Wazazi mnaowachagulia watoto wenza mnawayumbisha
Habari za mwaka mpya wapenzi wasomaji wangu? Mimi nimefika salama namshukuru Mungu. Kwa wale wagonjwa poleni, kwa walioondokewa na wapendwa wao poleni pia Mungu awape nguvu.
Baada ya hayo twende kwenye mada yetu moja kwa moja inayowahusu wazazi kwa ujumla, watoto tulionao sasa ni kizazi kingine kabisa si kama chetu ambapo kijana alipotaka kuoa ilikuwa lazima mzazi amkubali binti husika.
Mada hii nimeipata kwa msomaji mmoja anayeishi mkoani aliyenipigia simu na kuniambia kuwa mama yake mzazi...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog15 May
Wazazi wenye watoto ambao wanatatizo la Usonji watakiwa kuwapenda watoto hao
Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete.
Na Anna Nkinda – Maelezo
Wazazi wenye watoto ambao wanatatizo la usonji (Autism) nchini wametakiwa kuwapenda, kuwatunza na kuwapa mahitaji yao kama watoto wengine kwani ni makusudi na mapenzi ya Mwenyezi Mungu kuwapa watoto hao.
Mwito huo umetolewa leo na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete wakati akiongea na walimu, walezi na wazazi wa watoto hao katika Shule ya Msingi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CQg7YXs4p5M/XmakE3wgLYI/AAAAAAALiUU/364dhzDVSjwS8uiwC9NSK4W8pZ1oswRHwCLcBGAsYHQ/s72-c/8ea7cdd1-676b-47ad-acd1-521826eaa55f.jpg)
WAZAZI WENYE WATOTO MAHITAJI MAALUM WAASWA KUWAPELEKA SHULE WATOTO WAO BADALA YA KUKAA NAO NYUMBANI
Ameyasema hayo wakati akitoa vifaa mbalimbali vilivyotolewa na wanawake viongozi wa Elimu Wilaya ya Tandahimba kwenye shule maalum mjimpya
Mwinuka ameeleza kuwa shule hiyo ni bweni hivyo wanapokea watoto wakike na wakiume wananchi waache kuwafungia ndani badala yake wawapeleke wakapate elimu mbalimbali...
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Wazazi wanachangia watoto kufeli
9 years ago
Mwananchi05 Jan
Wazazi wakiamua watoto watafanikiwa
11 years ago
BBCSwahili30 Dec
Watoto wapotezana na wazazi Sudan Kusini
11 years ago
BBCSwahili17 Apr
Nigeria:Wazazi wawasaka watoto msituni
10 years ago
Mwananchi26 May
Watoto 600 wapotezana na wazazi wao
10 years ago
Habarileo14 Jan
Wazazi waaswa kuwa karibu na watoto
WAZAZI na walezi nchini, wametakiwa kuwa karibu na watoto wao ili kuwapa malezi bora na kuwaepusha na makundi mabaya ya uhalifu.
10 years ago
BBCSwahili30 Mar
Wazazi wanapaswa kudhibiti unene wa watoto