Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Anasa za Bongo zinawaua maproo

Kocha Mkuu wa Sports Club Villa ya Uganda, Kiria Ibrahim amesema maisha ya anasa na starehe nyingi Tanzania ni sababu inayowafanya wachezaji wengi wanaocheza soka la kulipwa nchini kushuka viwango vyao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

AIBU JAMANI! MUME ANASA PICHA CHAFU ZA MKEWE NA MSANII WA BONGO MOVIE

Shani Ramadhani MAMA Fanueliii! Mwanamke Elgiva Winyaeli Munisi ‘Manka’, mkazi wa Kijitonyama, Dar, amejikuta katika wakati mgumu baada ya mumewe, Alpha kudaiwa kuzinasa picha za utupu akiwa na mchepuko uliofahamika kwa jina la Crama Lucas ambaye ni msanii wa Bongo Muvi, Ijumaa Wikienda lina filamu kamili. Elgiva Winyaeli Munisi ‘Manka’ na mchepuko wake Crama Lucas ambaye ni msanii wa Bongo...

 

9 years ago

Mwananchi

Maproo nane wachemsha Ligi Kuu

Wachezaji nane wa kigeni wameshindwa kuthibisha ubora wao katika Ligi Kuu inayoondelea kutimua vumbi nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

Mtibwa Sugar yakataa kusajili 'maproo'

Wakati timu nyingine zikijizatiti kuimarisha vikosi vyao kwa kufanya usajili nje ya nchi, imekuwa tofauti kwa kocha wa Mtibwa Sugar, Mecky Mexime, ameweka wazi kuwa hana mpango na wachezaji wa nje ya Tanzania.

 

11 years ago

GPL

DEVOTHA MBAGA ANASA!

Devota Mbaga. Na Brighton Masalu
MSANII aliyefanya poa kwenye filamu kadhaa ikiweko ya Malaika, Devotha Julius Mbaga ‘The First Born’ yuko katika wakati mgumu kufuatia kunasa ujauzito ambao kwa sasa siyo siri tena. Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, mmoja wa rafiki wa msanii huyo (jina kapuni) alisema kuwa licha ya msanii huyo kufanya siri juu ya ujauzito huo, lakini kwa sasa dalili zinaonesha kuwepo kwa...

 

9 years ago

GPL

JOKATE ANASA UJAUZITO!

Hamida hassan NA Brighton Masalu
Wakati Beautiful Onyinye wa Bongo, Wema Sepetu akihaha kuhakikisha anaitwa mama, habari ‘exclusive’ iliyotua kwenye meza ya gazeti hili inadai kuwa, mwanamitindo anayefanya pia muziki na filamu, Jokate Mwegelo amenasa ujauzito huku muhusika mkuu wa mzigo huo akidaiwa kuwa ni mpenzi wake wa sasa, Ali Saleh Kiba ‘Ali Kiba’. Mwanamitindo anayefanya pia muziki na filamu, Jokate Mwegelo....

 

11 years ago

GPL

SHILOLE ANASA KWA MZUNGU

Na Gladness Mallya na Hamida Hassan
KWA mara ya kwanza msanii wa filamu na muziki Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amenaswa akiwa na mwanaume wa Kizungu anayedaiwa kuwa ndiye mchumba wake. Zuwena Mohamed ‘Shilole’ akiwa na mchumba wake. Chanzo makini kimepenyeza habari kuwa, safari za mara kwa mara za Shilole nchini Uingereza zimekuwa zikisababishwa na mchumba huyo wa Kizungu ambaye huwa anamuita...

 

10 years ago

GPL

WELLU ANASA MIMBA TENA!

Msanii wa filamu Bongo, Wellu Sengo, ‘Matilda’. Stori: Waandishi Wetu
IMEVUJA! Msanii wa filamu Bongo, Wellu Sengo, ‘Matilda’, licha ya kuwa na mtoto mdogo ambaye hajafikisha hata mwaka, inadaiwa tayari amenasa ujauzito mwingine.Chanzo makini kinaeleza kuwa ujauzito huo ni wa mmoja wa wasanii wenye majina maarufu hapa nchini, ambao wamekuwa katika uhusiano kwa muda mrefu sasa. Katika mawasiliano kwa...

 

9 years ago

Mtanzania

Juliana anasa kwa Mr Flavour

ed3BoQtNAIROBI, KENYA

NYOTA wa muziki nchini Uganda, Juliana Kanyomozi, ameonekana kunasa kwenye penzi la msanii wa Nigeria, Chinedu Okoli ‘Mr Flavour’, baada ya kukutana nchini Kenya katika maonyesho ya Coke Studio.

Wasanii hao wamekutana nchini humo kwa ajili ya muziki uliokutanisha wasanii mbalimbali kutoka Afrika, ambapo wanafanya muziki kwa kushirikiana, lakini ukaribu wa Mr Flavour na Juliana umewafanya mashabiki wao kudhani kuna lingine zaidi ya muziki baina yao.

Mitandao mbalimbali nchini...

 

10 years ago

CloudsFM

FROLAH MVUNGI ANASA UJAUZITO WA PILI

Mwigizaji wa filamu za Kibongo,Frolah Mvungi amenasa ujauzito wa pili baada ya kumzaa mtoto wake wa kwanza aitwaye Tanzanite aliyemzaa na mumewe H Baba miaka kadhaa iliyopita. Kupitia Instagram mashabiki wake wamempongeza baada ya kupata ujauzito:


serda_sherby Jamani mashaallah Allah akujaalie ujifungue salama we ni mfano Wa kuigwa unaitendea haki ndoa yako

mahmoodmariam @florahmvungi mm nakupenda tu mwaya zaa ndugu wache wanao toa mimba kisa kuzeeke cjui mamazao wamezeka kwa ajili ya kuzaa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani