NDEGE YA AL-SALAAM YATUA PEMBA KWA DHARURA
NDEGE ya kampuni ya Al-salaam, ikiwa kwenye majani nje kidogo ya njia ya kurukia, baada ya kutua kwa dharura katika uwanja wa ndege wa Pemba, ikiwa na abiria 12, baada ya kukumbwa na hitilafu ya mashine ikiwa imesharuka juu mita 500, (Picha na Haji Nassor, Pemba
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers20 Dec
Ndege ya Ufaransa yatua kwa dharura Mombasa kuhofia bomu
Ndege ya Air France ikiwa imetua
Mombasa, Kenya
Ndege kubwa ya abiria, Boeing 777 AF463, mali ya Shirika la Ndege la Ufaransa (Air France) iliyokuwa ikitokea Visiwa vya Mauritius kuelekea Uwanja wa Ndege wa Charles de Gaulle, Paris, Ufaransa, imelazimika kutua kwa dharura katika Uwanja wa Ndege wa Mombasa baada ya kuhofiwa kuwa ndani yake kulikuwa na bomu.
Taarifa kutoka kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Kenya, Jenerali Joseph Boinnet kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter, imeeleza kuwa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qjoUUPoJEUE/UxnBgMh0HaI/AAAAAAAFRvQ/1YBh-_nsaoY/s72-c/unnamed1.jpg)
ndege nyingine ya atc yatua dar es salaam, kuanza kazi kesho
![](http://2.bp.blogspot.com/-qjoUUPoJEUE/UxnBgMh0HaI/AAAAAAAFRvQ/1YBh-_nsaoY/s1600/unnamed1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7bX92PpgbVI/UxnBgGsMjkI/AAAAAAAFRvM/k6L5IkF5Eeo/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
Bongo518 Jul
Ndege iliyobeba wanajeshi wa Marekani yalazimika kutua kwa dharura barabarani Uganda
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rFFi-SX8PjX7-RCaOoJBTWmX2j8t4F*mEMY7e0iQTpqc-eJk1Vn6lPHg3Y*9BpF4Y5EHx6Kts54zHw7b0sydkW-jhHHBV7IU/yanga.jpg?width=650)
YANGA YATUA PEMBA
10 years ago
Vijimambo30 Sep
MTANZANIA NI MOJA KATI YA ABIRIA WALIOKUWEMO KWENYE NDEGE YA AMERICAN ILIYOTUA KWA DHARURA BAADA YA GURUDUMU LA MBELE KUPATA PANCHA
Ndege ya shirika la ndege la American iliyokua ikisafiri kutoka Houston Texas kuelekea Baltimore siku ya Jumatatu Sept 29, 2014 mida ya jioni na iliyokua imebeba abiria 140 akiwemo Mtanzania Baraka Daudi ilibidi itue kwa dharura kwenye uwanja huo wa Houston baada ya rubani wa ndege hiyo kugundua gurudumu la mbele (norse gear) kutokua na upepo. Baada ya rubani kudua hitilafu hiyo aliwasiliana na mnara wa kuongozea ndege wa uwanja huo wa Houston wajaribu kuingalia ndege hiyo kwa ukaribu zaidi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-q6LmFLdsovM/Xp6KLIt_oFI/AAAAAAALnrM/bPKF7BILqhQWVukhT9vn3TMnKUfxAIMQgCLcBGAsYHQ/s72-c/407d6141-7f20-4717-ad26-76900a5a03ec.jpg)
MUHIMBILI YASAMBAZA VAZI LA PPE KWA KAMATI ZA DHARURA JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-q6LmFLdsovM/Xp6KLIt_oFI/AAAAAAALnrM/bPKF7BILqhQWVukhT9vn3TMnKUfxAIMQgCLcBGAsYHQ/s640/407d6141-7f20-4717-ad26-76900a5a03ec.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-GTWn9yTwgiY/Xp6KLEIN5WI/AAAAAAALnrQ/3J7eBPHnzNI-3EjUa7Kj0nblQX04c7GjgCLcBGAsYHQ/s640/26936c25-538f-4f84-b1f9-2afe3855d089.jpg)
Hospitali ya Taifa Muhimbili imeanza kusambaza mavazi maalumu...
9 years ago
MichuziNDEGE YA UTAFITI YATUA KILIMANJARO
11 years ago
BBCSwahili18 Jul
Ndege yatua barabarani Uganda
10 years ago
BBCSwahili06 Apr
Ndege za dharura kusambaza dawa Yemen