Anasa za Bongo zinawaua maproo
Kocha Mkuu wa Sports Club Villa ya Uganda, Kiria Ibrahim amesema maisha ya anasa na starehe nyingi Tanzania ni sababu inayowafanya wachezaji wengi wanaocheza soka la kulipwa nchini kushuka viwango vyao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DGjgPH8*8vm2guRTVFWexTEk3UbyVhPa4wG5VvcW2OSDMZlTqv7MiCUxxX6WITme1mFDSDLfa4fNCXO7Jgiw2GyRr8tXGEuH/FRONTWIKIENDAcopy.jpg?width=650)
AIBU JAMANI! MUME ANASA PICHA CHAFU ZA MKEWE NA MSANII WA BONGO MOVIE
9 years ago
Mwananchi09 Oct
Maproo nane wachemsha Ligi Kuu
11 years ago
Mwananchi10 Jul
Mtibwa Sugar yakataa kusajili 'maproo'
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WnmTYkV-edK1U0alFqP4*OAxezbFN9uE9ppsSsYhQ9ryegPIN0SCeQRLpAyakHsoamFc59flBbm2H7*u4E0Ggd7Y4vlh3V6W/devotha.jpg?width=650)
DEVOTHA MBAGA ANASA!
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Miy5-5-cgYvq6mQ7iniROMjtZarLAZj6bzYVXFSlTkEj5fWlw27arymxD71kKaVfqbnBOzFOvJWEArRzW5epzt--F2dypcY6/Jokate.jpg?width=650)
JOKATE ANASA UJAUZITO!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sGeqV*sT8d1JGTTQHDd6VmKqHa*llvdoCXBIyyPTfXm4BVCOXy4lmAMI8OKhdiZc9Pf-SoCgnbErHoVL9D0VYsQt7xzTd-2-/shilole.jpg?width=650)
SHILOLE ANASA KWA MZUNGU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QsYVKE-pbjYn15RaSfReE3uWWpOgZrw26GVtfLN*LV7IORo0-hF4ZHwLhDyWjSiqIqLGbyPXkKtp1nUpj9dox04iW1jnBNA1/welu.jpg?width=650)
WELLU ANASA MIMBA TENA!
9 years ago
Mtanzania30 Nov
Juliana anasa kwa Mr Flavour
NAIROBI, KENYA
NYOTA wa muziki nchini Uganda, Juliana Kanyomozi, ameonekana kunasa kwenye penzi la msanii wa Nigeria, Chinedu Okoli ‘Mr Flavour’, baada ya kukutana nchini Kenya katika maonyesho ya Coke Studio.
Wasanii hao wamekutana nchini humo kwa ajili ya muziki uliokutanisha wasanii mbalimbali kutoka Afrika, ambapo wanafanya muziki kwa kushirikiana, lakini ukaribu wa Mr Flavour na Juliana umewafanya mashabiki wao kudhani kuna lingine zaidi ya muziki baina yao.
Mitandao mbalimbali nchini...
10 years ago
CloudsFM05 Jan
FROLAH MVUNGI ANASA UJAUZITO WA PILI
Mwigizaji wa filamu za Kibongo,Frolah Mvungi amenasa ujauzito wa pili baada ya kumzaa mtoto wake wa kwanza aitwaye Tanzanite aliyemzaa na mumewe H Baba miaka kadhaa iliyopita. Kupitia Instagram mashabiki wake wamempongeza baada ya kupata ujauzito:
serda_sherby Jamani mashaallah Allah akujaalie ujifungue salama we ni mfano Wa kuigwa unaitendea haki ndoa yako
mahmoodmariam @florahmvungi mm nakupenda tu mwaya zaa ndugu wache wanao toa mimba kisa kuzeeke cjui mamazao wamezeka kwa ajili ya kuzaa...