII aliyefanya poa kwenye filamu kadhaa ikiweko ya Malaika, Devotha Julius Mbaga ‘The First Born’ yuko katika wakati mgumu kufuatia kunasa ujauzito ambao kwa sasa siyo siri tena. Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, mmoja wa rafiki wa msanii huyo (jina kapuni) alisema kuwa licha ya msanii huyo kufanya siri juu ya ujauzito huo, lakini kwa sasa dalili zinaonesha kuwepo kwa...

 

11 years ago

GPL

SHILOLE ANASA KWA MZUNGU

Na Gladness Mallya na Hamida Hassan
KWA mara ya kwanza msanii wa filamu na muziki Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amenaswa akiwa na mwanaume wa Kizungu anayedaiwa kuwa ndiye mchumba wake. Zuwena Mohamed ‘Shilole’ akiwa na mchumba wake. Chanzo makini kimepenyeza habari kuwa, safari za mara kwa mara za Shilole nchini Uingereza zimekuwa zikisababishwa na mchumba huyo wa Kizungu ambaye huwa anamuita...

 

10 years ago

Mwananchi

Anasa za Bongo zinawaua maproo

Kocha Mkuu wa Sports Club Villa ya Uganda, Kiria Ibrahim amesema maisha ya anasa na starehe nyingi Tanzania ni sababu inayowafanya wachezaji wengi wanaocheza soka la kulipwa nchini kushuka viwango vyao.

 

9 years ago

Mtanzania

Juliana anasa kwa Mr Flavour

ed3BoQtNAIROBI, KENYA

NYOTA wa muziki nchini Uganda, Juliana Kanyomozi, ameonekana kunasa kwenye penzi la msanii wa Nigeria, Chinedu Okoli ‘Mr Flavour’, baada ya kukutana nchini Kenya katika maonyesho ya Coke Studio.

Wasanii hao wamekutana nchini humo kwa ajili ya muziki uliokutanisha wasanii mbalimbali kutoka Afrika, ambapo wanafanya muziki kwa kushirikiana, lakini ukaribu wa Mr Flavour na Juliana umewafanya mashabiki wao kudhani kuna lingine zaidi ya muziki baina yao.

Mitandao mbalimbali nchini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani