ELEWA KALENDA YA KUPATA MIMBA
![](http://api.ning.com:80/files/EDr-zswlq3PEInbUlpuGZvnZmWnH9r7249spzZTaXteR-d69HHJ-4lDeiGDOZ4UPcSGjrgd6QuSkOV3r2lVzYetU0RPFOoDt/pre2.jpg?width=650)
Kalenda ya Ovulation au kalenda ya kubeba mimba ni mzunguko wa mwezi baada ya kupata hedhi, yaani siku ya kwanza unayopata damu yako ya hedhi hadi siku kabla ya kupata tena hedhi nyingine. Ili kujua mzunguko huo vyema, inatubidi tuchunguze hedhi kwa miezi isiyopungua sita. Lakini kama una haraka na huwezi kuchunguza kwa miezi 6 chunguza kwa miezi mitatu. Unaweza kufanya hivyo kwa kutumia kalenda ya kawaida na kwa kuziwekea mduara...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/06/pregnant_2176694b.jpg?width=650)
EELEWA KALENDA YA KUPATA MIMBA-2
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2cgQuBR1CohPL4e4fEdFwts33H7cX9y6c52REH12ZHSvJJViFnwN5vuAWYjUPPK9gq9PAz5ipyseGm5pqZ4omlNnVwjtI-Vz/pre2.jpg?width=650)
ELEWA SABABU ZINAZOMFANYA MWANAMKE ASIPATE MIMBA!
10 years ago
Bongo Movies29 Jun
Wema Sepetu Amtaja Mtu Anayemzuia Kupata Mimba
Ishu ya Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu kutopata ujauzito imeshazungumzwa mara kadhaa na hata yeye mwenyewe alishawahi kujitokeza na kuizungumzia lakini safari hii amelizungumzia kwa njia tofauti.
Wema ambaye pia ni muigizaji wa filamu, awali alisema sababu kubwa ya kutopata ujauzito ni masuala ya kiafya lakini safari hii ametoa kauli tata ambayo inahusiana na imani za nguvu za giza.
Wema ambaye alifunguka hayo hivi karibuni, anadai kuwa yawezekana marehemu Steven Kanumba anahusika kwenye...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YTFvh9JoYPEsOi*IalH2WWJL1os2eNtobabo6GGd75lzBm5yjZvuLi--4tzODflkRmHFprBin4CI8g6ynSSWr2RZTpgM927h/pregnantbelly.jpg?width=650)
KAMPUNI YA CHINA YAWEKA MASHARTI YA MTU KUPATA MIMBA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dm99ly9wi65ClpkkqsDO6KcpcLDmSj0B9GEz2gtxoeL*qKkyfnEeSJJXlwd2F*vBmzzItBkS7LDflMAJtfMRLXbOjyHBrTxT/TB2.jpg)
ELEWA UNDANI WA UGONJWA WA KIFUA KIKUU (TB)-2
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/TB-2.jpg)
ELEWA UNDANI WA UGONJWA WA KIFUA KIKUU (TB)-3
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LGdhCycw6D-MZDP0C1FSiTjO9cCMC-qHhuuQtFc4P06buhX02G-wCm0pD4LlZ4ef6D6cYn6cknne*K72ItmqlNq0IRDG7Og5/Cavitary_tuberculosis.jpg?width=650)
ELEWA UNDANI WA UGONJWA WA KIFUA KIKUU (TB)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-L7eHoLjJoWo/VTIF5SYWISI/AAAAAAAAsGU/by7DGbbHtLU/s72-c/wema%2B%284%29.jpg)
NILIWAHI KUTOA MIMBA MOJA TU YA KANUMBA KWA VILE NILIKUWA MDOGO SANA, WANAO SEMA NIMETOA MIMBA NYINGI NI WAONGO
![](http://4.bp.blogspot.com/-L7eHoLjJoWo/VTIF5SYWISI/AAAAAAAAsGU/by7DGbbHtLU/s640/wema%2B%284%29.jpg)
Anazungumzia ishu ya kupata mtoto ndani ya EFM Radio Jana... Anasema watu wanaomsema hapati mimba kwa kuwa ametoa sana mimba, ni uongo kwa kuwa ameshatoa mimba moja tu tena ya Kanumba na kwa kuwa alikuwa mdogo.
Anasema ndoto yake ilikuwa kuzaa na Diamond ila hakuwahi kupata ujauzito ila ameangaika sana kupata na Diamond na wamehustle together kumpata mtoto ila haikuwezekana.
Anasema tangu hapate hiyo mimba ya Kanumba hakuna mwanaume ambaye ameshawai kumpa ujauzito. Anachukia sana watu...