Wema Sepetu Amtaja Mtu Anayemzuia Kupata Mimba
Ishu ya Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu kutopata ujauzito imeshazungumzwa mara kadhaa na hata yeye mwenyewe alishawahi kujitokeza na kuizungumzia lakini safari hii amelizungumzia kwa njia tofauti.
Wema ambaye pia ni muigizaji wa filamu, awali alisema sababu kubwa ya kutopata ujauzito ni masuala ya kiafya lakini safari hii ametoa kauli tata ambayo inahusiana na imani za nguvu za giza.
Wema ambaye alifunguka hayo hivi karibuni, anadai kuwa yawezekana marehemu Steven Kanumba anahusika kwenye...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eHhH0wF8G5AohXeCm1YYio0FYwIkGUmHxxacD6ZMgp7ncQVx-ade6kP5Hm0Rmtpslp0SNpZpBLchmWZjcFDcE2vfCAj801Y7/WEMA1.png?width=650)
WEMA SEPETU AJUTIA MIMBA YA KANUMBA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YTFvh9JoYPEsOi*IalH2WWJL1os2eNtobabo6GGd75lzBm5yjZvuLi--4tzODflkRmHFprBin4CI8g6ynSSWr2RZTpgM927h/pregnantbelly.jpg?width=650)
KAMPUNI YA CHINA YAWEKA MASHARTI YA MTU KUPATA MIMBA
10 years ago
Bongo Movies17 Jun
Wema Sepetu Akiri Kutoa Mimba, Sheria za Nchi Zinasemaje?
Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu akifanya mahojiano kwenye kipindi cha Take One hapo jana amekiri kuwa alitoa mimba maana hakuwa tayari kwa wakati ule.Ilikuwa mwaka 2008 na mimba ilikuwa ya marehemu Steven Kanumba
Kanumba alikuwa akimwambia kuwa nitakudai watoto wangu, kauli hii inamaanisha kuwa alitoa mimba zaidi ya moja.
Akizungumzia kuhusu kupata mtoto amesema anatamani sana kuwa na mtoto lakini ndio hivyo tena kahangaika sana lakini hajafanikiwa.Anadai labda wakati anatoa kuna vitu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v6wcuBb1nvtsf80eUzEv34RLbVSCu2wIkhSnYQPsnGLBaJrbX1pedkoOI42ld3PPwwK3g8rH11W9cu0ciK8*H4eN8SDWITH1/wema8.jpg)
MASHABIKI WAUMIZWA NA UJUMBE WA WEMA SEPETU KUWA HANA UWEZO WA KUSHIKA MIMBA
10 years ago
Bongo Movies05 May
Mashabiki wa Wema Sepetu na Diamond Platnumz..Matusi Hayamjengi Mtu, Yanambomoa!
Kwa mashabiki wa Wema Sepetu na Diamond Platnumz. Hawa wawili ni wasanii wetu wanaokubalika nchini, kila mmoja kwa namna yake na kila mmoja ana mashabiki wake. Waliwahi kuwa wapenzi lkn mambo hayakwenda kama mashabiki na wao walivyotaka wakaamua kwa amani kuachana. Lakini bado wanaheshimiana na hata familia zao zinaheshimiana. Na Wema Sepetu bado anamsapoti Diamond ni msanii wake wa kwanza nchini anayependa kazi zake.
Mpaka hapo, ukishaelewa hayo huwezi kupata ujasiri wa kuwatukana...
10 years ago
VijimamboWEMA SEPETU ''NIMEPAPENDA GHANA NA HII PICHA NI DEDICATION KWA MTU''
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2maaMQaugg0/U3N9nt5d3EI/AAAAAAAAMXA/yom1ehlujFg/s72-c/IMG-20140514-WA0015.jpg)
MACHIFU 120, MRISHO MPOTO NA WEMA SEPETU KUNOGESHA TAMASHA LA MTU KWAO ARUSHA
10 years ago
Bongo Movies03 Nov
Kwa tukio hili, Wema sepetu na Diamond hakuna kinachoendelea tena. kila mtu kwaooooo!
Pamoja na kujishaua mbele ya kamera za wanahabari na simu za kuteleza (smart phones) kisha kutupia kwenye mitandao ya kijamii wakizuga wapo pamoja, habari ya mjini inadai kwamba, sexy lady wa Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ amemmwaga staa wa Ngoma ya Mdogomdogo, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.
Kwa mujibu wa chanzo makini ambacho ni rafiki mkubwa wa wapenzi hao, ishu ya kumwagana ilikuwepo muda mrefu lakini kinachoendelea ni kuwazuga mashabiki wao ili wasishuke...