YANGA YATUA PEMBA

Wachezaji wa timu ya Yanga wakifanya mazoezi (Picha na Maktaba). Msafara wa watu 35 ukiwa na wachezaji 27 na benchi la Ufundi 8 wa timu ya Young Africans tayari umeshawasili Kisiwani Pemba kwa ajili ya maandalizi ya mwisho kujiandaa na mikikimikiki ya Ligi Kuu ya Vodacom msimu wa 2014/2015. Kocha mkuuu Marcio Maximo na kikosi chake wamefikia katika hoteli ya kitalii ya Pemba Misali iliyopo eneo la Wesha na watakua wakijifua kwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboNDEGE YA AL-SALAAM YATUA PEMBA KWA DHARURA
10 years ago
GPL
MASHINE HATARI YATUA YANGA
10 years ago
GPL
Yanga yatua kwa Wawa
11 years ago
GPL
YANGA YATUA JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
GPL
Yanga noma, yatua kwa ndugu wa Adebayor
11 years ago
GPL
Yanga yatua Cairo, yakataa basi la Al Ahly
11 years ago
GPL
Masikini Chuji, Yanga yatua, apigwa danadana
11 years ago
Tanzania Daima24 Jul
Kagame yaipeleka Yanga Pemba
KLABU ya Yanga, imepanga kuipeleka timu visiwani Pemba kwa kambi ya kujiandaa na michuano ya Kombe la Kagame itakayoanza Agosti 8, jijini Kigali, Rwanda. Yanga iliyopo kundi A, itaanza kampeni...
10 years ago
Vijimambo
Hoteli mpya ya New Pemba Seaview yafunguliwa Machomane, Pemba

Mwonekano wa Hoteli