Beyoncé, Chris Brown, Jidenna watajwa kuwania Soul Train Awards 2015 (Orodha kamili)
Beyonce, Chris Brown, Jidenna, Nicki Minaj ni miongoni mwa wasanii waliotajwa kuwania tuzo za Soul Train Awards 2015. Wengine waliotajwa kuwania tuzo hizo ni The Weeknd anayeongoza kwa nominations tano, Big Sean, Tyrese, Rihanna na wengine. Soul Train Awards 2015 zitarekodiwa Nov.6 Las Vegas na kuoneshwa Nov.29 kupitia Centric na BET. Hii ni orodha kamili […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo530 Nov
Hii ndio orodha kamili ya nyimbo za album mpya ya Chris Brown ‘Royalty’
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/breezy-royalty-300x194.jpg)
Album mpya ya Chris Brown inatarajiwa kutoka tarehe 18 December na tayari watu wameanza kuweka pre-oder toka Ijumaa iliyopita.
Wakati watu wakisubiri kupata nakala zao za album hiyo pindi itakapotoka, kwa sasa Breezy ametoa orodha ya nyimbo 14 zitakazokuwemo kwenye album hiyo pamoja 4 za ‘delux bonus tracks’.
Hii ndio orodha kamili
1. “Back to Sleep”
2. “Fine by Me”
3. “Wrist” (Feat. Solo Lucci)
4. “Make Love”
5. “Liquor”
6. “Zero”
7. “Anyway”
8. “Picture Me Rollin’ ”
9. “Who’s Gonna...
9 years ago
Bongo523 Nov
American Music Awards 2015: Orodha kamili ya washindi
![amas](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/amas-300x194.jpg)
Tuzo za za Muziki za Marekani ‘American Music Awards 2015’(AMAs) zimetolewa usiku wa Jumapili (Nov 22) kwenye ukumbi wa Microsoft Theater jijini Los Angeles.
Jennifer Lopez ndiye alikuwa mc wa shughuli hiyo.
Ifuatayo ni orodha ya washindi:
ARTIST OF THE YEAR
• Luke Bryan
• Ariana Grande
• Maroon 5
• Nicki Minaj
• One Direction — WINNER
• Ed Sheeran
• Sam Smith
• Taylor Swift
• Meghan Trainor
• The Weeknd
NEW ARTIST OF THE YEAR PRESENTED BY KOHL’S
• Fetty Wap
• Sam Hunt — WINNER
• Tove...
9 years ago
Bongo508 Sep
Washindi wa tuzo za ‘Nigeria Entertainment Awards’ 2015 (Orodha kamili)
10 years ago
Bongo506 Dec
Majina ya wanaowania tuzo za 2015 Grammy Awards yatangazwa, zitatolewa Feb. (orodha kamili)
10 years ago
Bongo512 Dec
Diamond na Ommy Dimpoz watajwa kuwania tuzo za HiPipo Music Awards 2015 za Uganda
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-XOgJMixpBQ4/VZLq80I4uGI/AAAAAAAACV4/5uhGg-4ISCo/s72-c/chris-brown-karrueche-tran-bet-awards-2015-doesnt-want-see-his-ass-gty-lead.jpg)
CHRIS BROWN AVOIDED KARRUECHE TRAN ON RED CARPET AT BET AWARDS 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-XOgJMixpBQ4/VZLq80I4uGI/AAAAAAAACV4/5uhGg-4ISCo/s400/chris-brown-karrueche-tran-bet-awards-2015-doesnt-want-see-his-ass-gty-lead.jpg)
Karrueche Tran debuted a surprising — yet stunning! — blonde bombshell look at the 2015 Bet Awards on June 28 . But that didn’t mean she wanted to give her ex, Chris Brown, a chance to see what he’s missing.It was almost unavoidable! Karrueche Tran, 27, could have easily run into Chris Brown, 26, at the BET Awards. While both were in attendance at the big awards show, the former flames steered clear of a an awkward encounter. HollywoodLife.com was on the scene, and has the EXCLUSIVE scoop on...
10 years ago
Bongo514 Oct
Davido awa msanii pekee wa Afrika anayewania tuzo za ‘Soul Train Awards 2014’ Marekani
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tALA7tZzY3U/U2aOrL3CdkI/AAAAAAAFfjw/VZa91m2G7nA/s72-c/KTMA26.jpg)
Orodha kamili ya washindi wa Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2013
![](http://2.bp.blogspot.com/-tALA7tZzY3U/U2aOrL3CdkI/AAAAAAAFfjw/VZa91m2G7nA/s1600/KTMA26.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mLHzKkgzGEM/U2aMCT-qO9I/AAAAAAAFfjc/hjgXNG16wgs/s1600/a2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kd_xzZ4vFPo/U2aMGjoeNTI/AAAAAAAFfjk/fTNRx2gLBAg/s1600/a6.jpg)
1.Wimbo bora wenye vionjo vya asili ya Tanzania ilichukuliwa na wimbo wa Bora Mchawi (Dar Bongo Massive). 2.Msanii Bora chipukizi (Young Killer). 3. Wimbo bora wa Zouk...
9 years ago
Bongo509 Dec
Diamond na Vanessa watajwa kuwania tuzo za ‘TooXclusive Awards 2015’ za Nigeria
![Diamond Platnumz na Vanessa Mdee](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Diamond-Platnumz-na-Vanessa-Mdee-300x194.jpg)
Mtandao wa ku-download muziki tooXclusive.com wa Nigeria ambao ndio waandaaji wa tuzo za ‘TooXclusive Awards 2015’ wametangaza majina ya nominees wa mwaka huu.
Kuna jumla ya vipengele 18 vinavyoshindaniwa, na kipengele cha ‘African Artiste Of The Year’ ndio kinachowahusu wasanii wa nje ya Nigeria ikiwemo Tanzania.
Diamond Platnumz na Vanessa Mdee ndio wasanii wa Tanzania wanaoshindana na Sauti Sol (Kenya), Sarkodie (Ghana), Cassper Nyovest na AKA (South Africa).
AFRICAN ARTISTE OF THE...