Irv Gotti adai Jay Z hakuwahi kuwa na imani na DMX
Producer wa Marekani, Irv Gotti aliyefahamika zaidi kwa lebo ya Murder Inc amedai kuwa wakati Jay Z alipokuwa rais wa Def Jam Recordings hakuwa na imani na DMX.
Amedai kuwa pamoja na maafisa wengi wa lebo hiyo kutomwamini DMX, aliuza zaidi kazi zake kuliko Jay Z na Ja Rule. Producer huyo amesema kwenye mkutano aliofanya nao walimcheka baada ya kupendekeza wamsainishe DMX.
Alisema hayo kwenye makala ya Complex, Jewels From Irv Gotti: How Def Jam, Jay Z, & Dame Dash Didn’t Believe In...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo528 Aug
Baba yake Beyonce adai kuwa mwanae na Jay Z walisambaza tetesi za talaka kukuza mauzo ya tiketi ya ziara yao
10 years ago
Bongo Movies10 Feb
Chuchu Hans:Ninachojua mimi Johari hakuwahi kuwa mpezi wa Ray!!!
Mrembo na muigizaji wa filamu Chuchu Hans ameyameha hayo kwenye alipokuwa akiohijwa kwenye kipidi cha Take One kinachorushwa na kitucho cha televisheni cha Clouds TV.
“Ninachojua JOHARI hakuwahi kuwa na mahusiano yoyote ya kimapenzi na RAY ila ni Partners in Business tofauti na watu wanavyofahamu"
Chuchu Hans alisisitiza kuwa bado yupo kwenye mahusiano ya kimapenzi na muigizaji na muongozaji wa filamu, Vicent Kigosi ‘Ray’mbali na tetesi za zilizoenea kuwa wameteman.
Ray anadaiwa kuwa...
10 years ago
Bongo508 Jan
Stereo adai ana imani AY na Unity Entertainment watamfikisha mbali
10 years ago
VijimamboRuge Afunguka Kwanini Baadhi ya Wasanii Wanamchukia...Adai Lady Jay Dee Waliniumiza Kichwa Sana
Ruge Mutahaba anaweza kuwa ametajwa kwenye masakata mengi ya ubaya dhidi ya wasanii, akibebeshwa lawama kuliko mtu mwingine yeyote kwenye tasnia ya muziki, lakini kwake ni mambo matatu tu ndiyo anaona yamemsumbua sana.Mtaje Mr ll, mtaje Lady Jay Dee na mtaje Q Chief, utakuwa umemkumbusha mbali mkurugenzi huyo wa vipindi wa Clouds Media, ambaye pia amefanya kazi ya kusimamia wasanii wengi na ndiye kiongozi wa chuo cha Tanzania House of Talents (THT).
Katika makala haya, Ruge anazungumzia mambo...
11 years ago
Bongo507 Aug
Video: Akon adai ndoa ya Jay Z na Beyonce ni ya biashara, The Carters wakaa kwenye hoteli ya tshs mil.50 kwa usiku 1
10 years ago
VijimamboLADY JAY DEE AFUNGUKA KUHUSU KUWA NA MTOTO!
SWALI:Utazaa lini?JIBU : Sijajua mpk sasa nitazaa lini, ila siku yoyote ile ikitokea naweza kuzaa
SWALI: Kwanini huna mtoto /watoto?JIBU : Sina...
9 years ago
BBCSwahili24 Nov
Mvulana aliyetuhumiwa kuwa 'gaidi' adai fidia
9 years ago
Bongo502 Nov
Aunty Ezekiel adai hajutii kuwa na Mose Iyobo