Baba yake Beyonce adai kuwa mwanae na Jay Z walisambaza tetesi za talaka kukuza mauzo ya tiketi ya ziara yao
Baba yake na Beyoncé anadai kuwa mwanae na Jay Z walisambaza kwa makusudi tetesi za talaka kukuza mauzo ya tiketi za ziara yao ya ‘On The Run’. Jay Z akimbusu mkewe Beyonce kwenye MTV VMA wakiwa na mtoto wao Blue Ivy Mathew Knowles alitoa kauli hiyo ya kushtusha alipokuwa akihojiwa katika The Roula And Ryan […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo514 Sep
Picha: Beyonce na Jay Z mapenzi tele licha ya tetesi kuwa ndoa yao ipo kwenye mawe tena
9 years ago
Bongo522 Sep
Baba yake na Beyonce agusia uwezekano wa ziara na album mpya ya Destiny’s Child
11 years ago
Bongo507 Aug
Video: Akon adai ndoa ya Jay Z na Beyonce ni ya biashara, The Carters wakaa kwenye hoteli ya tshs mil.50 kwa usiku 1
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YKlX7ItxqukzCDO2DTPmSRtPZgBB0Jp4sDo4wJFYFfR0caQbJdFkBCGenSJKxZiTOZ5yYvB*lMV1Qijf28oQ*IJRtypDqQEb/BEYONCE.jpg?width=650)
JAY Z AMFANYIA BEYONCE ‘SURPRISE’ KWENYE BETHIDEI YAKE
9 years ago
Bongo510 Nov
Irv Gotti adai Jay Z hakuwahi kuwa na imani na DMX
![lplp](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/lplp-300x194.jpg)
Producer wa Marekani, Irv Gotti aliyefahamika zaidi kwa lebo ya Murder Inc amedai kuwa wakati Jay Z alipokuwa rais wa Def Jam Recordings hakuwa na imani na DMX.
Amedai kuwa pamoja na maafisa wengi wa lebo hiyo kutomwamini DMX, aliuza zaidi kazi zake kuliko Jay Z na Ja Rule. Producer huyo amesema kwenye mkutano aliofanya nao walimcheka baada ya kupendekeza wamsainishe DMX.
Alisema hayo kwenye makala ya Complex, Jewels From Irv Gotti: How Def Jam, Jay Z, & Dame Dash Didn’t Believe In...
9 years ago
Bongo527 Nov
Baba yake Paul Walker naye awashtaki Porsche kwa kifo cha mwanae
![Paul-Walker](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Paul-Walker-300x194.jpg)
Baba yake na Paul Walker Jumatano hii amewasilisha mashtaka dhidi ya kampuni ya magari ya Porsche akidai kuwa gari ambalo mwanae alikuwa akiendesha lilikosa vitu vya kiusalama ambavyo vingeweza kuokoa maisha yake.
Muigizaji huyo wa Fast & Furious alifariki November 2013 kwenye ajali mbaya ya gari huko Santa Clarita, Calif., iliyomuua pia rafiki yake Roger Rodas, dereva wa gari aina ya 2005 Porsche Carrera GT.
Mashtaka hayo ni kama yale yaliyowasilishwa na mtoto wa Meadow, ...
10 years ago
Bongo516 Dec
Beyonce na Jay Z washtakiwa na mwimbaji wa Hungary kwa kudaiwa kutumia sauti yake bila idhini kwenye ‘Drunk In Love’