SHILOLE ANASA KWA MZUNGU
![](http://api.ning.com:80/files/sGeqV*sT8d1JGTTQHDd6VmKqHa*llvdoCXBIyyPTfXm4BVCOXy4lmAMI8OKhdiZc9Pf-SoCgnbErHoVL9D0VYsQt7xzTd-2-/shilole.jpg?width=650)
Na Gladness Mallya na Hamida Hassan KWA mara ya kwanza msanii wa filamu na muziki Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amenaswa akiwa na mwanaume wa Kizungu anayedaiwa kuwa ndiye mchumba wake. Zuwena Mohamed ‘Shilole’ akiwa na mchumba wake. Chanzo makini kimepenyeza habari kuwa, safari za mara kwa mara za Shilole nchini Uingereza zimekuwa zikisababishwa na mchumba huyo wa Kizungu ambaye huwa anamuita...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cZ399qCqOaFXIaQEOH3zg6Hoh*0sl*zvqqhipGT2y3org6sAdXyIx9DTA-Up4J3C8ilDSg6InfMsEJPnE585gCO8RNnzdScI/shilole.jpg?width=650)
KUMBE MZUNGU WA SHILOLE NI MWANAUME TATA!
9 years ago
Mtanzania30 Nov
Juliana anasa kwa Mr Flavour
NAIROBI, KENYA
NYOTA wa muziki nchini Uganda, Juliana Kanyomozi, ameonekana kunasa kwenye penzi la msanii wa Nigeria, Chinedu Okoli ‘Mr Flavour’, baada ya kukutana nchini Kenya katika maonyesho ya Coke Studio.
Wasanii hao wamekutana nchini humo kwa ajili ya muziki uliokutanisha wasanii mbalimbali kutoka Afrika, ambapo wanafanya muziki kwa kushirikiana, lakini ukaribu wa Mr Flavour na Juliana umewafanya mashabiki wao kudhani kuna lingine zaidi ya muziki baina yao.
Mitandao mbalimbali nchini...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZNt8FIknlRNgPfc-bPqzGNaD3LNKeqWvsxuTxbsVSHtqEyfWjbESIlk7uXwSK66YZkAZLmk41fbeefmIdQw01EHUyxwKnUiy/rs_634x1024150424102430634.KhloeKardashianJR42415.jpg?width=650)
KHLOE ANASA TENA KWA MCHEZA KIKAPU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0gGC4ZQuxjOijoYvaKbMzMDa-a2Z*mKmfHr88NhhiDHWlHqmFLsSGdM8npzxyonDMbCyHJTSymhLqtCYok*mmStmTOZJDe0i/zaricopy.jpg?width=650)
MUME WA ZARI ANASA KWA SHOSTI WA ZARI
9 years ago
BBCSwahili25 Nov
Polisi mzungu ashtakiwa kwa kuua tineja mweusi
10 years ago
Bongo Movies04 Jul
Mwanaume aliyezaa na Shilole Atoboa Haya Kuhusu Yeye na Shilole
Yule mwanaume aliyezaa na Staa wa Bongo Movies na Fleva,Shilole,aitwaye Elias Makala ameibuka na kuzungumza na U heard na Soudy Brown kuwa hakuwahi kumbaka msaniii huyo kama ambayo anazungumza kwenye vyombo vya habari.
‘’Mimi namshangaa sana Shilole anavyosema kuwa nilimbaka,sijawahi kumbaka nilikuwa naishi naye kama mume na mke kwa zaidi ya miaka saba, na nilimuuliza kwanini anasema uongo kuwa nilimbaka alinijibu kuwa habari hiyo inamsaidia kumpaisha (kick) kwenye muziki wake,’’alisema...
10 years ago
Bongo Movies11 May
Kauli ya Shilole na Mchumba Wake Juu ya Picha Chafu za Shilole Akiwa Stejini
Haya ndiyo maelezo ya wawili hao kuhusiana na picha za mwanadada shilole zikimuonyesha wazi sehemu ya kifua chake wakati akiwa stejini anatumbuiza huko nchini Ubelgiji.
Show ni movement na uwezi mkataza mtu kupiga picha ukiwa kwa stage'na kuna nguo za show na nguo za kutoka out kikawaida'ukiruka ruka sana sidiria ni rahisi kuchomoka akina dada mnafaham na mtu yupo stejini anakua hajitambui kama nini kimetokea coz yupo stejin kwenye mood ya kazi na kila mtu ni binadamu na ndio mana wengine...
10 years ago
Bongo515 Dec
Shilole: Sio kwamba nimeacha kuigiza ila nafatutia timing, asema filamu ijayo itakuwa ni true story (Shilole In Dar)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Miy5-5-cgYvq6mQ7iniROMjtZarLAZj6bzYVXFSlTkEj5fWlw27arymxD71kKaVfqbnBOzFOvJWEArRzW5epzt--F2dypcY6/Jokate.jpg?width=650)
JOKATE ANASA UJAUZITO!