MUME WA ZARI ANASA KWA SHOSTI WA ZARI
![](http://api.ning.com:80/files/0gGC4ZQuxjOijoYvaKbMzMDa-a2Z*mKmfHr88NhhiDHWlHqmFLsSGdM8npzxyonDMbCyHJTSymhLqtCYok*mmStmTOZJDe0i/zaricopy.jpg?width=650)
Kampala, Uganda Habari kutoka nyumba ya jirani nchini Uganda ikufikie kwamba aliyekuwa mume wa mwandani wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, tajiri Ivan Ssemwanga anadaiwa kunasa penzi la shosti wa kufa na kuzikana wa mkewe huyo aitwaye Stella Nankya, Ijumaa Wikienda limetonywa. Aliyekuwa mume wa Zari akiwa na mpenzi wake mpya ambaye ni shosti wa kufa na...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NQ48wH9Dt2SjA7ZV0ZLg4vxhxdoc9xz67wkYwywEvmoDYve56Q*pEMSeBfIpJmNlZU6nD2nwXcRqIYdwrdsHNTXUQgpoedvI/zari.gif?width=650)
MUME WA ZARI ABAMBIKIWA MIMBA!
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/P0y0X6852Mc/default.jpg)
10 years ago
CloudsFM09 Feb
Wema ajiachia Sauz na ‘’mume’’ wa Zari
Kumekuwa na sintofahamu baada ya picha za Staa wa filamu za Kibongo,Wema Sepetu akiwa na aliyekuwa mume wa mpenzi wa sasa wa Diamond Platnumz,Zari,Ivan kusambaa mtandaoni wakiwa nchini Afrika Kusini.
Hiyo picha inamwonyesha wema akiwa na Ivan lakini inaonekana si picha rasmi mpango unaonekana ulikua wa siri sana kwani inaonekana kama imepigwa wahusika hawakuwa tayari.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d*xx8iAX09Ucp3z*0ovvgVzlb4qqnmyObB7kscWSTpzwOAP07w*os1PlqqO7hH5QB1nC3bTOb8USz9MuHhV2zfsH8BWHfwRN/front.jpg)
WEMA: MUME WA ZARI ANATAKA KUNIOA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1asLTm0wi-vw2jjw4uc*wCgkxZotEroeypXyZYcAYjt1IF8fWJlFIOxLQ5vx2YKVTxBUkZzKkZLRnsySQYMvZ1U7qEgR2uc*/zarii.jpg)
MUME: ZARI HAWEZI KUZAA NA DIAMOND
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-4AWazcB9U-I/VUONB6vGraI/AAAAAAAABbc/BDzktArlrlE/s72-c/Africanjam2.jpg)
TANZANIA: KUELEKEA ZARI WHITE PARTY, DIAMOND AFUNGUKA KUHUSU NDOA YAKE NA ZARI
![](http://2.bp.blogspot.com/-4AWazcB9U-I/VUONB6vGraI/AAAAAAAABbc/BDzktArlrlE/s1600/Africanjam2.jpg)
Diamond Platnumz ambae ni miongoni mwa wasanii wa muziki wanaofanya vizuri sana Africa amefunguka kuhusu Ndoa yake na mwanamama Zari, Diamond amesema kwamba atakuwa ndani ya ndoa kabla ya mwaka huu kuisha.Diamond alifunguka hayo asubuhi ya tar 1 May. 2015 katika kuipigia promo Event ya Zari All All White Party itakayofanyika tar 1 May. Tamasha hilo linatarajiwa kuacha historia ya kipekee kwa kua na kiingilio cha gharama kubwa zaidi kwani ticket za VIP zimeuzwa kwa Millioni tatu na mpaka...
10 years ago
Vijimambo08 Jan
DIAMOND APEWA OFA YA $40,000 AMWACHE ZARI, NJEMBA LAPOST SCREENSHOT YA ZARI AKILIOMBA MKWANJA!
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/01/10888399_10205933029869831_1858120712732123108_n.jpg)
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/01/1b.jpg)
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/01/1a.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-mAr53L28UR0/VUOBSPD79PI/AAAAAAAAtBs/ZszPK3SJ_xg/s72-c/zari%2Bwetu.jpg)
Tuache ushabiki Jamani Huyu Dada Tumpe Hongera yake... Ubunifu Wake Nimeupenda..Mitandao ya Kijamii leo ni Zari Zari
![](http://1.bp.blogspot.com/-mAr53L28UR0/VUOBSPD79PI/AAAAAAAAtBs/ZszPK3SJ_xg/s640/zari%2Bwetu.jpg)
Zari "Watanzania Wamenikaribisha kama ni mtu wao na sasa mimi ni wao hivyo ni yote ni heri kabisa"
Zari Tlale aka The Bosslady amesema upendo anaoupata baada ya kuanzisha uhusiano na Diamond Platnumz, umemfanya agundue kuwa watanzania wamemkubali kama mtu wao.
Akiongea na Clouds FM/TV asubuhi hii, Zari amesema tangu ameanza kuja Tanzania amekuwa akipokea upendo zaidi kutoka kwa watanzania kiasi ambacho kimemfanya ajisikie kama yupo kwao.“Siwezi hata kulalamika, watu wa Tanzania ni wakarimu...
10 years ago
Vijimambo