Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KHLOE ANASA TENA KWA MCHEZA KIKAPU

Mrembo na mwanamitindo, Khloe Kardashian. Las Vegas, Marekani
HAKUNA kulaza damu! Unaweza kusema hivyo kufuatia mrembo na mwanamitindo, Khloe Kardashian, kupata mpenzi mpya James Harden ambaye ni mcheza kikapu wa NBA kama ilivyokuwa kwa aliyekuwa mumewe wa ndoa, Lamar Odom. Khloe alionekana akiwa na staa huyo wa Ligi ya Kikapu ya Marekani anayechezea timu ya Houston Rockets, wakiwa ‘close’ huko Las Vegas wikiendi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Mcheza kikapu na mume wa zamani wa mdogo wake Kim Kardashian yupo hoi na hajitambui kwa kuzidisha dawa za kulevya

Mchezaji wa kikapu wa Marekani, Lamar Odom anapigania maisha yake baada ya kudaiwa kutumia kiasi kikubwa cha cocaine kiasi cha kupatwa na kiharusi na figo zake kushindwa kufanya kazi. Lamar ni mume wa zamani wa mdogo wake na Kim Kardashian, Khloe. Kufuatia habari za mchezaji huyo wa zamani wa LA Laker kuzidisha madawa ya kulevya, […]

 

10 years ago

GPL

WELLU ANASA MIMBA TENA!

Msanii wa filamu Bongo, Wellu Sengo, ‘Matilda’. Stori: Waandishi Wetu
IMEVUJA! Msanii wa filamu Bongo, Wellu Sengo, ‘Matilda’, licha ya kuwa na mtoto mdogo ambaye hajafikisha hata mwaka, inadaiwa tayari amenasa ujauzito mwingine.Chanzo makini kinaeleza kuwa ujauzito huo ni wa mmoja wa wasanii wenye majina maarufu hapa nchini, ambao wamekuwa katika uhusiano kwa muda mrefu sasa. Katika mawasiliano kwa...

 

10 years ago

Bongo5

Khloe Kardashian asema atadai tena talaka kama Lamar Odom atarudi kwenye matumizi ya madawa ya kulevya

Shemeji wa Kanye West, Khloe Kardashian amekuwa bega kwa bega na mumewe Lamar Odom toka alipolazwa hospitali mara ya kwanza baada ya kukutwa hajitambui kutokana na kuzidisha dawa za kulevya huko Las Vegas. Hali ya Lamar ilimfanya Khloe kuamua kuachana na aliyekuwa boyfriend wake James Harded, na kufuta kesi ya kudai talaka na kuipa ndoa […]

 

11 years ago

GPL

SHILOLE ANASA KWA MZUNGU

Na Gladness Mallya na Hamida Hassan
KWA mara ya kwanza msanii wa filamu na muziki Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amenaswa akiwa na mwanaume wa Kizungu anayedaiwa kuwa ndiye mchumba wake. Zuwena Mohamed ‘Shilole’ akiwa na mchumba wake. Chanzo makini kimepenyeza habari kuwa, safari za mara kwa mara za Shilole nchini Uingereza zimekuwa zikisababishwa na mchumba huyo wa Kizungu ambaye huwa anamuita...

 

9 years ago

Mtanzania

Juliana anasa kwa Mr Flavour

ed3BoQtNAIROBI, KENYA

NYOTA wa muziki nchini Uganda, Juliana Kanyomozi, ameonekana kunasa kwenye penzi la msanii wa Nigeria, Chinedu Okoli ‘Mr Flavour’, baada ya kukutana nchini Kenya katika maonyesho ya Coke Studio.

Wasanii hao wamekutana nchini humo kwa ajili ya muziki uliokutanisha wasanii mbalimbali kutoka Afrika, ambapo wanafanya muziki kwa kushirikiana, lakini ukaribu wa Mr Flavour na Juliana umewafanya mashabiki wao kudhani kuna lingine zaidi ya muziki baina yao.

Mitandao mbalimbali nchini...

 

9 years ago

Mtanzania

MWAKA MBAYA KWA KHLOE

rs_1024x759-151020105518-1024.khloe-lamar4.cm.102015NEW YORK, MAREKANI

MDOGO wake na Kim Kardashian, Khloe, amesema mwaka huu wa 2015 unaoelekea ukingoni, umekuwa mbaya kwake kutokana na kukumbwa na majanga mbalimbali ikiwa ni pamoja na mpenzi wake kuugua.

Kupitia akaunti yake ya Instagram, mrembo huyo aliandika kuwa, amepatwa na mitihani mingi lakini kubwa zaidi ni kuugua kwa mpenzi wake Lamar Odom kwa kipindi kirefu.

“Hauwezi kuwa na raha na amani kama mtu wako wa karibu yupo hospitali, nimekuwa na wakati mgumu kwa kuwa mpenzi wangu Lamar...

 

10 years ago

GPL

KHLOE: TUNACHAFULIWA KWA SKENDO YA UNGA

Host wa Kipindi cha The Kardashians, Khloe Kardashian. New York, Marekani
HOST wa Kipindi cha The Kardashians, Khloe Kardashian ameamua kufungukia skendo ya dawa za kulevya ambayo imeikumba familia yake. Awali ilidaiwa kuwa, kwenye pati waliyofanya akina Khloe yenye nia ya kuwapongeza Kendall Jenner na Kylie Jenner kwa kuhitimu masomo yao, wapo watu waliovuta madawa ya kulevya.Kufuatia madai hayo,Khloe… ...

 

10 years ago

GPL

KHLOE AMUACHA LAMAR, AREJEA KWA MPENZI WAKE

Mtangazaji wa Kipindi cha Keeping Up With The Kardashians, Khloe Kardashian. Los Angeles, Marekani
UBUYU mpya umepenyezwa kuwa Mtangazaji wa Kipindi cha Keeping Up With The Kardashians, Khloe Kardashian, wiki iliyopita aliamua kumtelekeza aliyekuwa mumewe, Lamar Odom na kwenda kuhudhuria mechi ya NBA ambapo timu ya mpenzi wake wa sasa, James Harden, Houston Rockets ilikuwa inacheza. Akichonga na mtandao maarufu wa burudani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani